johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,123
Mchungaji mwema wa Kondoo hutangulia mbele na kondoo wa Kundi lake humfuata nyuma Ili atokeapo Mbwa mwitu aweze kuwakabili kondoo wasidhurike.
Mchungaji wa Mbuzi hukaa nyuma ya kundi lake na itokeapo hatari awe wa mwisho kudhulika.
Tundu Antipas Lissu pamoja na madhila yote aliyokutana nayo bado ametangulia mbele Kuongoza kundi lake.
Kuna wakati Hayati Jommo Kenyatta alimtania baba wa taifa Mwalimu Nyerere kwamba anaongoza Mbuzi 😀😀😀
Mungu wa mbinguni mbariki Tundu Lissu!
Mchungaji wa Mbuzi hukaa nyuma ya kundi lake na itokeapo hatari awe wa mwisho kudhulika.
Tundu Antipas Lissu pamoja na madhila yote aliyokutana nayo bado ametangulia mbele Kuongoza kundi lake.
Kuna wakati Hayati Jommo Kenyatta alimtania baba wa taifa Mwalimu Nyerere kwamba anaongoza Mbuzi 😀😀😀
Mungu wa mbinguni mbariki Tundu Lissu!