Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,742
- 218,333
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , Ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Vyama vya Kidemokrasia vya bara la Africa , amepewa heshima ya kufungua kongamano kubwa la vyama hivyo Jijini Johannesburg , Africa Kusini .
Kongamano hilo limeitishwa ili kujadili hali ya Ulinzi , Usalama , Demokrasia na Uchumi wa Bara la Africa .
Miongoni mwa Wajumbe wa Mkutano huo wamo Marais kadhaa akiwemo na Rais wa Ghana .