Baada ya bomu la Dkt. Bashiru, Rais Samia aanza ziara

sheiza

JF-Expert Member
Sep 29, 2010
7,564
11,478
Baada ya bomu zito kutoka kwa balozi Dkt. Bashiru kikao cha dharura kimeazimia mama aanze ziara za kujibu hoja mbalimbali.

Ameambatana na baadhi ya mawaziri ambao wengine anaamini wataongea kauli za fedheha kwa Dkt. Bashiru lakini baadhi yao wameshtukia mtego kama Bashe.

Lakini ifahamike huu ni wakati wa ukame na jua ni kali mno. Hofu yangu ni kushindana na hoja ya dr Bashiru kwa kumzururisha huyu mama juani.

Maumbile yake na umri wake haviruhusu. Wasije wakamuumiza wakajikuta wamemkosa malkia wa nyuki na hivyo ikawa mwisho wa kulamba asali.
 
Baada ya bomu zito kutoka kwa balozi Dkt. Bashiru kikao cha dharura kimeazimia mama aanze ziara za kujibu hoja mbalimbali.

Ameambatana na baadhi ya mawaziri ambao wengine anaamini wataongea kauli za fedheha kwa Dkt. Bashiru lakini baadhi yao wameshtukia mtego kama Bashe.

Lakini ifahamike huu ni wakati wa ukame na jua ni kali mno. Hofu yangu ni kushindana na hoja ya dr Bashiru kwa kumdhurulisha huyu mama juani.

Maumbile yake na umri wake haviruhusu. Wasije wakamuumiza wakajikuta wamemkosa malkia wa nyuki na hivyo ikawa mwisho wa kulamba asali.
Wewe ni staunch supporter of magufuli. Utamchukia tu Samia!
 
Baada ya bomu zito kutoka kwa balozi Dkt. Bashiru kikao cha dharura kimeazimia mama aanze ziara za kujibu hoja mbalimbali.

Ameambatana na baadhi ya mawaziri ambao wengine anaamini wataongea kauli za fedheha kwa Dkt. Bashiru lakini baadhi yao wameshtukia mtego kama Bashe.

Lakini ifahamike huu ni wakati wa ukame na jua ni kali mno. Hofu yangu ni kushindana na hoja ya dr Bashiru kwa kumdhurulisha huyu mama juani.

Maumbile yake na umri wake haviruhusu. Wasije wakamuumiza wakajikuta wamemkosa malkia wa nyuki na hivyo ikawa mwisho wa kulamba asali.
una akili ndogo sana.
unakumbuka matukio yaliyotokea baada ya kubadilishwa sheria ya kikokotoo na kuvurugwa kwa mifuko ya hifadhi za jamii na yule shetani?
unakumbuka matukio yaliyotokea baada ya kuundwa kwa tume ya OSORO?
Raisi kafanya ziara nyingi tena vijijini siyo yule mpuuzi aliyekuwa anapita barabara kuu na kugawa maburungutu ya noti
ziara ya manyara ilipangwa hata kabla ya huyo bashiru kuongea ujuha wake? kama mzalendo kweli
mbona hajawatetea wakulima wa korosho walipoporwa korosho zao na MAGUFULI?
Mbona hajawambia wanafunzi waliokatazwa kufanya siasa anazofundisha yeye wagomee kauli ile ya kifedhuli
KWSHAKUFA HATARUDI TENA, KAMFUKUENI
 
Sasa hivi ni kulamba asali tu. Wako bize kutengeneza mtandao wa urais wa 2025. Ndio maana wamechukia kweli baada ya dr Bashiru kupiga bomu kwenye mzinga wa asali. Yaani walijisahau na utamu.
kama nyinyi mlivyojisahau kuwa Magufuli is immortal!...in simple words not subject to death or decay; having perpetual life.
 
una akili ndogo sana.
unakumbuka matukio yaliyotokea baada ya kubadilishwa sheria ya kikokotoo na kuvurugwa kwa mifuko ya hifadhi za jamii na yule shetani?
unakumbuka matukio yaliyotokea baada ya kuundwa kwa tume ya OSORO?
Raisi kafanya ziara nyingi tena vijijini siyo yule mpuuzi aliyekuwa anapita barabara kuu na kugawa maburungutu ya noti
ziara ya manyara ilipangwa hata kabla ya huyo bashiru kuongea ujuha wake? kama mzalendo kweli
mbona hajawatetea wakulima wa korosho walipoporwa korosho zao na MAGUFULI?
Mbona hajawambia wanafunzi waliokatazwa kufanya siasa anazofundisha yeye wagomee kauli ile ya kifedhuli
KWSHAKUFA HATARUDI TENA, KAMFUKUENI
Tutaendelea kupiga tu hadi akili ikae sawa. Moto zaidi unakuja. Kama una mahaba nae sana kanywe nae chai babati.
 
Ni Ziara za kawaida na kikazi Kama kawaida ya mh Rais kupita na kukutana na watanzania ili kuwasikiliza na kutatua kero za wananchi na siyo Kama unavyotaka kupotosha hapa kwa chuki zako za kitoto,hakuna wa kuweza kumtikisa Rais Samia,hayupo mwenye ubavu huo na Wala hajazaliwa
 
una akili ndogo sana.
unakumbuka matukio yaliyotokea baada ya kubadilishwa sheria ya kikokotoo na kuvurugwa kwa mifuko ya hifadhi za jamii na yule shetani?
unakumbuka matukio yaliyotokea baada ya kuundwa kwa tume ya OSORO?
Raisi kafanya ziara nyingi tena vijijini siyo yule mpuuzi aliyekuwa anapita barabara kuu na kugawa maburungutu ya noti
ziara ya manyara ilipangwa hata kabla ya huyo bashiru kuongea ujuha wake? kama mzalendo kweli
mbona hajawatetea wakulima wa korosho walipoporwa korosho zao na MAGUFULI?
Mbona hajawambia wanafunzi waliokatazwa kufanya siasa anazofundisha yeye wagomee kauli ile ya kifedhuli
KWSHAKUFA HATARUDI TENA, KAMFUKUENI
Mlamba asali mwandamini....
 
Acheni hizo basi nyie sukumagang. Mbona Samia anafanya ziara kila Mara. Naona mmezidiwa hamna Cha kusema Tena baada ya mama kuwatumikia watu ipasavyo kwa kuondoa ukandamizaji uliofanya na mwendakuzimu Kama kuua, kutesa na kuimaliza kabisa demokrasia nchini mungu akaamua kututetea.
Baada ya bomu zito kutoka kwa balozi Dkt. Bashiru kikao cha dharura kimeazimia mama aanze ziara za kujibu hoja mbalimbali.

Ameambatana na baadhi ya mawaziri ambao wengine anaamini wataongea kauli za fedheha kwa Dkt. Bashiru lakini baadhi yao wameshtukia mtego kama Bashe.

Lakini ifahamike huu ni wakati wa ukame na jua ni kali mno. Hofu yangu ni kushindana na hoja ya dr Bashiru kwa kumdhurulisha huyu mama juani.

Maumbile yake na umri wake haviruhusu. Wasije wakamuumiza wakajikuta wamemkosa malkia wa nyuki na hivyo ikawa mwisho wa kulamba asali.
 
Ni Ziara za kawaida na kikazi Kama kawaida ya mh Rais kupita na kukutana na watanzania ili kuwasikiliza na kutatua kero za wananchi na siyo Kama unavyotaka kupotosha hapa kwa chuki zako za kitoto,hakuna wa kuweza kumtikisa Rais Samia,hayupo mwenye ubavu huo na Wala hajazaliwa
Sio kwa kipindi hiki. Na ziara imeanza saa sita mchana.
 
Back
Top Bottom