Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe. Amos Makalla ni shahidi mwaminifu kwenye hilo. Kaskazini mwanzo mzuri. Hakuna kurudi nyuma. Na mkikaza inavyopaswa, pana watu vibarua vitaota nyasi...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete kwa niaba ya Wastaafu amemshukuru Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaalika kushuhudia uzinduzi wa Ikulu mpya ya Chamwino Dodoma huku...
0 Reactions
0 Replies
619 Views
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amewataka Watanzania waungane Ili kuiondoa CCM madarakani. Mbowe amesema Waliteswa, walipigwa Risasi, waliuawa na wengine wakafungwa Jela lakini walisimama imara...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Tunampongeza Rais Samia kwa sababu ameweza kuitimiliza ndoto ya mtangulizi wake Hayati Magufuli ya kujenga Ikulu kubwa zaidi Duniani. Kukamilisha kazi iliyoachwa kunahitaji Uthubutu, Ujasiri na...
7 Reactions
55 Replies
4K Views
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema...
14 Reactions
123 Replies
8K Views
Dunia inaenda kwa haraka sana. Na mambo yaenda kwa kasi sana. Tangu mwaka 2019 CHADEMA imekuwa na msemo wa kuwaita watu wa kanda ya ziwa sukuma gang. Nimekuwa na jiuliza kwa muda mrefu sana ni...
8 Reactions
345 Replies
12K Views
It is a very complex issue! Shida ilianzia kwa siasa - kukuza bunge ili kupata kura na kuunda serekali kuuubwa vyote vikitumia kiasi kikubwa zaidi cha pesa kujiendesha badala ya kufuta ujinga na...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Kuna msemo wa samaki mmoja akioza basi na wengine huwa na sifa ya kuoza. Najua wana CCM wengi kwa sasa wanaenda na upepo wa amani kulingana na mama Samia anavyo liendesha taifa kwa weledi. Ila...
0 Reactions
2 Replies
435 Views
Kama unabisha tafuta Katiba ya CHADEMA uisome yote halafu tupe mrejesho. Wabunge wasio na chama bungeni ni zao la Katiba dhaifu ya chama cha Siasa. Rufaa kusikilizwa inachukua zaidi ya mwaka...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Kwa ufahamisho, Dodoma ulitangazwa rasmi kuwa mji mkuu wa Tanzania na rais mwanzilishi Julius Nyerere mwaka 1973. Uamuzi wa kuhamisha makuu makuu Dodoma ulichukuliwa na Halmashauri ya TANU chini...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu zangu watanzania, Vijana wa Boda Boda wameonekana wakihamasishana na kupishana milangoni katika ofisi za CCM Kutaka Kupewa Kadi za Uanachama,vijana hao wamekuwa wakizungumza waziwazi kuwa...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani. Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check...
1 Reactions
51 Replies
3K Views
MSIMAMO WA RAIS DKT MAGUFULI DHIDI YA UGONJWA WA CORONA NDIO ULIKUWA MPANGO WA MUNGU KWA AFRIKA. Na Elius Ndabila 0768239284 Leo nitazungumza mambo makubwa ambayo yatapambwa na ushahidi wa...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Wale wapenzi/wacheza Soka wanajua umuhimu wa "assists" kwenye mpira wa miguu! Ni wazi kuwa ushindi wa CCM mwaka 2025 unategemea sana miradi ya kimkakati ambayo inaendelea kwa sasa Nchini!Mradi wa...
0 Reactions
0 Replies
387 Views
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza mchakato mzima wa kuhamishia makao makuu ya nchi kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma pamoja na mchakato wa ujenzi wa Ikulu ya Chamwino Dodoma wakati wa uzinduzi wa...
1 Reactions
2 Replies
719 Views
Samahani Mimi binafsi naamini hii idea ya chadema ni nzuri katika kukimbiza maendeleo ya Tanzania. Japo wanaccm ni kama wanaipinga Kwa nguvu sana . Embu naomba tujadiri Kwa kina faida na madhara...
0 Reactions
3 Replies
743 Views
Ameandika haya Rais samia kupitia ukurasa wake wa mtandao wa twitter. Uzinduzi rasmi wa Ikulu yetu ni tukio kubwa la historia kwa Taifa letu. Tuungane sote kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Mkoa wa Kagera ni mfano halisi wa ujinga wa mtu mweusi. Mkoa unaardhi nzuri na mvua ya kutosha. Ndiyo maana wanaweza kulima mazao kama kahawa na ndizi, na miwa, mazao ya nahohitaji hali nzuri ya...
12 Reactions
99 Replies
7K Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameitaka serikali kuwalipa Vijana waliojenga Ikulu ya Chamwino Dodoma Katika ukurasa wake wa twitter Godbless Lema ameweka clip ya...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Binafsi, kwa mtazamo wangu ukiachana na gharama kubwa za uendeshaji wa Serikali za majimbo kwa maana ya kwamba mpaka Serikali inaitwa serikali inakuwa ni mamlaka kamili yenye kujitegemea kwa kila...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…