Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naweza sema ni mzee Ruksa, Mkapa na mama Samia ndio waliokota dodo chini ya mnazi, Nyerere, Kikwete na Magufuli waliutafuta urais kwa mbinu zote chafu na safi. Leo tumuangalia Rais Magufuli...
21 Reactions
54 Replies
4K Views
Nchi ipo ICU kwa sababu ya makusudi ya utawala wake. Huku maji huku umeme hakuna kwa sababu ya yeye kataka iwe hivyo! Nchi hii ina wanyama na mifugo zaidi ya million 50 lakini sijasikia mnyama...
21 Reactions
76 Replies
4K Views
Tufikie hatua tuseme ukweli. CCM ndo chama pekee kimebaki ambacho kina mfumo unaoeleweka. Hivi vingine ni vya wapiga deal tu na ndo maana hawaaminiani hata wenyewe kwa wenyewe. Angalia Chadema na...
3 Reactions
37 Replies
1K Views
Kwa mambo yanayoendelea hapa nchini kwa sasa, Ni wazi kwamba wananchi hawana tena imani chini ya uongozi wa awamu hii ya sita. Kila unapoenda ni lawama na hali ya kutoridhika na utendaji wa...
8 Reactions
14 Replies
1K Views
Waandishi Wetu Toleo la 246 4 Jul 2012 Akiba ya dhahabu BoT yadhamini mkopo KITABU kinachozungumzia kashfa ya kihistoria ya ununuzi wa rada, uliowahusisha aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa...
10 Reactions
33 Replies
6K Views
Hawa watu wakati wa JK. Tulisikia kila aina ya matusi bahati baba wawatu alikuwa mpole sana, hata wakitukana anawaita ikulu wanakunywa chai wanaondoka.w Wlikuwa wanaitisha maandamano...
0 Reactions
4 Replies
572 Views
Sabaya matatani kwa kumshambulia Diwani wa Sombetini Arusha Philip Kana - 23rd February 2021 MKUU wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya, ambaye amekuwa anatuhumiwa na kuhusishwa na matendo kadhaa...
0 Reactions
83 Replies
10K Views
Nimeshuhudia pale KKKT Azania Front na Anglican church St Albans Jumatatu hadi Ijumaa Watumishi wa Serikal wanajaza Kanisa Asubuhi, Mchana na Jioni. Hali hii nilizoea kuiona kwa wale Islam...
0 Reactions
1 Replies
519 Views
Nimesikia hii taarifa hii kupitia kipindi cha yasemavyo magazeti wakilinukuu gazeti la Mtanzania. Mwenye taarifa kamili tafadhali! ===== Ujenzi wa barabara Dar - Chalinze waahirishwa Mtanzania...
3 Reactions
384 Replies
61K Views
Meya wa Manispaa ya Kinondoni mh Songoro ameliomba Jeshi la Polisi na vyombo vya habari kuwasaidia kumtafuta Diwani wa Kawe ambaye hajulikani alipo. Songoro amesema mheshimiwa Lwakatare...
7 Reactions
135 Replies
16K Views
Mama Samia tunaomba umsikie na kumsikiliza Mwanamke mwenzio ambaye siyo mwanasiasa na haishi hapa nchini, ameyaongea haya bila double standard hata chembe. Usikimbilie kusema "Watu wa Dar kitu...
35 Reactions
316 Replies
17K Views
Dar es Salaam. Meya wa Kinondoni, Songoro Mnyonge amesema leo wanatarajia kumfanyia sherehe ya kumkaribisha Diwani wa Kawe (CCM), Mutta Rwakatare ambaye alipotea mwanzoni mwa mwaka huu. Diwani...
9 Reactions
54 Replies
6K Views
CCM ya AWAMU ya 5 iliamini kuwa CHAMA kina Wanachama wengi na kila Mwanachama ana HAKI ya kuchangia chochote ktk CHAMA ikiwa ni pamoja na kuwa KIONGOZI. MWENYEKITI wa CCM wa Awamu ya 5 Aliamua...
0 Reactions
5 Replies
867 Views
Akizungumza kwa kujiamini huko Kigamboni, kwenye Kikao cha Chama chake, Mbowe amedai kwamba CCM ishashindwa uongozi, kama kwa miaka 60 ya Uhuru bado kuna mgao wa umeme na na sasa mgao mpya wa...
13 Reactions
72 Replies
4K Views
"Magufuli" Alitulia nchini, akatumbua,na kazi ilionekana! "Samia" Anatembea,Analeta fedha,halafu zinagawanwa na walamba Asali! Ipi ahueni? "Magufuli"hakuwa Mdemokrasia,lakini kazi na miradi...
23 Reactions
108 Replies
3K Views
Huyu ndiye Mwenyekiti wa UVCCM mdogo kuliko wote Tanzania. Ana umri wa Miaka 20. Tunawapongeza UVCCM Tanzania chini ya Kenani Kihongosi kwa kuhakikisha wanapata watu sahihi kwa wakati sahihi...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Maisha yamekuwa magumu kuwahi kutokea katika historia ya taifa letu ndoa zinavunjika kutokana na watu kutokuwa na kipsto kuendesha famila zao, Dada zetu nao kazi kwa sasa iliyopo imebaki ni...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Rais Samia Suuhu amefanikiwa kupunguza gharama za kilimo kwa kutoa ruzuku ya mbolea inayowapelekea wakulima kununua mbolea kwa nusu bei Ahueni 4 kwa wakulima toka kwa Mheshimiwa Rais Samia...
0 Reactions
0 Replies
439 Views
Wahasimu wa Hayati JPM wanaendelea kutuaminisha kuwa, JPM hakuwa Mtanzania pia PhD yake ilikuwa feki. Licha ya hayo yote, wanaungana na wengi kuduwaa jinsi PhD feki ilivyo tofauti na PhD...
1 Reactions
1 Replies
489 Views
Mungu wetu sote na awabariki Kwa nia na madhumuni ya ndoto zenu za kisiasa. Imenipasa kusema haya Kwa kuwa mazingira ya wazi yamezibwa na mnakosa prior visibility Kwa Hazina ya wapiga kura wengi...
2 Reactions
3 Replies
398 Views
Back
Top Bottom