Watu wa CCM mnajipa stress kwa vitu minor sana badala ya muda huu ni kwa namna gani mtajihakikishia ushindi wa uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2024 ambao hautakuwa na mambo ya kupita bila kupingwa kama 2019 mnajadili helikopta ya Chadema . Idiots
Kwa sentensi mbili,elezea ni kwa namna gani wanateswa?Hela za kodi zetu wanazopewa na Rais Samia zinatumika kutesa wananchi
Ruzuku zao.Helicopter yao, wameisajili wao, mafuta yao
Kwahiyo wakianza kukusanya kodi watatumia Toyota Carina sio, kataeni ruzuku basi.Umevurugwa kweli wewe wapi Chadema wanakusanya Kodi mbweha wewe
Ruzuku wanayopewa na Serikali zaidi ya milioni 100 kila mwezi ni kodi ya WatanzaniaUmevurugwa kweli wewe wapi Chadema wanakusanya Kodi mbweha wewe
Kwani hiyo helkopita ni Mali ya nani?
CHADEMA Tanzania
@ChademaTz
·
1h
#Tujikumbushe "Matumizi ya Helikopta kwetu ni usafiri wa Kawaida." Mwenyekiti
@freemanmbowetz
Ruzuku wanayopewa na Serikali zaidi ya milioni 100 kila mwezi ni kodi ya Watanzania
Wakatae kwa mujibu wa Sheria ipi?Kwahiyo wakianza kukusanya kodi watatumia Toyota Carina sio, kataeni ruzuku basi.
Wewe sasa tunakutambua kama mental retard.Hela za kodi zetu wanazopewa na Rais Samia zinatumika kutesa wananchi
Kamanda wa anga, tumezoea kumuita hivyo, kwetu ni kaka na kwenye chama ni MWAMBA.
@freemanmbowetz ameondoka Arusha Airport kwa safari ya KigomaTutakuwa na mkutano Mwanga Centre - Kigoma kuanzia saa 8 mchana.Baada ya leo tutakuwa na mikutano mitatu kwa siku #plus255KatibaMpya