Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,330
- 24,212
Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Mmeshaharibu upepo!
Ungekua unaakili usinge uliza hili suali we unafikir hao ni wanyama wawe bila kiongoziWafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Umeandika meengi bila ushahidi wowote? Hili lilikuwa ni swali kwa mtoa mada. Wewe ulitakiwa kama una evidence uweke. Badala yake wewe unatoa hukumu moja kwa moja!I was thinking about this too, vyema tukumbuke hii issue ilianzia kwa wafanyabiashara wenyewe waka organise mambo yao, mpaka utekelezaji, sasa hao jamaa wa Chadema kuingilia kati sijaelewa mantiki yao...
Hakuna mgomo wala maandamano hapa Tanzania bila upinzani kubwa nyuma ya haya, ule wa madaktari, walimu, wana habari mapema vyuo vikuu so hapa Mbowe anwatuma wafanye yeye anajificha kwenye mwavuli wa madhirianoI was thinking about this too, vyema tukumbuke hii issue ilianzia kwa wafanyabiashara wenyewe waka organise mambo yao, mpaka utekelezaji, sasa hao jamaa wa Chadema kuingilia kati sijaelewa mantiki yao...
Kweli kabisa.I was thinking about this too, vyema tukumbuke hii issue ilianzia kwa wafanyabiashara wenyewe waka organise mambo yao, mpaka utekelezaji, sasa hao jamaa wa Chadema kuingilia kati sijaelewa mantiki yao.
...
Utaacha lini kuota weee ? Mbowe anaingiaje sasa kwenye mambo ya kariakoo? Sometimes ina kera sana mtu mzima kujawa na chuki na kusambaza uongochana kutwa bila kuwa na ushahidi wowoteHakuna mgomo wala maandamano hapa Tanzania bila upinzani kubwa nyuma ya haya ,ule wa madaktari,walimu ,wana habari mapema vyuo vikuu so hapa Mbowe anwatuma wafanye yeye anajificha kwenye mwavuli wa madhiriano
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishadai haki yako tayari ni siasa.I was thinking about this too, vyema tukumbuke hii issue ilianzia kwa wafanyabiashara wenyewe waka organise mambo yao, mpaka utekelezaji, sasa hao jamaa wa Chadema kuingilia kati sijaelewa mantiki yao.
Sijui ndio kutetea haki, hata kama ni kufanya hivyo, siasa ikiingia kwenye haya mambo inaweza pelekea muelekeo tofauti, wakakosa kile walichokusudia kwa sababu watawala wanaweza kuhisi kuna wapinzani wako nyuma yao, mwishowe itakuwa ni kukomoana tu kama ilivyo kawaida ya CCM na upinzani.
Hao wafanya biashara hapo kariakoo wote ni Chedema?Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Mumeanza kutafuta kick baada ya kukosa sera mnaibuka na kila aina ya uongo wa kutunga muonekane mko hewaniWafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Acha na sukuma gang. Kila uchao wanawaza chadema.Mumeanza kutafuta kick baada ya kukosa sera mnaibuka na kila aina ya uongo wa kutunga muonekane mko hewani
CHADEMA Ndiyo kazi yao wao ni kama nzi kila kwenye utumbo wapoI was thinking about this too, vyema tukumbuke hii issue ilianzia kwa wafanyabiashara wenyewe waka organise mambo yao, mpaka utekelezaji, sasa hao jamaa wa Chadema kuingilia kati sijaelewa mantiki yao.
Sijui ndio kutetea haki, hata kama ni kufanya hivyo, siasa ikiingia kwenye haya mambo inaweza pelekea muelekeo tofauti, wakakosa kile walichokusudia kwa sababu watawala wanaweza kuhisi kuna wapinzani wako nyuma yao, mwishowe itakuwa ni kukomoana tu kama ilivyo kawaida ya CCM na upinzani.
Kuna Ushahidi wowote Meya Mstaafu kuhusika?Wafanya biashara Kariakoo kumbe wanaongozwa kwa remote na aliyekuwa Meya wa Ubungo, Boniface Jacob.
Mmeshaharibu upepo!
Kajaa tele twitani akihimiza mgomo kuendelea hadi kieleweke.Kuna Ushahidi wowote Meya Mstaafu kuhusika?
2025 Loading .........
Kwani Umekuwa Mgeni na Hao Jamaa.Kajaa tele twitani akihimiza mgomo kuendelea hadi kieleweke.