Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Inashangaza mno kuona rais Samia akitunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa uchumi na chuo kikuu cha Dar es Salaam ilhali nchi ndio kwanza imeghubikwa na hali ngumu ya uchumi kila upande...
16 Reactions
62 Replies
5K Views
Kumekuwa na utamaduni wa kulaumu wapinzani mali za serikali zikishikwa kwasababu ya uzembe wa serikali na ukatishaji wa mikataba. Sasa tusije kusikia Mwigulu akija hapa badala ya kuelezea...
2 Reactions
6 Replies
605 Views
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameendelea kuchanja mbuga kwenye mikoa ya Singida, Tabora na Shinyanga huku akisema uchaguzi huu hautakuwa...
10 Reactions
23 Replies
4K Views
Uongozi wa chama cha walimu wilaya ya nyamagana upo njia panda kuhusu zilipo fedha za vituo yaani pesa zinazorudishwa mashuleni kwa ajili ya kuendeleza shughuli za chama mashuleni. Zimesitishwa...
0 Reactions
4 Replies
557 Views
~Kishindo cha Shaka uzinduzi wa Kampeni Jimbo la Amani ~Asema ni CCM ndiyo yenye uwezo wa kuleta maendeleo ya nchi ~Asisitiza kazi nzuri inayofanywa na Rais Mwinyi inaonekana CHAMA Cha...
0 Reactions
1 Replies
707 Views
Ndugu watanzania, mtajwa hapo juu ni mtumishi wa Serikali ya Tanzania. Hajulikani aliko, anachokifanya ndani ya Wizara ya Madini tangu ateuliwe na JPM hadi sasa. Cha kushangaza na kusikitisha...
6 Reactions
54 Replies
5K Views
Kuna maamuzi mengi yanayofanywa kwa ubabe na Serikali ya Awamu ya 5 ambayo yanakiuka sheria sana. Yana athari kubwa sana kwa wananchi wanao tendewa. Rais ajaye baada ya JPM ajiandae kutumia...
46 Reactions
220 Replies
21K Views
Kuhusu Ya endeleaayo kwenye kuiba mitihani na kubadili namba za watahiniwa Baada ya shule husika kufungiwa kuwa kituo cha Mitihani ya Baraza, Nini Hatma ya Wanafunzi waliokuwa wanasoma shule...
2 Reactions
3 Replies
546 Views
WANAFUNZI TANZANIA NA CHINA KUBADILISHANA UZOEFU Na WyEST DSM # Mkataba ushirikiano wasainiwa DIT na Taasisi ya Ufundi (CQVIE) ya China # Prof. Mkenda ashuhudia utiaji saini makubaliano...
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Sababu za watanzania wengi kushangilia kukamatwa kwa hii ndege. 1- Tatizo lilianzia kwenye Slogan ya hii Ndege “ HAPA KAZI TU” haikuwa sahihi kwa sababu moja kwa moja inahususisha Chama cha CCM...
169 Reactions
446 Replies
36K Views
Najua Tanzania kuanzia wakati wa Kikwete imekuwa kama sifa kuwa na PHD hata kama ni za kupewa, kupendelewa au kununua. Kwa wanajua elimu huwezi na ni vigumu kuweza kupata PHD ya kweli wakati wewe...
0 Reactions
2 Replies
730 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo alishiriki kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yalifanyika mkoani Lindi. Mapokezi ya Rais Samia...
2 Reactions
13 Replies
983 Views
Ndugu zangu, Kila leo najaribu kutafakari mustakabali wa taifa hili na mienendo ya taasisi mbalimbali za Serikali na utendaji wake. Ni jambo la kusikitisha, kutisha na kustaajabisha na ukosefu wa...
0 Reactions
0 Replies
327 Views
Habari za mchana kwa kila mmoja! Tumekuwa tukisikia PM Kassim Majaliwa akiwahoji watu mbali mbali juu ya upigaji katika maeneo tofauti aliofanya ziara. Mifano: 1. Alipofanya ziara katika...
1 Reactions
11 Replies
747 Views
Mwenyekiti wa CCM Dar ni Mtemvu, wale jamaa wataficha wapi sura zao? Nasikia kapata kura 444 Abbas Mtemvu ndo mwenyekiti Mpya wa CCM wa Dar Es Salaam
5 Reactions
32 Replies
5K Views
Siwachoshi! Mliorogwa na jina JPM muendelee kuamini kuwa hasara zote za nchi hii chanzo chake ni yeye hata kama miaka miwili yuko kaburini! Swali ni je, ndege yetu iliyokamatwa huko imefanya...
2 Reactions
7 Replies
712 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Manyara katika Mkutano wa Hadhara katika Uwanja wa Kwaraa leo tarehe 23 Novemba, 2022 SEHEMU YA...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani katika viwanja vya llulu Mkoani Lindi leo Disemba 1, 2022 Hotuba ya Rais Samia...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hapa chini ni nchi 10 bora Afrika kwa uzalishaji wa nyanya. Sisi pomoja na kuwa na ardhi ya kutosha na vyanzo lukuki vya maji ni wa pili kutoka mwisho. 1- Egypt [emoji1093] 7,943 tons 2-...
13 Reactions
54 Replies
2K Views
Tunapeana tu taarifa ili isionekane ni viongozi wa Serikali tu ndiyo wanaosafiri sana. Freeman Mbowe yuko Marekani na tarehe 10 Dec atafanya mkutano mkubwa pale Washington DC. Kadhalika Katibu...
0 Reactions
29 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…