Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Sijui kama wizara Ina maono gani kuhusu usajili wa taasisi za dini, hasa makanisa. Kwa upande wangu naona ni muda muafaka Sasa kupitia upya vigezo vya usajili wa makanisa kabla hatujachelewa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hii ni Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Sheria, Damas Ndumbaro ambaye amedai gharama za mchakato huo zimewekwa ndani ya bajeti ya Wizara hiyo itakayosomwa bungeni hivi karibuni. Amesema kwamba...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein mwinyi amemteua Ramadhan Bukini kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC). Taarifa iliyotolewa leo Aprili 25...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika makosa ambayo Chama Cha Mapinduzi chini ya aliyekuwa Mwenyekiti taifa mwaka 2020 iliyafanya ni kumpendekeza Jerry Slaa kuwa mbunge wa Ukonga. CCM ilijipa Certificate ya kukataliwa moja kwa...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Kwa Mujibu wa handle ya Twitter ya Tanzania Business Insight, Tanzania itapokea mkopo wa dharura na haraka wa $153M kwa ajili ya ku support budget yetu. Katika marejeo ya Shirika hilo la fedha...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Waraka kwa serikali kuhusu waalimu, serikali iwajali walimu. Ni muda sasa umepita kukiwa na manung'uniko kwa walimu katika nyanja nyingi zinazohusu maslahi yao ikiwemo mishahara yao, stahiki zao...
5 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni wakati sahihi sasa kwa viongozi wa CHADEMA kukaa pamoja na kina halima mdee na wenzake 18 kumaliza tofauti zenu na kuwarudisha kundini ili mjenge mshikamano tayari kwa mapambano ya kukiimarisha...
1 Reactions
11 Replies
909 Views
Mzee Yusuph Makamba amesema "Tusimfundishe namna ya kufanya kazi hatumtendei haki...niulize kwa haya yanayoendelea je kuna mwenye mashaka tena na uwezo wake hadi sasa? Rais Samia kwetu Watanzania...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Hii nchi ngumu sana aisee Mwenyekiti wa Laac Halima anapuyanga tu na Nabii Lema huko migombani Wakati Ripoti ya CAG iko mezani kwake Ili ifanyiwe Kazi. Kama Wabunge Wana muda wa kuzurura hadi...
1 Reactions
4 Replies
541 Views
Katibu Mkuu wa CCM amepotea hewani Mara baada ya kusomwa ripoti ya CAG. Imefika mahali sasa Katibu Mkuu wa CCM amekosa la kusema wala la kuwaambia wananchi. Anayejua aliko tafadhali!
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Binafsi kama mwanaccm hichi kitendo anachofanyiwa Sabaya kinaniuma sana na nikitendo cha udhalilishaji kwa vijana wanaopigania chama kwa kujitoa muhanga. Sabaya katika uongozi wake amekuta wilaya...
16 Reactions
116 Replies
7K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Shirikisho la Ethiopia Mhe. Demeke Mekonnen...
1 Reactions
3 Replies
942 Views
Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh Godbless Lema amesema amefurahi sana kukutana na Halima Mdee na Esther Bulaya na amewatakia Wepesi wa kuyashinda majaribu wanayopitia ili mwishoe Warudi Ili kwa...
3 Reactions
40 Replies
4K Views
Hapo vip!! Kwa muda mrefu nimekuwa nafuatilia tuhuma zilizo tengeneza hii kesi ya Sabaya ila nimeonea kama sio tuhuma nzito kuzidi tuhuma zote ambazo tumeshawahi kuzisikia kwa viongozi mbalimbali...
6 Reactions
65 Replies
5K Views
Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Neema Lugangira ametaka maboresho ya vyama vya siasa na chaguzi ziainishe bayana uteuzi wa wagombea ndani ya vyama vya siasa katika nafasi mbalimbali za uongozi...
0 Reactions
0 Replies
549 Views
Kwanza tukubaliane sote kwamba, kila mwenye kutokukidhi mahitaji yake binafsi na ya familia yake, na kwamba umasikini alionao umechangiwa kwa asilimia kubwa sana na viongozi wa chama cha CCM ambao...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
MHE. JOKATE MWEGELO AKABIDHI BAISKELI 200 KWA WATOTO WA KIKE SHULE 10 KOROGWE Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Jokate Mwegelo amekabidhi baiskeli 200 kwa Wanafunzi wa kike kwa Shule 10 za Sekondari...
0 Reactions
7 Replies
748 Views
Fuatilia yanayojiri Bungeni leo Aprili 25, 2023 kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 13. Uamuzi wa Serikali kuondoa Msamaha wa kodi kwenye Taulo za kike na Vishkwambi Waziri Hamad...
0 Reactions
8 Replies
911 Views
Amesema hivi , Nanukuu " Ripoti ya CAG imetuonyesha wazi kwamba Changamoto za Nchi yetu Si fedha , Rasilimali wala utayari wa Wananchi , Bali tatizo ni viongozi wasio na maadili walioshika dhamana...
24 Reactions
53 Replies
3K Views
Hii ndio taarifa mpya ya sasa kutoka Wasafi Media kwamba Godbless Lema ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema amealikwa kwenye kipindi cha asubuhi ( GOOD MORNING ), tarehe 25/04/2023, kuanzia...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom