Kiukweli hili sikulijua wakuu, hivi iliwezekanaje mwanachama wa CUF kuteuliwa kwenye cheo kikubwa Kabisa cha chama kingine cha KATIBU MKUU?
Ukweli huu umebainishwa na Bulembo aliyewahi kuwa...
Ndugu zangu hiyo ndio kauli ya wakulima. Ndio kauli ya pamoja, Ndio msimamo wa wakulima, Ndio uamuzi wa wakulima, Ndio Hitimisho la wakulima. Wakulima wanasema na kuapa kuwa watamuunga mkono Rais...
Rais Samia akiwa njiani kuelekea Dodoma alisimama katika Halmashauri ya Wilaya Chemba kusalimiana na wananchi na kusema "Ahadi yetu kwenu tutarudisha kuwatumikia wananchi na kuondoa changamoto...
Waziri wa TAMISEMI, Angellah Kairuki, ameagiza TAKUKURU kuchunguza matumizi ya shilingi milioni 470, zilizotolewa na serikali kujenga shule mpya ya Sekondari Mwanduitinje, iliyopo jimbo la kisesa...
Rais Samia Suluhu anaendelea kututoa hofu watanzania katika suala zima la njaa alisema kuwa watanzania hatuna sababu yoyote ya kulia njaa.
"Nataka niwahimize tulime kwa sababu miaka ijayo Dunia...
Wakuu niko Arusha, mara nyingi huwa naona kwenye TV tu ila awamu hii nimeshuhudia kwa kwa uhalisia kabisa bila chenga.
Nimehesabu magari nikachoka nikaacha ila nikabaki kujiuliza maswali tu.
1...
Ndugu zangu Ni viongozi wachache Sana wenye moyo Kama alionao Rais mama Samia, Wenye uwezo wa kuvumilia kukosolewa na kila mtu na yeyote, mwenye uwezo wa kumsikiliza kila mtu bila kujari itikadi...
Wajumbe mia tano kutoka kanda, majimbo na mabaraza kuhudhuria mkutano mkuu pia wageni waalikwa kutoka nje walio vyama rafiki wa CHADEMA kuhudhuria kikao hicho.
CHADEMA kulenga chaguzi za 2024...
Kama mnavyofahamu yapata miaka miwili sasa tangu apewe kiti cha uraisi kutokana na katiba yetu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania alichokiridhi kutokwa kwa mwamba wa afrika na dunia kwa ujumla...
Mtaji wa chama chochote kinacho taka kushika dola ni Imani ya Wananchi juu ya chama hicho inayojengwa na uwepo wa viongozi bora na wenye utashi. Chama cha Mapinduzi kwa namna kinavyoendesha siasa...
Mjumbe wa kamati Kuu ya CHADEMA John Heche amewashukuru wananchi wa Lindi na Mtwara kwa mapokezi makubwa waliyompa, ameahidi kurudi Kusini kwa ziara ya siku 10 hivi karibuni.
Heche amesema...
Waswahili walishasema tangu awali , kwamba Pembe la ng'ombe halifichiki , Ukweli ni kwamba Nape Nnauye anapaswa kutafuta namna nyingine ya Kujikimu , Kujikimu kwake kwa sasa kunakotokana na Ubunge...
Hii video nimeiona sehemu ikabidi nipate uhakika kisha niipost.
Hawa ni wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UVCCM Mkoa wa Mara wakigawana Rushwa hadharani bila woga wala soni. Kama vijana wadogo...
Jumuiya ya Wanafunzi Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO) wamekionya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kutokana na tabia yake ya kupinga mambo mbalimbali yanayofanywa na Serikali...
Wakati Wenje anapigania kwa Nguvu zote Uraia pacha kule bungeni tulihisi anatetea Wajaluo wenzake kule mpakani
Kumbe mambo ni mengi kwamba hata Sugu ni " mnyamwezi" wa California
Nchi ngumu sana...
Na Gregory Jumbe Mahanju,
Tunaambiwa kua uyaone, tembea uone mengi, ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni. Hizi methali nilipokua mdogo nilidhani tu misemo tu ya waswahili làkini kumbe ni...
Dr Kigwangala amesema alipokuwa Waziri wa Maliasili na Utalii alifanya mambo mengi mazuri lakini hawezi kuyasema kwa sababu yeye siyo mpenda kusifiwa.
Ila kuna machache ambayo wengine wanaona...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan afungua Mkutano wa 10 wa Chama cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) uliofanyika kwenye ukumbi wa Kituo cha...
Kwa mara ya kwanza Bawacha imefanywa mkutano mkubwa nchini Zanzibar uliojadili mustakabali wa Taifa
Mgeni rasmi Naibu Katibu mkuu amesema Chadema inakubaliana na mapendekezo ya Kikosi kazi cha...
Wadau nawasalimu.
Juzi SERIKALI ya RAIS SAMIA kupitia Wizara ya Uchukuzi imepokea Baadhi ya Mabehewa kwa ajili ya Treni ya Umeme. Nilitarajia huyu Bwana angesifia sana Ujio wa hayo Mabehewa kwani...