Rais Samia Suluhu anaendelea kututoa hofu watanzania katika suala zima la njaa alisema kuwa watanzania hatuna sababu yoyote ya kulia njaa.
"Nataka niwahimize tulime kwa sababu miaka ijayo Dunia inaona hatari ya njaa, Tanzania hatuna sababu ya kulia njaa na ndiyo maana tunaweka miundombinu ya kuzalisha mbegu, tunajenga miundombinu ya kumwagilia na tumeanza kilimo cha mashamba makubwa ili chakula kiwe kingi cha kutosha" alisema hii ni baadhi ya mikakati inayotekelezwa na serikali yake ili kukomesha njaa Tanzania.
Lakini pia ivi karibuni Waziri wa kilimo Hussein Bashe amesema kwamba serikali tayari imetoa msaada wa chakula kwa wilaya 41 zinazokabiliwa na uhaba wa chakula nchini. na alimsisitizia Rais Samia Suluhu kuwa hakuna mtanzania atakaye kufa njaa kwasababu Serikali ina chakula cha kutosha.
Rais Samia Suluhu anaendelea kuboresha sekta ya kilimo na kupunguza gharama za kilimo ili tuendelee kuzalisha chakula cha kutosha na lengo la kuboresha sekta ya kilimo ni kumuinua mkulima kiuchumi pia kuzalisha chakula kingi ili Tanzania tusikumbwe na njaa.
"Nataka niwahimize tulime kwa sababu miaka ijayo Dunia inaona hatari ya njaa, Tanzania hatuna sababu ya kulia njaa na ndiyo maana tunaweka miundombinu ya kuzalisha mbegu, tunajenga miundombinu ya kumwagilia na tumeanza kilimo cha mashamba makubwa ili chakula kiwe kingi cha kutosha" alisema hii ni baadhi ya mikakati inayotekelezwa na serikali yake ili kukomesha njaa Tanzania.
Lakini pia ivi karibuni Waziri wa kilimo Hussein Bashe amesema kwamba serikali tayari imetoa msaada wa chakula kwa wilaya 41 zinazokabiliwa na uhaba wa chakula nchini. na alimsisitizia Rais Samia Suluhu kuwa hakuna mtanzania atakaye kufa njaa kwasababu Serikali ina chakula cha kutosha.
Rais Samia Suluhu anaendelea kuboresha sekta ya kilimo na kupunguza gharama za kilimo ili tuendelee kuzalisha chakula cha kutosha na lengo la kuboresha sekta ya kilimo ni kumuinua mkulima kiuchumi pia kuzalisha chakula kingi ili Tanzania tusikumbwe na njaa.