Nyuma ya Pazia : Wanafunzi wa shule ya Msingi Bunge Washiriki maandamano ya BAWACHA , Walipuka kwa shangwe , Waonyesha alama ya vidole viwili

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,789
218,420
Katika kila jambo la kisiasa linaloendelea , ikiwemo mikutano ya hadhara , kampeni na Maandamano , huwa kuna vijimambo vinavyofanyika vya kusisimua sana lakini huwa havipewi nafasi na Waandishi wa Habari , kwa kifupi ni kwamba haviripotiwi , kwa maana hiyo watu wengi hawavipati na hivyo kunyimwa uhondo .

Sasa leo kwenye maandamano kabambe ya BAWACHA (Taasisi bora ya wanawake Africa) , Wanafunzi wa shule ya msingi Bunge walikurupuka kutoka madarasani na kushiriki Maandamano hayo ya mama zao , huku wakishangilia na kuimba nyimbo za kusifu Chadema na kuonyesha alama za vidole viwili ambayo ni nembo ya Chadema , Pamoja na Juhudi za Mwl Mkuu na walimu wengine kuwazuia lakini haikuwezekana .

Hatimaye masomo yakavurugika ! Hii ni ishara njema sana kwa hawa makamanda watoto .

Mungu ibariki Chadema

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Katika kila jambo la kisiasa linaloendelea , ikiwemo mikutano ya hadhara , kampeni na Maandamano , huwa kuna vijimambo vinavyofanyika vya kusisimua sana lakini huwa havipewi nafasi na Waandishi wa Habari , kwa kifupi ni kwamba haviripotiwi , kwa maana hiyo watu wengi hawavipati na hivyo kunyimwa uhondo .

Sasa leo kwenye maandamano kabambe ya BAWACHA (Taasisi bora ya wanawake Africa) , Wanafunzi wa shule ya msingi Bunge walikurupuka kutoka madarasani na kushiriki Maandamano hayo ya mama zao , huku wakishangilia na kuimba nyimbo za kusifu Chadema na kuonyesha alama za vidole viwili ambayo ni nembo ya Chadema , Pamoja na Juhudi za Mwl Mkuu na walimu wengine kuwazuia lakini haikuwezekana .

Hatimaye masomo yakavurugika ! Hii ni ishara njema sana kwa hawa makamanda watoto .

Mungu ibariki Chadema

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Maandamano ya mchongo kuhalalisha maamuzi fulani yaliyoamuliwa tayari!!


Mungu ibariki Tanzania nchi yetu niipendayo SANA!
 
CHADEMA mna dhambi isiyosameheka kweli kabisa mnawatendesha dhambi watoto wasio na hatia kwa kuwaandamanisha? Kweli migomo/maandamano na CHADEMA ni Kama uji na mgonjwa
 
Katika kila jambo la kisiasa linaloendelea , ikiwemo mikutano ya hadhara , kampeni na Maandamano , huwa kuna vijimambo vinavyofanyika vya kusisimua sana lakini huwa havipewi nafasi na Waandishi wa Habari , kwa kifupi ni kwamba haviripotiwi , kwa maana hiyo watu wengi hawavipati na hivyo kunyimwa uhondo .

Sasa leo kwenye maandamano kabambe ya BAWACHA (Taasisi bora ya wanawake Africa) , Wanafunzi wa shule ya msingi Bunge walikurupuka kutoka madarasani na kushiriki Maandamano hayo ya mama zao , huku wakishangilia na kuimba nyimbo za kusifu Chadema na kuonyesha alama za vidole viwili ambayo ni nembo ya Chadema , Pamoja na Juhudi za Mwl Mkuu na walimu wengine kuwazuia lakini haikuwezekana .

Hatimaye masomo yakavurugika ! Hii ni ishara njema sana kwa hawa makamanda watoto .

Mungu ibariki Chadema

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Umemchongea Mwalimu Mkuu wa shule ya Bunge ujue. Siyo kila jambo unaandika! Unajijenga kwa kuharibu vya wenzako. Siku ingine fikiria kabla ya kuandika
 
Back
Top Bottom