Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Akiwasilisha kero kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, mmoja wa Wafanyabiashara amesema, "Kuna Askari anaitwa Mpemba hapo Kamata amenipelekesha sana, pia kuna mwingine mweusi yuko hapohapo...
2 Reactions
0 Replies
508 Views
Mkutano wa aina hii kiukweli mara ya mwisho niliushuhudia Wakati wa Hayati Sokoine. Waziri mkuu anatoa nafasi kwa Watu zaidi ya 50 kuuliza maswali na kutoa maoni. Nashauri Wabunge wote Kuanzia...
0 Reactions
1 Replies
643 Views
Rais tumemchagua sisi wenyewe kwa mujibu wa katiba. Anaongoza serikali na nchi kwa jumla kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi kwa ujumla wake. Kutokumtii Rais ni kuwadharau wananchi na...
2 Reactions
5 Replies
772 Views
Wafanyabiashara wa kariakoo (wananchi) wanavyofunguka kueleza kero zao kwa waziri mkuu ni kuwachana watendaji wa wizara ya fedha kinaridhisha. Mambo mengine tulizoea kusikia kwa wapinzani ndani...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Bado hali ya uchumi wa nchi yetu ktk sehemu kubwa ya taifa letu Wananchi hujishughulisha na kilimo na bado inasemekana uchumi wetu hutegemea kilimo. Kwa kutofundishwa somo la kilimo ni tafsiri...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Waziri wa fedha Mwigulu Nchemba PhD amesema zamani mtu akimaliza form 4 au 6 alikuwa anaajiriwa moja kwa moja na ukiwa Chuo ukimaliza tu unakutana na Barua 3 au 4 za ajira inayokusubiri. Lakini...
1 Reactions
43 Replies
3K Views
Wataalamu wa uchumi wameshauri eneo la Kariakoo, Dares Salaam liwe mkoa maalumu wa kibiashara na pia mamlaka za serikali zinazohusika na biashara ziwe na mifumo inayosomana ili kuepuka migomo ya...
1 Reactions
8 Replies
850 Views
Kitabu cha Biblia, kinatanabaisha kuwa msingi mkubwa wa kutenda dhambi ni tamaa. Biblia inawataja binadamu wa kwanza Adam na Hawa kuwa kilichowafanya kutenda dhambi ya uasi kwenye bustani ya Eden...
0 Reactions
0 Replies
431 Views
Mwenyekiti wa Chadema leo ameipokea Chopa ya kisasa ambayo itatumika kwenye operesheni 255 , ambayo ni ya kufundisha wananchi wa Tanzania juu ya Umuhimu wa Katiba Mpya , ambayo pamoja na mazuri...
6 Reactions
36 Replies
3K Views
MBUNGE DKT. OSCAR KIKOYO AKICHANGIA BAJETI WIZARA YA ELIMU MWAKA WA FEDHA 2023/2024 Mhe. Dkt. Oscar Ishengoma Kikoyo, Mbunge wa Jimbo la Muleba Kusini amechangia hoja ya hotuba ya bajeti ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam Ndugu zangu, Kijana wenu mfukunyuzi mtembezi sipendi kuacha kutia neno kila napoona jambo halijakaa sawa. Leo nikiwa kwenye harakati zangu nimepita maeneo ya kituo cha Kawe na kuona mambo...
0 Reactions
9 Replies
939 Views
Amekufa na ila mnataka kujifanya hakuwepo wala hamkumbuki. Haya good move kwakweli.... Who is chadema who is ccm
15 Reactions
98 Replies
5K Views
Igunga kunufaika na minara ya mawasiliano ya simu kwenye kata kumi na moja. Tarehe 13 Mei, 2023 serikali imesaini mikataba na makampuni kwa ajili ya ujenzi wa minara ya mawasiliano ya simu. Halfa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani viongoz i wa Urambo kuanzía Mkuu wa Wilaya, mkurugenzi na Baraza la madiwani mnaruhusu gereji za pikipki kuzagaa kila mahali kwenye ka mji kenu yaaani mmekosa eneo moja la kufunguà gereji...
0 Reactions
3 Replies
563 Views
Nimekuwa nikisikia mara nyingi kuwa kauli ya Rais ni sheria! NImejaribu kupekua Katiba yetu ya Tanzania ya mwaka 1977 na marekebisho yake ya mwaka 2008 sijaona ibara yoyote ya katiba yetu kuwa...
8 Reactions
23 Replies
3K Views
Watanzania na wapiga kura wenzangu salaam, Mimi Bernard Kamillius Membe ni mgombea wa kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT Wazalendo. Tarehe 28/10/2020 ni siku...
52 Reactions
174 Replies
16K Views
Ki sakata ( uchwara ) kidogo cha Kariakoo kimetuonyesha ni kwa namna gani demokrasia inaweza kusababisha usumbufu wa hovyo kwa wananchi! Hivi ki sakata cha kumalizwa na RC ndiyo kinasumbua watu...
16 Reactions
49 Replies
5K Views
Ukweli usemwe na Rais kama anapitia hapa ashaurike pia. Haya Mabango ni pesa ndefu sana; ukienda hospital ukakuta huduma sio nzuri, mara dawa hakuna ghafla unatoka nje unakutana na bango la Rais...
19 Reactions
41 Replies
2K Views
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amefanya ziara ya kutembelea machinga mitaa ya mwenge , makumbusho na ubungo (simu 2000) kujua nini kinafanyika kwenye biashara hizo kabwa ya kuanza kazi rasmi awe na...
2 Reactions
8 Replies
745 Views
Sisi wakaazi wa jiji la Dar es Salaam tupo tayari kukupokea na kukupa ushirikiano ndugu Chalamila. Wana Dar es salaam tunaweza kuchangia mapato ya Serikali kwa kiulaini sana kupitia kupiga tungi...
6 Reactions
41 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…