Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Unaambiwa yale madini ya pale Ngwala-Songwe ni moja ya madini adhimu sana duniani na matumizi yake ndio yanaenda kutawala kwenye miaka 50 ijayo duniani (Rare Earth Minerals au Strategic & Critical...
21 Reactions
196 Replies
11K Views
Ndugu zangu watanzania, Katibu mkuu wa CCM mh Daniel Chongolo ameitetemesha na Kuiteka Iringa kwa maagizo yake Mazito ya kuleta Tabasamu, furaha na matumaini katika mioyo ya wana iringa yaliyo...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Yaaani kumbe tunawaza matumbo yetu tu? Tunawaza kuingia bungeni ili baada ya miaka mitano tuwe na mafao ya kumaliza ubunge na kusepa. Lakini sio kuwa na uchungu na taifa letu. Sio kuwa na...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Habari jf, Hiki kiilichotokea bungeni sio mara ya kwanza kwa mambo kupitishwa kwa nguvu. Sasa kwa huu ubabe unaona kabisa katiba mpya inaweza isiwe suluhu ya hili tatizo . Bil 47 za posho...
3 Reactions
33 Replies
5K Views
JIMBO LA HAI NA MAFANIKIO LUKUKI NDANI YA MIAKA MIWILI YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN MADARAKANI "Nawashukuru wananchi wa Hai kwa heshima kubwa waliyonipa ya kuwa Mbunge wao. Itoshe kusema asante na...
3 Reactions
5 Replies
877 Views
Imekuwa ni kawaida kwa wajuaji uchwara wa bongo kumwona Raila kama mkabila na mpuuzi fulani. How Ruto allies provoked Uhuru to get involved in politics Kenyatta kusimama na Odinga njoo 2027 kama...
1 Reactions
104 Replies
5K Views
Leo nilikuwa napitia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2005. Kwa watoto wa Instagram ambao wamekuta tayari Mbowe anaitwa mwamba ni vigumu sana kuamini kuwa Mbowe aliwahi kupigwa vibaya sana katika...
2 Reactions
55 Replies
3K Views
SERIKALI YAWAHAKIKISHIA WAWEKEZAJI MAZINGIRA BORA YA KUFANYIA BIASHARA Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) ametembelea Kiwanda cha kutengeneza Mavazi cha...
1 Reactions
2 Replies
440 Views
Nani alitwambia wabunge waliopata madaraka kwa njia za kimabavu ya kuwa sasa hivi wakitaka kufanya mikutano wafanyie kwenye stendi za magari? Mara ya kwanza nilimuona Kimei aliitisha mkutano...
18 Reactions
44 Replies
5K Views
Akihutubia Umati wa wananchi huko Tabora , Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu anesema kwamba viongozi wanaoongoza Tanzania kwa sasa hawawatetei wananchi kwa vile hawakupigiwa kura...
11 Reactions
45 Replies
2K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Heshima kutoka kwa Jeshi la Jamhuri ya Nigeria mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Nnamdi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Taarifa iliyosomwa na Makamu Mwenyekiti wa Chadema mbele ya maelfu ya wananchi huko Tabora , ambayo imetoka Jeshi la Polisi , imeeleza kwamba Chadema hairuhusiwi kufanya mikutano ya hadhara kwenye...
10 Reactions
31 Replies
2K Views
Utafiti wa chanjo ya Ukimwi unaoshirikisha wizara ya Afya Tanzania na wizara ya ulinzi ya Marekani yaonesha mafanikio, majibu kutolewa mwakani Chanjo ya ukimwi itaanza kutumika baada ya wizara...
1 Reactions
37 Replies
3K Views
MBUNGE PROF. KITILA MKUMBO - MAARIFA YAPATIKANE KWA LUGHA MBILI & LUGHA ISIWE KIKWAZO KWENYE KUPATA ELIMU Mbunge wa Jimbo la Ubungo, Dar es Salaam Mhe. Prof. Kitila Mkumbo akichangia hotuba ya...
7 Reactions
22 Replies
3K Views
BARUA YA WAZI KWA RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DR SAMIA SULUHU HASSAN JUU YA MWENENDO, KIBURI, DHARAU NA MAJIVUNO YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO DR MWIGULU LAMECK NCHEMBA Na Byemelwa...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Nikiwa kama mwandishi wa Habari, nimefanya kazi kwa ukaribu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA. Nimefanya kazi na viongozi wake wakuu, Lissu, Mnyika, Mbowe, Lema na wengine wengi. Tangu...
29 Reactions
163 Replies
8K Views
Jambo Jambo? Nauliza tu swali. Hivi kuna Rais alitumia Afisa Usalama hawa TISS kwa kiwango kikubwa hivi? Kupitia hao TISS aligundua mengi sana na mengine hatuyajui kwasababu ni siri za Nchi...
10 Reactions
54 Replies
4K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu amewataka watanzania kuungana na Chama hicho katika madai ya kupata Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa...
3 Reactions
3 Replies
900 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…