Inashangaza mno kuona rais Samia akitunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa uchumi na chuo kikuu cha Dar es Salaam ilhali nchi ndio kwanza imeghubikwa na hali ngumu ya uchumi kila upande...
Kumekuwa na utamaduni wa kulaumu wapinzani mali za serikali zikishikwa kwasababu ya uzembe wa serikali na ukatishaji wa mikataba.
Sasa tusije kusikia Mwigulu akija hapa badala ya kuelezea...
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameendelea kuchanja mbuga kwenye mikoa ya Singida, Tabora na Shinyanga huku akisema uchaguzi huu hautakuwa...
Uongozi wa chama cha walimu wilaya ya nyamagana upo njia panda kuhusu zilipo fedha za vituo yaani pesa zinazorudishwa mashuleni kwa ajili ya kuendeleza shughuli za chama mashuleni.
Zimesitishwa...
~Kishindo cha Shaka uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Amani
~Asema ni CCM ndiyo yenye uwezo wa kuleta maendeleo ya nchi
~Asisitiza kazi nzuri inayofanywa na Rais Mwinyi inaonekana
CHAMA Cha...
Ndugu watanzania, mtajwa hapo juu ni mtumishi wa Serikali ya Tanzania.
Hajulikani aliko, anachokifanya ndani ya Wizara ya Madini tangu ateuliwe na JPM hadi sasa.
Cha kushangaza na kusikitisha...
Kuna maamuzi mengi yanayofanywa kwa ubabe na Serikali ya Awamu ya 5 ambayo yanakiuka sheria sana. Yana athari kubwa sana kwa wananchi wanao tendewa. Rais ajaye baada ya JPM ajiandae kutumia...
Kuhusu Ya endeleaayo kwenye kuiba mitihani na kubadili namba za watahiniwa
Baada ya shule husika kufungiwa kuwa kituo cha Mitihani ya Baraza, Nini Hatma ya Wanafunzi waliokuwa wanasoma shule...
WANAFUNZI TANZANIA NA CHINA KUBADILISHANA UZOEFU
Na WyEST
DSM
# Mkataba ushirikiano wasainiwa DIT na Taasisi ya Ufundi (CQVIE) ya China
# Prof. Mkenda ashuhudia utiaji saini makubaliano...
Sababu za watanzania wengi kushangilia kukamatwa kwa hii ndege.
1- Tatizo lilianzia kwenye Slogan ya hii Ndege “ HAPA KAZI TU” haikuwa sahihi kwa sababu moja kwa moja inahususisha Chama cha CCM...
Najua Tanzania kuanzia wakati wa Kikwete imekuwa kama sifa kuwa na PHD hata kama ni za kupewa, kupendelewa au kununua. Kwa wanajua elimu huwezi na ni vigumu kuweza kupata PHD ya kweli wakati wewe...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia...
Ndugu zangu,
Kila leo najaribu kutafakari mustakabali wa taifa hili na mienendo ya taasisi mbalimbali za Serikali na utendaji wake. Ni jambo la kusikitisha, kutisha na kustaajabisha na ukosefu wa...
Habari za mchana kwa kila mmoja!
Tumekuwa tukisikia PM Kassim Majaliwa akiwahoji watu mbali mbali juu ya upigaji katika maeneo tofauti aliofanya ziara. Mifano:
1. Alipofanya ziara katika...
Siwachoshi!
Mliorogwa na jina JPM muendelee kuamini kuwa hasara zote za nchi hii chanzo chake ni yeye hata kama miaka miwili yuko kaburini!
Swali ni je, ndege yetu iliyokamatwa huko imefanya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Manyara katika Mkutano wa Hadhara katika Uwanja wa Kwaraa leo tarehe 23 Novemba, 2022
SEHEMU YA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani katika viwanja vya llulu Mkoani Lindi leo Disemba 1, 2022
Hotuba ya Rais Samia...
Hapa chini ni nchi 10 bora Afrika kwa uzalishaji wa nyanya.
Sisi pomoja na kuwa na ardhi ya kutosha na vyanzo lukuki vya maji ni wa pili kutoka mwisho.
1- Egypt [emoji1093] 7,943 tons
2-...
Tunapeana tu taarifa ili isionekane ni viongozi wa Serikali tu ndiyo wanaosafiri sana.
Freeman Mbowe yuko Marekani na tarehe 10 Dec atafanya mkutano mkubwa pale Washington DC.
Kadhalika Katibu...