ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 42,433
- 49,102
Kabla ya Magufuli kuwa Rais Sgr zilizokuwa zimepangwa kujengwa ni ya Dar Hadi Kigoma Kisha Burundi na Tanga-Arusha Hadi Musoma via Moshi.
Ila kutokana na tabia yake ya visasi, kutojali na upendeleo alihamisha Kipande hicho na kukipeleka Isaka-Mwanza huku alijua fika kabisa hiyo section Haina faida yeyote kiuchumi..
Aidha alitelekeza mradi wa Bandari ya Musoma ambao ndio ungelisha Nchi za Maziwa Makuu badala yake akaweka Nguvu kwenye bandari ya Mwanza na Chato.
Ikumbukwe vizuri ni rahisi Kwa Uganda, Rwanda na South Sudan kutumia Bandari ya Tanga na Musoma Kwa kusafirisha bidhaa Kwa kutumia reli ya Tanga -Musoma kuliko kutumia Bandari ya Dar na Mwanza na Sgr yake kutokana na umbali mkubwa..
Moja ya mambo yule bwana atakumbukwa ni roho ya visasi na kuvuruga uchumi na Mipango bila kujali athari zake kwenye uchumi..
Tanga-Arusha-Musoma ni reli ya Kimkakati Kwa Ajili ya Mizigo ya Nchi za Maziwa Makuu,Utalii, kuwezesha uchimbaji wa magasi soda na kuleta ushindani kwenye bandari ya Mombasa.
Ila kutokana na tabia yake ya visasi, kutojali na upendeleo alihamisha Kipande hicho na kukipeleka Isaka-Mwanza huku alijua fika kabisa hiyo section Haina faida yeyote kiuchumi..
Aidha alitelekeza mradi wa Bandari ya Musoma ambao ndio ungelisha Nchi za Maziwa Makuu badala yake akaweka Nguvu kwenye bandari ya Mwanza na Chato.
Ikumbukwe vizuri ni rahisi Kwa Uganda, Rwanda na South Sudan kutumia Bandari ya Tanga na Musoma Kwa kusafirisha bidhaa Kwa kutumia reli ya Tanga -Musoma kuliko kutumia Bandari ya Dar na Mwanza na Sgr yake kutokana na umbali mkubwa..
Moja ya mambo yule bwana atakumbukwa ni roho ya visasi na kuvuruga uchumi na Mipango bila kujali athari zake kwenye uchumi..
Tanga-Arusha-Musoma ni reli ya Kimkakati Kwa Ajili ya Mizigo ya Nchi za Maziwa Makuu,Utalii, kuwezesha uchimbaji wa magasi soda na kuleta ushindani kwenye bandari ya Mombasa.