Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,165
- 5,551
Jambo Jambo?
Nauliza tu swali.
Hivi kuna Rais alitumia Afisa Usalama hawa TISS kwa kiwango kikubwa hivi?
Kupitia hao TISS aligundua mengi sana na mengine hatuyajui kwasababu ni siri za Nchi, mengine ya juu juu ni haya kama yapo mengine utayaongezea;
1. Muhimbili ambako aligundua upigaji wa hela za hospital kupelekea kutokununua vitanda na wagonjwa kulala chini. Pia Mkurugenzi wa wakti ule alikuwa hashindi ofisini mpka akatumbuliwa.
2. Wizi bandarini mpka kupelekea kugundua wezi wanapitisha bidhaa kwenye scanner huku zimezimwa. Akatumbua.
3. Manyanyaso na UMUNGU waliojitengenezea Magereza huko gereza la huko kasakzini akawathibiti
4. Wizi na ubadhirifu Mgodi wa Tanzanite
5. Utoroshaji wa madini na UMUNGU mtu wa Wizara ya Madini na upigaji wa hali ya juu, mpaka kupelekea pato la madini kuwa chini ya asilimia 3%.
6. Mradi wa Bandari ya Bagamoyo ambayo Ilikuwa iuuzwe/Ijengwe na wachina kwa hisani ya msoga.
7. Kugundua Wizi wa Twiga na wanyama waliokuwa wanapewa “Free ride” kwenda nchi jirani na ulaya kwa ndege.
8. Mgodi wa barrick ulikuwa unasafirisha makinikia direct kutoka mgodini kupitia uwanja wake wa ndege humohumo ndani.
9. Kugundua namna PK alikuwa anataka kupandikiza mamluki kwenye uongozi wa vijiji na chama tawala na kuwazuia haraka sana
10. Kugundua na kuzuia ufisadi wa vitambulisho vya NIDA.
Yapo mengi sana huyu mwamba aliyafanya kwa kutumia tiss mpaka kugundua mabaya yote.
Msiwalaumu sana tiss kwa kesi ambazo haziwahusu,ila tulaumu watawala ambao hawataki pengine kuwatumia vizuri.
Magu alikuwa na madhaifu mengi ila kwenye mazuri tumpe sifa.
Nshomile wa Muleba
kwasasa
Dar es salaam
Nauliza tu swali.
Hivi kuna Rais alitumia Afisa Usalama hawa TISS kwa kiwango kikubwa hivi?
Kupitia hao TISS aligundua mengi sana na mengine hatuyajui kwasababu ni siri za Nchi, mengine ya juu juu ni haya kama yapo mengine utayaongezea;
1. Muhimbili ambako aligundua upigaji wa hela za hospital kupelekea kutokununua vitanda na wagonjwa kulala chini. Pia Mkurugenzi wa wakti ule alikuwa hashindi ofisini mpka akatumbuliwa.
2. Wizi bandarini mpka kupelekea kugundua wezi wanapitisha bidhaa kwenye scanner huku zimezimwa. Akatumbua.
3. Manyanyaso na UMUNGU waliojitengenezea Magereza huko gereza la huko kasakzini akawathibiti
4. Wizi na ubadhirifu Mgodi wa Tanzanite
5. Utoroshaji wa madini na UMUNGU mtu wa Wizara ya Madini na upigaji wa hali ya juu, mpaka kupelekea pato la madini kuwa chini ya asilimia 3%.
6. Mradi wa Bandari ya Bagamoyo ambayo Ilikuwa iuuzwe/Ijengwe na wachina kwa hisani ya msoga.
7. Kugundua Wizi wa Twiga na wanyama waliokuwa wanapewa “Free ride” kwenda nchi jirani na ulaya kwa ndege.
8. Mgodi wa barrick ulikuwa unasafirisha makinikia direct kutoka mgodini kupitia uwanja wake wa ndege humohumo ndani.
9. Kugundua namna PK alikuwa anataka kupandikiza mamluki kwenye uongozi wa vijiji na chama tawala na kuwazuia haraka sana
10. Kugundua na kuzuia ufisadi wa vitambulisho vya NIDA.
Yapo mengi sana huyu mwamba aliyafanya kwa kutumia tiss mpaka kugundua mabaya yote.
Msiwalaumu sana tiss kwa kesi ambazo haziwahusu,ila tulaumu watawala ambao hawataki pengine kuwatumia vizuri.
Magu alikuwa na madhaifu mengi ila kwenye mazuri tumpe sifa.
Nshomile wa Muleba
kwasasa
Dar es salaam