Kumekuwa na utamaduni wa kulaumu wapinzani mali za serikali zikishikwa kwasababu ya uzembe wa serikali na ukatishaji wa mikataba.
Sasa tusije kusikia Mwigulu akija hapa badala ya kuelezea suluhisho na jinsi ya kuepuka hizi hasara aanze kulalamikia wapinzani ambao walikuwa wanawashauri bungeni serikali kuhusu hii mikataba!.
Mkimwona Lissu anacheka ni kwasababu hajasikilizwa bungeni na serikali badala yake wapinzani walipuuzwa wakati wa mikataba mingi.
Tusiwe warahisi kutafuta wachawi badala ya suluhisho.
Sasa tusije kusikia Mwigulu akija hapa badala ya kuelezea suluhisho na jinsi ya kuepuka hizi hasara aanze kulalamikia wapinzani ambao walikuwa wanawashauri bungeni serikali kuhusu hii mikataba!.
Mkimwona Lissu anacheka ni kwasababu hajasikilizwa bungeni na serikali badala yake wapinzani walipuuzwa wakati wa mikataba mingi.
Tusiwe warahisi kutafuta wachawi badala ya suluhisho.