Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe. Amos Makalla ni shahidi mwaminifu kwenye hilo.
Kaskazini mwanzo mzuri. Hakuna kurudi nyuma. Na mkikaza inavyopaswa, pana watu vibarua vitaota nyasi...
Rais Mstaafu wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete kwa niaba ya Wastaafu amemshukuru Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwaalika kushuhudia uzinduzi wa Ikulu mpya ya Chamwino Dodoma huku...
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amewataka Watanzania waungane Ili kuiondoa CCM madarakani.
Mbowe amesema Waliteswa, walipigwa Risasi, waliuawa na wengine wakafungwa Jela lakini walisimama imara...
Tunampongeza Rais Samia kwa sababu ameweza kuitimiliza ndoto ya mtangulizi wake Hayati Magufuli ya kujenga Ikulu kubwa zaidi Duniani.
Kukamilisha kazi iliyoachwa kunahitaji Uthubutu, Ujasiri na...
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema...
Dunia inaenda kwa haraka sana. Na mambo yaenda kwa kasi sana.
Tangu mwaka 2019 CHADEMA imekuwa na msemo wa kuwaita watu wa kanda ya ziwa sukuma gang.
Nimekuwa na jiuliza kwa muda mrefu sana ni...
It is a very complex issue!
Shida ilianzia kwa siasa - kukuza bunge ili kupata kura na kuunda serekali kuuubwa vyote vikitumia kiasi kikubwa zaidi cha pesa kujiendesha badala ya kufuta ujinga na...
Kuna msemo wa samaki mmoja akioza basi na wengine huwa na sifa ya kuoza.
Najua wana CCM wengi kwa sasa wanaenda na upepo wa amani kulingana na mama Samia anavyo liendesha taifa kwa weledi.
Ila...
Kama unabisha tafuta Katiba ya CHADEMA uisome yote halafu tupe mrejesho.
Wabunge wasio na chama bungeni ni zao la Katiba dhaifu ya chama cha Siasa.
Rufaa kusikilizwa inachukua zaidi ya mwaka...
Kwa ufahamisho, Dodoma ulitangazwa rasmi kuwa mji mkuu wa Tanzania na rais mwanzilishi Julius Nyerere mwaka 1973.
Uamuzi wa kuhamisha makuu makuu Dodoma ulichukuliwa na Halmashauri ya TANU chini...
Ndugu zangu watanzania,
Vijana wa Boda Boda wameonekana wakihamasishana na kupishana milangoni katika ofisi za CCM Kutaka Kupewa Kadi za Uanachama,vijana hao wamekuwa wakizungumza waziwazi kuwa...
Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.
Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check...
MSIMAMO WA RAIS DKT MAGUFULI DHIDI YA UGONJWA WA CORONA NDIO ULIKUWA MPANGO WA MUNGU KWA AFRIKA.
Na Elius Ndabila
0768239284
Leo nitazungumza mambo makubwa ambayo yatapambwa na ushahidi wa...
Wale wapenzi/wacheza Soka wanajua umuhimu wa "assists" kwenye mpira wa miguu!
Ni wazi kuwa ushindi wa CCM mwaka 2025 unategemea sana miradi ya kimkakati ambayo inaendelea kwa sasa Nchini!Mradi wa...
Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza mchakato mzima wa kuhamishia makao makuu ya nchi kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma pamoja na mchakato wa ujenzi wa Ikulu ya Chamwino Dodoma wakati wa uzinduzi wa...
Samahani Mimi binafsi naamini hii idea ya chadema ni nzuri katika kukimbiza maendeleo ya Tanzania.
Japo wanaccm ni kama wanaipinga Kwa nguvu sana .
Embu naomba tujadiri Kwa kina faida na madhara...
Ameandika haya Rais samia kupitia ukurasa wake wa mtandao wa twitter.
Uzinduzi rasmi wa Ikulu yetu ni tukio kubwa la historia kwa Taifa letu. Tuungane sote kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa...
Mkoa wa Kagera ni mfano halisi wa ujinga wa mtu mweusi. Mkoa unaardhi nzuri na mvua ya kutosha. Ndiyo maana wanaweza kulima mazao kama kahawa na ndizi, na miwa, mazao ya nahohitaji hali nzuri ya...
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameitaka serikali kuwalipa Vijana waliojenga Ikulu ya Chamwino Dodoma
Katika ukurasa wake wa twitter Godbless Lema ameweka clip ya...
Binafsi, kwa mtazamo wangu ukiachana na gharama kubwa za uendeshaji wa Serikali za majimbo kwa maana ya kwamba mpaka Serikali inaitwa serikali inakuwa ni mamlaka kamili yenye kujitegemea kwa kila...