Zitto Kabwe, Ili ashinde urais mwaka 2030 lazima ashinde mikoa zaidi ya mitano

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Oct 7, 2020
1,398
1,265
Njozi ya Zitto Kabwe kugombea urais mwaka 2030 iko wazi baada ya mitandao ya kijamii kumnukuu akiweka wazi nia yake hiyo. Hata hivyo ili ashinde mbele yake ana kazi kubwa kwa kuwa anahitaji kupata ushindi wa kishindo ktk mikoa mitano au zaidi.

Sasa swali la kujiuliza ni JE mbali na Kigoma, Pemba na Unguja Zitto anaukubalika ktk mikoa mingine?

Swali la pili ni agenda ya Zitto Kabwe kuutaka uongozi mkubwa kbs wa nchi hii ni upi - kupanda kuongoza au utashi wa kuwa na alama yenye manufaa kwa watanzania?

Swali la tatu ni JE apatapo urais hatakuwa na hulka ya kutaka chokochoko dhidi ya watangulizi wake i.e Samia Suluhu, Jakaya Kikwete nk?
Anyway mimi simkatishi tamaa lkn afahamu kuwa ana kazi kubwa mbele yake kwa kuwa CCM ni vyepesi kupoteza kata au jimbo la uchaguzi lkn si rahisi kupoteza Ikulu.

Msakila Kabende
Bukoba.
 
Zito anakubalika na kufaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mikoa inayokubali mchango wake katika Demokrasia na Maendeleo ya Tanzania ni:-
1.Kigoma
2.Geita
3.Katavi
4.Mbeya
5.Dar es Salaam
6.Shinyanga
7.Tabora
8.Lindi
9.Rukwa
10.Ruvuma
11.Pwani
12.Songwe
Njozi ya Zitto Kabwe kugombea urais mwaka 2030 iko wazi baada ya mitandao ya kijamii kumnukuu akiweka wazi nia yake hiyo. Hata hivyo ili ashinde mbele yake ana kazi kubwa kwa kuwa anahitaji kupata ushindi wa kishindo ktk mikoa mitano au zaidi.

Sasa swali la kujiuliza ni JE mbali na Kigoma, Pemba na Unguja Zitto anaukubalika ktk mikoa mingine?

Swali la pili ni agenda ya Zitto Kabwe kuutaka uongozi mkubwa kbs wa nchi hii ni upi - kupanda kuongoza au utashi wa kuwa na alama yenye manufaa kwa watanzania?

Swali la tatu ni JE apatapo urais hatakuwa na hulka ya kutaka chokochoko dhidi ya watangulizi wake i.e Samia Suluhu, Jakaya Kikwete nk?
Anyway mimi simkatishi tamaa lkn afahamu kuwa ana kazi kubwa mbele yake kwa kuwa CCM ni vyepesi kupoteza kata au jimbo la uchaguzi lkn si rahisi kupoteza Ikulu.

Msakila Kabende
Bukoba.
 
Njozi ya Zitto Kabwe kugombea urais mwaka 2030 iko wazi baada ya mitandao ya kijamii kumnukuu akiweka wazi nia yake hiyo. Hata hivyo ili ashinde mbele yake ana kazi kubwa kwa kuwa anahitaji kupata ushindi wa kishindo ktk mikoa mitano au zaidi.

Sasa swali la kujiuliza ni JE mbali na Kigoma, Pemba na Unguja Zitto anaukubalika ktk mikoa mingine?

Swali la pili ni agenda ya Zitto Kabwe kuutaka uongozi mkubwa kbs wa nchi hii ni upi - kupanda kuongoza au utashi wa kuwa na alama yenye manufaa kwa watanzania?

Swali la tatu ni JE apatapo urais hatakuwa na hulka ya kutaka chokochoko dhidi ya watangulizi wake i.e Samia Suluhu, Jakaya Kikwete nk?
Anyway mimi simkatishi tamaa lkn afahamu kuwa ana kazi kubwa mbele yake kwa kuwa CCM ni vyepesi kupoteza kata au jimbo la uchaguzi lkn si rahisi kupoteza Ikulu.

Msakila Kabende
Bukoba.
Kama umesikiliza wimbo wa Roma,waambie Watanzania nini wafanye Nchi yao sio wao watu.
 
Zito anakubalika na kufaa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mikoa inayokubali mchango wake katika Demokrasia na Maendeleo ya Tanzania ni:-
1.Kigoma
2.Geita
3.Katavi
4.Mbeya
5.Dar es Salaam
6.Shinyanga
7.Tabora
8.Lindi
9.Rukwa
10.Ruvuma
11.Pwani
12.Songwe

Kwa Sasa appeal ya Zitto imeshuka Sana. Inabidi Kama anataka urais ajiboost Sana. Pia aingie coaliations na chadema, atafika mbali.
 
Njozi ya Zitto Kabwe kugombea urais mwaka 2030 iko wazi baada ya mitandao ya kijamii kumnukuu akiweka wazi nia yake hiyo. Hata hivyo ili ashinde mbele yake ana kazi kubwa kwa kuwa anahitaji kupata ushindi wa kishindo ktk mikoa mitano au zaidi.

Sasa swali la kujiuliza ni JE mbali na Kigoma, Pemba na Unguja Zitto anaukubalika ktk mikoa mingine?

Swali la pili ni agenda ya Zitto Kabwe kuutaka uongozi mkubwa kbs wa nchi hii ni upi - kupanda kuongoza au utashi wa kuwa na alama yenye manufaa kwa watanzania?

Swali la tatu ni JE apatapo urais hatakuwa na hulka ya kutaka chokochoko dhidi ya watangulizi wake i.e Samia Suluhu, Jakaya Kikwete nk?
Anyway mimi simkatishi tamaa lkn afahamu kuwa ana kazi kubwa mbele yake kwa kuwa CCM ni vyepesi kupoteza kata au jimbo la uchaguzi lkn si rahisi kupoteza Ikulu.

Msakila Kabende
Bukoba.
Tanzania ndiyo nchi ambayo kila mtu anajiona anaweza kuwa Rais.JK alishusha sana thamani ya kiti cha Rais!
 
Back
Top Bottom