johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,979
Kwa mara ya kwanza Bawacha imefanywa mkutano mkubwa nchini Zanzibar uliojadili mustakabali wa Taifa
Mgeni rasmi Naibu Katibu mkuu amesema Chadema inakubaliana na mapendekezo ya Kikosi kazi cha mustakabali wa kisiasa Zanzibar kilichoundwa na Rais Mwinyi
Aidha Mwalimu amesema Chadema inataka Muungano uangaliwe upya na uwe wa Haki ambapo nchi zote zinazounda Muungano zitafaidika
Naye mjumbe wa Kamati kuu amesema Rais wa Jamhuri ya nchi ya Zanzibar amewaalika Ikulu kwenye kikao maalumu cha Rais na Chadema tu na kwamba wameupokea mwaliko huo kwa mikono miwili
Source ITV habari
Mgeni rasmi Naibu Katibu mkuu amesema Chadema inakubaliana na mapendekezo ya Kikosi kazi cha mustakabali wa kisiasa Zanzibar kilichoundwa na Rais Mwinyi
Aidha Mwalimu amesema Chadema inataka Muungano uangaliwe upya na uwe wa Haki ambapo nchi zote zinazounda Muungano zitafaidika
Naye mjumbe wa Kamati kuu amesema Rais wa Jamhuri ya nchi ya Zanzibar amewaalika Ikulu kwenye kikao maalumu cha Rais na Chadema tu na kwamba wameupokea mwaliko huo kwa mikono miwili
Source ITV habari