johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,981
Waziri wa Afya mh Ummy Mwalimu amesema kuna tetesi za Covid-19 anaimba Wananchi watulie
Ummy amesema wanachakata taarifa Kutoka vituo mbalimbali kama kuna dalili za ongezeko la matatizo ya kupumua kisha tutatoa taarifa
Waziri Ummy ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter
Mlale Unono!
Ummy amesema wanachakata taarifa Kutoka vituo mbalimbali kama kuna dalili za ongezeko la matatizo ya kupumua kisha tutatoa taarifa
Waziri Ummy ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter
Mlale Unono!