Uzinduzi wa Ikulu ya Dodoma

Shabani Ajaha

Member
Aug 18, 2021
78
60
NDG. EDNA AWAKARIBISHA WANACHI KATIKA UZINDUZI WA IKULU YA CHAMWINO DODOMA MEI 20, 2023.

UVCCM HQ, DODOMA
Mei 19, 2023.

Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Ndg. Edna Lameck, kwa niaba ya Umoja wa Vijana wa CCM chini ya Uongozi wa Ndg. Mohammed Ali KAWAIDA (MCC) Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa, anapenda kuwakaribisha wananchi wote katika Uzinduzi wa Ikulu Mpya ya Chamwino mkoani Dodoma utakaofanyika Siku ya Jumamosi tarehe 20 Mei, 2023.

Ikumbukwe ya kwamba ujenzi wa Ikulu ya Chamwino ilikuwa ni ndoto ya Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere ambayo iliwekwa matumaini na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuweka jiwe la msingi ujenzi huo Julai 2020 na sasa ndoto hiyo inakwenda kutimizwa na Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 20 Mei, 2023 kwa kuhamia katika Ikulu ya Chamwino Dodoma ambayo ujenzi wake umekamilika kwa asilimia mia moja (100%).

Ni jambo la kujivunia na fahari kwa Watanzania kuona namna Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM unavyoendelea kutekelezwa kwa kasi kubwa.

TUKUTANE IKULU CHAMWINO DODOMA

#KaziIendelee
#AlipoMamaVijanaTupo
#KulindaNaKujengaUjamaa
#SisiNaMamaMleziWaWana

IMG-20230509-WA0547.jpg
 
NDG. EDNA AWAKARIBISHA WANACHI KATIKA UZINDUZI WA IKULU YA CHAMWINO DODOMA MEI 20, 2023.

UVCCM HQ, DODOMA
Mei 19, 2023.

Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Ndg. Edna Lameck, kwa niaba ya Umoja wa Vijana wa CCM chini ya Uongozi wa Ndg. Mohammed Ali KAWAIDA (MCC) Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa, anapenda kuwakaribisha wananchi wote katika Uzinduzi wa Ikulu Mpya ya Chamwino mkoani Dodoma utakaofanyika Siku ya Jumamosi tarehe 20 Mei, 2023.

Ikumbukwe ya kwamba ujenzi wa Ikulu ya Chamwino ilikuwa ni ndoto ya Hayati Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere ambayo iliwekwa matumaini na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwa kuweka jiwe la msingi ujenzi huo Julai 2020 na sasa ndoto hiyo inakwenda kutimizwa na Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 20 Mei, 2023 kwa kuhamia katika Ikulu ya Chamwino Dodoma ambayo ujenzi wake umekamilika kwa asilimia mia moja (100%).

Ni jambo la kujivunia na fahari kwa Watanzania kuona namna Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM unavyoendelea kutekelezwa kwa kasi kubwa.

TUKUTANE IKULU CHAMWINO DODOMA

#KaziIendelee
#AlipoMamaVijanaTupo
#KulindaNaKujengaUjamaa
#SisiNaMamaMleziWaWanaView attachment 2627574
Ehh kweli hampoi

Ova
 
Lazima sasa uwe mji mkuu haswa
Viwanda vikubwa vikubwa vijengwe
Nawaomba waliokwapua hela zilizokuwa ziende kwenye maendeleo basi wawe na utu kidogo na kuziingiza kwenye viwanda vikubwa

Hakuna wa kuwafunga maana mpaka sasa bado mnadunda
Toeni hizo hela vijana wahamie Dodoma kwa wingi
Wengine waweke hata Ranch kubwa za mifugo ila hata wa pande hizi wapate mbegu kama mbuzi aina ya Kalahari na Boer

Acheni kuzipeleka nje na kuwafaidisha mataifa mengine huo ulimbukeni watu wameshashtuka kwa sasa wanazungushia ndani tu
 
Back
Top Bottom