johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Makamu mwenyekiti wa Chadema Mh Tundu Lisu kupitia ukurasa wake wa twitter amewapongeza Wafanyabiashara wa Kariakoo kwa kudai haki zao kwa njia ya Mgomo.
Tundu Lisu amesema anategemea Wafanyabiashara hao watagoma hadi Rais Samia atakapokuja kuwasikiliza kwa sababu matatizo yao siyo kwamba hayajui.
Kuna wakati Tundu Lisu busara za Kiuongozi huwa zinamtoka kabisa na kubakia empty set.
=======
Tundu Lisu amesema anategemea Wafanyabiashara hao watagoma hadi Rais Samia atakapokuja kuwasikiliza kwa sababu matatizo yao siyo kwamba hayajui.
Kuna wakati Tundu Lisu busara za Kiuongozi huwa zinamtoka kabisa na kubakia empty set.
=======