USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 11,964
- 28,208
Kesho Mbunge mmoja asimame amtake waziri wa ulinzi na Jeshi la kujenga taifa Innocenti Bashungwa awaeleze watanzania usalama wa ndugu zao waliopo Darfur wakilinda amani maana tangu mchana vyombo vya habari vya kimataifa vinatoa habari za mauaji makubwa eneo la Darfur kuliko hata yale yaliyotokea Khartoum.
Inadaiwa kuwa baada ya kusimamisha mapigano mjini Khartoum nguvu kubwa imepelekwa Darfur eneo linalotajwa kuwa ngome ya jeshi la RSF maarufu kama Janjaweed ambalo miaka ya nyuma liliua walinda amani kutoka Tanzania na bado lina nguvu.
Kesho waziri aje aseme tumsikie
USSR
Inadaiwa kuwa baada ya kusimamisha mapigano mjini Khartoum nguvu kubwa imepelekwa Darfur eneo linalotajwa kuwa ngome ya jeshi la RSF maarufu kama Janjaweed ambalo miaka ya nyuma liliua walinda amani kutoka Tanzania na bado lina nguvu.
Kesho waziri aje aseme tumsikie
USSR