tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,850
- 18,260
Shehe mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja amesikika na kuonekana hadharani akipinga vikali chanjo ya malaria kwa watanzania kwa kuhofia kuwa huenda imechanganywa na homoni za ushoga. Alitamka maneno hayo mbele ya Waziri wa Afya, huku akishangiliwa na kutuzwa na waislamu wenzake waliohudhuria mhadhara huo. Waziri alikaa kimya bila kujibu chochote akiashiria kuwa amekubaliana na maoni ya shehe.
Kitendo cha shehe huyo kukataa chanjo kinatokana na kushamiri vitendo vya kishoga siku za hivi karibuni ambapo mwanaharakati aitwaye Catherine Kahabi alizitaja hadharani taasisi zinazofadhili vitendo vya kishoga hapa nchini.
MAONI YANGU
Nawakubali sana waislamu kwa misimamo yao isiyoyumba, hasa pale unapotaka kuwachomea jambo au hoja kengeufu. Kama wakristo wangekuwa na misimamo isiyoyumba kama hii ya waislamu, nchi hii ingekuwa mbali sana kimaendeleo. Tatizo wakristo ni wapole sana. Mambo yanapokuwa magumu utawasikia wakisema: “Tunamuachia Mungu”. Waislamu hawana ujinga huo. Wakiamua kuwasha moto wanawasha kweli kweli bila kurudi nyuma mpaka kieleweke. Hapa ndipo waislamu na wakristo wanapotofautiana katika mambo ya muhimu na msingi katika ujenzi wa taifa letu tukufu.
====
Kulingana na habari ya BBC News Swahili, chanjo mpya ya malaria ambayo inajulikana kama RTS,S imeidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO). Chanjo hii inakusudiwa kuwalinda watoto dhidi ya ugonjwa wa malaria. Kwa sasa, chanjo hiyo imefanyiwa majaribio katika nchi za Malawi, Ghana, na Kenya. Inakadiriwa kuwa chanjo hii inaweza kuzuia visa vya malaria kwa asilimia 40, na asilimia 30 ya visa hatari zaidi vya ugonjwa huo. Zaidi ya watoto 800,000 wameshapokea angalau dozi moja ya chanjo hiyo. Chanjo inahitaji dozi nne ili kuwa na ufanisi, na watoto wanachukuliwa kuwa katika hatari kubwa ya kufariki kutokana na malaria. Gharama na ununuzi wa chanjo hiyo bado hazijathibitishwa, na jumuiya ya kimataifa ya ufadhili italazimika kujadiliana jinsi ya kununua na kusambaza chanjo hiyo. Ingawa chanjo ya malaria inaleta matumaini, mamlaka za afya zinaonya kuwa ni muhimu kuendelea na hatua zingine za kinga kama vile kulala ndani ya vyandarua vilivyotibiwa na dawa za kuua mbu wanaosababisha malaria.
Kitendo cha shehe huyo kukataa chanjo kinatokana na kushamiri vitendo vya kishoga siku za hivi karibuni ambapo mwanaharakati aitwaye Catherine Kahabi alizitaja hadharani taasisi zinazofadhili vitendo vya kishoga hapa nchini.
MAONI YANGU
Nawakubali sana waislamu kwa misimamo yao isiyoyumba, hasa pale unapotaka kuwachomea jambo au hoja kengeufu. Kama wakristo wangekuwa na misimamo isiyoyumba kama hii ya waislamu, nchi hii ingekuwa mbali sana kimaendeleo. Tatizo wakristo ni wapole sana. Mambo yanapokuwa magumu utawasikia wakisema: “Tunamuachia Mungu”. Waislamu hawana ujinga huo. Wakiamua kuwasha moto wanawasha kweli kweli bila kurudi nyuma mpaka kieleweke. Hapa ndipo waislamu na wakristo wanapotofautiana katika mambo ya muhimu na msingi katika ujenzi wa taifa letu tukufu.
====
Kulingana na habari ya BBC News Swahili, chanjo mpya ya malaria ambayo inajulikana kama RTS,S imeidhinishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO). Chanjo hii inakusudiwa kuwalinda watoto dhidi ya ugonjwa wa malaria. Kwa sasa, chanjo hiyo imefanyiwa majaribio katika nchi za Malawi, Ghana, na Kenya. Inakadiriwa kuwa chanjo hii inaweza kuzuia visa vya malaria kwa asilimia 40, na asilimia 30 ya visa hatari zaidi vya ugonjwa huo. Zaidi ya watoto 800,000 wameshapokea angalau dozi moja ya chanjo hiyo. Chanjo inahitaji dozi nne ili kuwa na ufanisi, na watoto wanachukuliwa kuwa katika hatari kubwa ya kufariki kutokana na malaria. Gharama na ununuzi wa chanjo hiyo bado hazijathibitishwa, na jumuiya ya kimataifa ya ufadhili italazimika kujadiliana jinsi ya kununua na kusambaza chanjo hiyo. Ingawa chanjo ya malaria inaleta matumaini, mamlaka za afya zinaonya kuwa ni muhimu kuendelea na hatua zingine za kinga kama vile kulala ndani ya vyandarua vilivyotibiwa na dawa za kuua mbu wanaosababisha malaria.