Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,486
- 2,332
Mfalme Suleiman alipewa mtihani kwa kuletewa kesi na wanawake wawili wakigombea mtoto mmoja, mtihani ambao aliushinda kwa hekima kubwa sana. Hekima aliyoitumia kushinda mtihani huo ilifanya watu wa mataifa mbalimbali wamiminike kwenda kumuona na kumpelekea zawadi.
Nimemfananisha JPM na mfalme Suleiman kwa kuwa JPM naye kapewa mtihani wa corona, hekima aliyoitumia kufanya maamuzi ni kinyume na msimamo wa dunia. Kama Tanzania tutaishinda corona kwa msimamo huu ni dhahiri Tanzania itapaa kwenye utalii kwa kuwa watu watakuja si kwasababu ya kuona wanyama bali kuona Tanzania inafananaje, kuona huyo Shujaa aitwae JPM yukoje.
Ila kama tutashindwa pia kuna madhara yake tutakuwa laughing stock of the world
Nimemfananisha JPM na mfalme Suleiman kwa kuwa JPM naye kapewa mtihani wa corona, hekima aliyoitumia kufanya maamuzi ni kinyume na msimamo wa dunia. Kama Tanzania tutaishinda corona kwa msimamo huu ni dhahiri Tanzania itapaa kwenye utalii kwa kuwa watu watakuja si kwasababu ya kuona wanyama bali kuona Tanzania inafananaje, kuona huyo Shujaa aitwae JPM yukoje.
Ila kama tutashindwa pia kuna madhara yake tutakuwa laughing stock of the world