Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 5,248
- 15,684
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12 Mkutano wa 11, Kikao cha 26 leo Mei 16, 2023.
WAITARA ADAI KUNA WATU WANAPIGWA RISASI HADHARANI TARIME
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Mwikwabe Waitara ameuliza hatua za Serikali kuhusu tuhuma za mauaji akidai kati ya Aprili na Mei 2023 kuna mauaji yametokea Mji wa Sirari (Wilaya ya Tarime Mkoani Mara) pamoja na katika kata nyingie 8 ambazo watu wanapigwa risasi hadharani na hakuna hatua zinazochukuliwa hali inayosababisha amani kupotea na hali ya biashara kuyumba
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amesema “Hali ya usalama Nchini ni imara, matukio yote ya uhalifu yanadhibitiwa, kuhusu suala la Jimbo lake siwezi kumjibu hapa kuwa tukio hili lipo katika hatua gani lakini nimuhakikishie kuwa hakuna sehemu ambayo uhalifu unatokea na Polisi wasichukue hatua."
WAITARA ADAI KUNA WATU WANAPIGWA RISASI HADHARANI TARIME
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Mwikwabe Waitara ameuliza hatua za Serikali kuhusu tuhuma za mauaji akidai kati ya Aprili na Mei 2023 kuna mauaji yametokea Mji wa Sirari (Wilaya ya Tarime Mkoani Mara) pamoja na katika kata nyingie 8 ambazo watu wanapigwa risasi hadharani na hakuna hatua zinazochukuliwa hali inayosababisha amani kupotea na hali ya biashara kuyumba
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amesema “Hali ya usalama Nchini ni imara, matukio yote ya uhalifu yanadhibitiwa, kuhusu suala la Jimbo lake siwezi kumjibu hapa kuwa tukio hili lipo katika hatua gani lakini nimuhakikishie kuwa hakuna sehemu ambayo uhalifu unatokea na Polisi wasichukue hatua."