Naweza sema ni mzee Ruksa, Mkapa na mama Samia ndio waliokota dodo chini ya mnazi, Nyerere, Kikwete na Magufuli waliutafuta urais kwa mbinu zote chafu na safi.
Leo tumuangalia Rais Magufuli...
Nchi ipo ICU kwa sababu ya makusudi ya utawala wake.
Huku maji huku umeme hakuna kwa sababu ya yeye kataka iwe hivyo! Nchi hii ina wanyama na mifugo zaidi ya million 50 lakini sijasikia mnyama...
Tufikie hatua tuseme ukweli. CCM ndo chama pekee kimebaki ambacho kina mfumo unaoeleweka. Hivi vingine ni vya wapiga deal tu na ndo maana hawaaminiani hata wenyewe kwa wenyewe.
Angalia Chadema na...
Kwa mambo yanayoendelea hapa nchini kwa sasa, Ni wazi kwamba wananchi hawana tena imani chini ya uongozi wa awamu hii ya sita.
Kila unapoenda ni lawama na hali ya kutoridhika na utendaji wa...
Waandishi Wetu
Toleo la 246
4 Jul 2012
Akiba ya dhahabu BoT yadhamini mkopo
KITABU kinachozungumzia kashfa ya kihistoria ya ununuzi wa rada, uliowahusisha aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa...
Hawa watu wakati wa JK. Tulisikia kila aina ya matusi bahati baba wawatu alikuwa mpole sana, hata wakitukana anawaita ikulu wanakunywa chai wanaondoka.w Wlikuwa wanaitisha maandamano...
Sabaya matatani kwa kumshambulia Diwani wa Sombetini Arusha
Philip Kana - 23rd February 2021
MKUU wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya, ambaye amekuwa anatuhumiwa na kuhusishwa na matendo kadhaa...
Nimeshuhudia pale KKKT Azania Front na Anglican church St Albans Jumatatu hadi Ijumaa Watumishi wa Serikal wanajaza Kanisa Asubuhi, Mchana na Jioni.
Hali hii nilizoea kuiona kwa wale Islam...
Nimesikia hii taarifa hii kupitia kipindi cha yasemavyo magazeti wakilinukuu gazeti la Mtanzania.
Mwenye taarifa kamili tafadhali!
=====
Ujenzi wa barabara Dar - Chalinze waahirishwa
Mtanzania...
Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo.
Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare...
Mama Samia tunaomba umsikie na kumsikiliza Mwanamke mwenzio ambaye siyo mwanasiasa na haishi hapa nchini, ameyaongea haya bila double standard hata chembe.
Usikimbilie kusema "Watu wa Dar kitu...
Dar es Salaam. Meya wa Kinondoni, Songoro Mnyonge amesema leo wanatarajia kumfanyia sherehe ya kumkaribisha Diwani wa Kawe (CCM), Mutta Rwakatare ambaye alipotea mwanzoni mwa mwaka huu.
Diwani...
CCM ya AWAMU ya 5 iliamini kuwa CHAMA kina Wanachama wengi na kila Mwanachama ana HAKI ya kuchangia chochote ktk CHAMA ikiwa ni pamoja na kuwa KIONGOZI.
MWENYEKITI wa CCM wa Awamu ya 5 Aliamua...
Akizungumza kwa kujiamini huko Kigamboni, kwenye Kikao cha Chama chake, Mbowe amedai kwamba CCM ishashindwa uongozi, kama kwa miaka 60 ya Uhuru bado kuna mgao wa umeme na na sasa mgao mpya wa...
"Magufuli" Alitulia nchini, akatumbua,na kazi ilionekana!
"Samia" Anatembea,Analeta fedha,halafu zinagawanwa na walamba Asali!
Ipi ahueni?
"Magufuli"hakuwa Mdemokrasia,lakini kazi na miradi...
Huyu ndiye Mwenyekiti wa UVCCM mdogo kuliko wote Tanzania. Ana umri wa Miaka 20.
Tunawapongeza UVCCM Tanzania chini ya Kenani Kihongosi kwa kuhakikisha wanapata watu sahihi kwa wakati sahihi...
Maisha yamekuwa magumu kuwahi kutokea katika historia ya taifa letu ndoa zinavunjika kutokana na watu kutokuwa na kipsto kuendesha famila zao, Dada zetu nao kazi kwa sasa iliyopo imebaki ni...
Rais Samia Suuhu amefanikiwa kupunguza gharama za kilimo kwa kutoa ruzuku ya mbolea inayowapelekea wakulima kununua mbolea kwa nusu bei
Ahueni 4 kwa wakulima toka kwa Mheshimiwa Rais Samia...
Wahasimu wa Hayati JPM wanaendelea kutuaminisha kuwa, JPM hakuwa Mtanzania pia PhD yake ilikuwa feki.
Licha ya hayo yote, wanaungana na wengi kuduwaa jinsi PhD feki ilivyo tofauti na PhD...
Mungu wetu sote na awabariki Kwa nia na madhumuni ya ndoto zenu za kisiasa. Imenipasa kusema haya Kwa kuwa mazingira ya wazi yamezibwa na mnakosa prior visibility Kwa Hazina ya wapiga kura wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.