Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wananodi, Baada ya Mbunge wa kuteuliwa Mhe. Dr. Bashiru Ali Kakurwa kutoa kauli hii, CCM, kwachafuka, wengi wamemjia juu kama moto wa kifuu, kwa kumshukia kama mwewe, huku wengine...
38 Reactions
79 Replies
6K Views
Mkoa wa Morogoro ulifanya uchaguzi wake wa kumpata Mwenyekiti wa Mkoa ambapo rafu mbaya akichezewa mgombea Nasoro Duduma aliyekuwa mmoja wa wagombea. Baada ya uchaguzi huo uliyompa ushindi James...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Pamoja na malalamiko yako kuwa historia ya Tanu / CCM imekosewa mbona hawa jamaa hawa concede kama kweli? Hiyo ya kwako mbona inakuwa kama haikubaliki...
2 Reactions
43 Replies
3K Views
Waziri wa Kilimo muda huu akiwa anahutubia katika mkutano wa hadhara mkoani Manyara amesema kuwa Wakulima matatizo yao hayaondolewi kwa kuleta vitisho bali kwa uwezo wa kushirikiana nchi yetu...
0 Reactions
3 Replies
730 Views
Wanafilosofia wanawajua vyema watu hawa. Yuda alikuwa ni mwanafunzi aliyependwa na yesu, msomi kiasi cha kuaminiwa kushika fedha za huduma ya Yesu. Yuda alimsaliti Yesu na baada ya Yesu kufa yuda...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Friends and Our Enemies, Kuna msemo wa wanazuoni unaosema kwamba chochote kinamchomfaa mamba Kwa kuliwa either kiwe kimetumbukia mtoni au kimekaa kihasara hasara kwenye kingo za mto mamba...
12 Reactions
60 Replies
3K Views
Kwa mfano ikitokea nikawa na Msaidizi wangu ndani ya Ikulu ambaye nilimwamini mno ila baadae akaanza Kunikosoa, Kuchukizwa na Utendaji wangu na tabia zangu za Ukatii wa Kurithi huku nikagundua...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Baada ya bomu zito kutoka kwa balozi Dkt. Bashiru kikao cha dharura kimeazimia mama aanze ziara za kujibu hoja mbalimbali. Ameambatana na baadhi ya mawaziri ambao wengine anaamini wataongea kauli...
33 Reactions
80 Replies
6K Views
Rais wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania tunaelewa kazi kubwa uliyonayo. Tunaelewa lawama unazobeba kwakua ndiye Rais wa taifa letu. Tunaelewa kazi kubwa unayofanya ya kututafutia fedha za...
1 Reactions
3 Replies
541 Views
Mfalme Suleiman alipewa mtihani kwa kuletewa kesi na wanawake wawili wakigombea mtoto mmoja, mtihani ambao aliushinda kwa hekima kubwa sana. Hekima aliyoitumia kushinda mtihani huo ilifanya watu...
19 Reactions
111 Replies
52K Views
Vyama vya Siasa vikubwa, vilivyo na mamilioni ya Wanachama na vyenye nguvu kama CCM duniani kote vina namna yake ya kuwarekebisha Wanachama au Viongozi wanaopotoka kuhusu Kanuni, taratibu na jadi...
4 Reactions
28 Replies
1K Views
Naam! "Bash-Law" amelenga Mshono kwenye "Mzinga wa Nyuki" ndani ya CCM! Ghafla ikaitishwa Kikao cha dharula CCM Dodoma! Mara tumemuona Mama kaingia Site huko Singida na Manyara kwa haraka...
8 Reactions
12 Replies
2K Views
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, ameeleza kuwa Balozi Bashiru Ally, hajafanya kosa lolote hakustahili kushambuliwa. Amesema, watu wajibu hoja badala ya kumshambulia yeye binafsi...
85 Reactions
211 Replies
16K Views
Nakumbuka CUF walisusia Uchaguzi Zanzibar lakini haikubadilisha chochote zaidi ya chama kufa. Nawaona CHADEMA wanarudia makosa yale yale Au kuna Biashara inafanyika?
1 Reactions
15 Replies
682 Views
Uzinduzi wa maghala ya chakula si suluhishi ya kutatua matatizo yanayokumba nchi hivi sasa mfumuko wa bei wa bidhaa mbalimbali ndiyo kitu pekee mama ambacho hivi sasa angekaa na viongozi wake nini...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Ibara ya 66 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inataja Aina za Wabunge, ikiwemo wa kuchaguliwa, viti maalum na wa kuteuliwa na Rais. Jana Mbunge wa Nzega, Hamis Kigwangala akimwongelea...
0 Reactions
7 Replies
515 Views
Asalam alaikum Ndg zangu Mapendo Daimaa Tumsifu Bwana wetu yesu kristo Ndg zangu kwa kitamaduni za kiTanzania salamu ni kitu cha Muhimu sana kwa Jamii zetu mbalimbali hapa Nchini. Nawasalimu...
3 Reactions
5 Replies
562 Views
Hivi ni taarifa ya Mbunge wa Singida Mashariki Mheshimiwa Miraji Jumanne Mtaturu baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika ujenzi wa kituo cha Afya NTUNTU. 👇👇 Nawasalimu sana wandugu. Ninaomba...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Bei ya debe la mahindi kwa sasa ni sh. 20,000/= huku kwetu. Ni bei kubwa kabisa kuwahi kutokea kwa takribani miongo kadhaa iliyopita. Wakati huo, pesa hakuna. Pesa imekuwa ni ngumu sana kupata...
1 Reactions
1 Replies
320 Views
Kwa miaka mingi tumekuwa na demokrasia, haki na uhuru wa hadaa, na watawala badala ya kufanya yale wanayoyataka wananchi, wao wanataka wananchi wafanye yale wanayoyataka wao watawala. Tangu mwaka...
6 Reactions
35 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…