Mkongwe Mzoefu
JF-Expert Member
- Aug 10, 2018
- 842
- 2,467
Hakika kuna za chini ya kapeti kuwa wajumbe wengi wanakasirishwa na utendaji na tabia za hawa vijana wa Samia wanaowania nafasi zile 15 za kapu ndani ya Halmashauri Kuu na wameahidi kuwafundisha adabu ya utumishi ni kuheshimu walio chini.
Kuna habari pia kuwa Mama Mwenyekiti anawataka hao vijana wake by hook and crook na kuwa lazima waingie katika Halmashauri Kuu Wajumbe watake wasitake.
Kwanini Mwenyekiti anakomaa hao vijana wapite? Je, ni kwa maslahi ya chama au naye kapewa maelekezo kutoka nguvu isiyoonekana kwa macho?
Kuna habari pia kuwa Mama Mwenyekiti anawataka hao vijana wake by hook and crook na kuwa lazima waingie katika Halmashauri Kuu Wajumbe watake wasitake.
Kwanini Mwenyekiti anakomaa hao vijana wapite? Je, ni kwa maslahi ya chama au naye kapewa maelekezo kutoka nguvu isiyoonekana kwa macho?