Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ijumaa Desemba 2, 2022, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) lilitoa taarifa ya jitihada za muda mfupi zilizokamilika pamoja na zinazoendelea kufanyika katika kukabiliana na upungutu wa umeme. Leo...
12 Reactions
102 Replies
8K Views
Nakumbuka enzi za chama kimoja tulikuwa tunaletewa majina mawili ya wagombea Ubunge tukitakiwa kumchagua mmoja, lakini kwa uchaguzi wa Rais jina lilikuwa ni moja tu likiwa limepitia mchujo mkali...
2 Reactions
3 Replies
393 Views
Dkt. Kigwangalla amesema amekubaliana na Serikali kwamba yale mabehewa ni Mapya ila bado hajajibiwa hoja moja ya thamani halisi ya mabehewa hayo Dkt. Kigwangalla amesema anayestahili Sifa kwa...
1 Reactions
7 Replies
596 Views
Jamani kuna halmashauri,majiji pesa za serikali zinapigwa si kitoto,wakubwa nao wapigaji huku chini itakuwaje jamani? Nimeita halmashauri moja kanda ya kusini nikasajili kikundi cha wakulima...
0 Reactions
0 Replies
357 Views
Magari ya mizigo yote yanayotoka Dar kwenda mikoani huwa yanarudi tupu, maana yake hatuna sisi cha kupeleka bandarini. Sana sana labda wabebe matenga ya nyanya na magunia ya viazi kupeleka sokoni...
6 Reactions
12 Replies
998 Views
TRC wanajichanganya sana, na pengine mwisho wa siku Masanja Kadogosa itabidi afungwe jiwe shingoni na kutupwa chini ya treni, lakini TRC wangesema waziwazi kuwa pesa zilizozidi kwenye bei ya...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Nilimsikiliza Rais Dkt. Samia akigusia suala la behewa zetu used akisema, zimeagizwa ili zianze kutumika kabla ya zile mpya na nzuri na zenye gharama kubwa kuja, na ambapo amesema zitakuja mwaka...
3 Reactions
2 Replies
693 Views
Taarifa zilizopatikana mpaka muda huu nabandika hii habari hapa jukwaani ni kuwa serikali inatarajia kununua mabehewa na engine kadhaa kwa ajili kuanza kutumika kwenye kipande cha Dar - Moro...
31 Reactions
109 Replies
11K Views
Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, imempitisha Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea uenyeki wa CCM katika uchaguzi wa Chama utakaofanyika Desemba 7, mwaka huu jijini Dodoma. Akizungumza...
2 Reactions
12 Replies
983 Views
Habari wakuu, Hivi ninyi hamjagundua Bashiru anaongea kama Nyerere. Nilichogundua Bashiru angepewa cheo pale CCM 😃😃😃 hawa chawa wangetulia kimya. Chawa bwana 😀😀inabidi kungefanyika majibizano ya...
12 Reactions
61 Replies
5K Views
NB: Ya Magufuli ni yake Samia. ==== Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza TZS milioni 960 ambazo zilitengwa katika bajeti kwa ajili ya maadhimisho ya sherehe za Uhuru...
3 Reactions
50 Replies
5K Views
Video ya Rais William Ruto akiongea na wakenya waishio ughaibuni (diaspora) siku za karibuni, imejaa kila aina ya somo jema kwa uhai wa miaka mingi wa Tanzania yetu. Ruto kawa muwazi kwa wakenya...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Hakika kuna za chini ya kapeti kuwa wajumbe wengi wanakasirishwa na utendaji na tabia za hawa vijana wa Samia wanaowania nafasi zile 15 za kapu ndani ya Halmashauri Kuu na wameahidi kuwafundisha...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mheshimiwa Dkt. Jakaya Kikwete, Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global Partnership for Education) - GPE) ameshiriki katika Mkutano wa Mageuzi...
1 Reactions
7 Replies
741 Views
Ndani ya CCM kumeibuka tabia ya baadhi ya wanachama kujiona wana nguvu sawa au kuliko Chama. Tuliona hivyo mwaka 2015 wakati Lowassa alipokatwa CCM kwamba CCM ikatike naye. Haiwezekani chungu...
0 Reactions
5 Replies
776 Views
Hamisi Kingwangala (Mb), Nzega Vijini, amekuwa akitoa maneno yenye nia ya kuchonganisha kuhusu mabehewa yaliyonunuliwa katika ukurasa wake wa tweeter. Kwa nafasi yake anapowauliza Watanzania kama...
4 Reactions
179 Replies
10K Views
Yaani inakuajekuaje mtu unaahirisha Sherehe za Uhuru? Uhuru? UHURU? Sababu kubwa? Pesa ziende kwenye MAENDELEO? Yaan Mnaacha mafisadi yanajipigia, Mnajipa masafari Kila kukicha, Mnajipa matumizi...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Wasalaam, Viongozi wetu wakuu wanapoteua vijana ambao pengine hawana uzoefu wala ujuzi mkubwa sio kwamba tunastahili sana ila ni kwa sababu tunatengenezwa mazingira ya kuaminiwa kwa nafasi za juu...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global Partnership for Education (GPE) ameongoza Vikao vya...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Kidumu Chama cha mapinduzi, Pongezi na hongera kwa kila mmoja aliyefanikisha uchaguzi wa Chama na jumuiya kwa ngazi zote. Mmefanikisha kuitekeleza demokrasia kwa vitendo. Kesho tarehe 07/12/2022...
0 Reactions
4 Replies
930 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…