johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,005
- 142,040
Mwanasiasa mkongwe wa Taifa Mzee Wassira amesema Tukiruhusu Utawala wa Majimbo kama ilivyo Sera ya Chadema tutajuta
Wassira amesema hapo Kenya Nusu ya Mapato yao wanalipa mishahara ya Wabunge na Magavana na sasa wameishiwa fedha wameshindwa Kulipa mishahara ya Watumishi wa Umma
Mzee Wassira amewataka Watanzania wawe makini sana
Source: Jambo TV
Wassira amesema hapo Kenya Nusu ya Mapato yao wanalipa mishahara ya Wabunge na Magavana na sasa wameishiwa fedha wameshindwa Kulipa mishahara ya Watumishi wa Umma
Mzee Wassira amewataka Watanzania wawe makini sana
Source: Jambo TV