sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Nani alitwambia wabunge waliopata madaraka kwa njia za kimabavu ya kuwa sasa hivi wakitaka kufanya mikutano wafanyie kwenye stendi za magari?
Mara ya kwanza nilimuona Kimei aliitisha mkutano kwenye stend ndogo sana ya magari hapo njiapanda, kilijitokeza alikosa hata wale abiria waliokuwa wakipita waliishia kufyonya na kuondoka.
Leo Tena namwoma mbunge wa CCM sijui ni Jimbo gani ila anafanyia mkutano hapo Moshi stend zinapopaki hiace za kwenda Umbwe na Kibosho yaani ni aibu
Ebu tizama ilo tenit halina hata mtu mmoja ni aibu.
Tubuni la sivyo mtamfuta aliyewapa hivyo vyeo.
Mara ya kwanza nilimuona Kimei aliitisha mkutano kwenye stend ndogo sana ya magari hapo njiapanda, kilijitokeza alikosa hata wale abiria waliokuwa wakipita waliishia kufyonya na kuondoka.
Leo Tena namwoma mbunge wa CCM sijui ni Jimbo gani ila anafanyia mkutano hapo Moshi stend zinapopaki hiace za kwenda Umbwe na Kibosho yaani ni aibu
Ebu tizama ilo tenit halina hata mtu mmoja ni aibu.
Tubuni la sivyo mtamfuta aliyewapa hivyo vyeo.