Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Chama Tawala Nchini Turkiye Cha AK Kimeshinda wingi wa Ubunge na kupata Nguvu ya uamzi huku Wapinzani wao wa CHP wakiambulia viti vichache. Awali kwenye uchaguzi Mkuu Rais Erdogan aliongoza Kwa...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Vi Wapi vyama vya kitaaluma? Kuna sheria mbovu na ya ajabu inazunguka kwenye mitandao yetu hapa Tanzania Yaani HII ya mabadiliko ya sheria ya Usalama wa Taifa mi wapi wanasheria? Yaani mswada...
1 Reactions
6 Replies
977 Views
Hata kihistoria tu Wazanzibari wamefanya mambo mengi makubwa katika nchi yao kuliko Watanganyika Akili ya Wana wa Israel ni kuulinda Utaifa Wao popote pale Duniani na Ndivyo ilivyo kwa...
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Labda itakuwa ni siri ya ile dawa iliyotufikia kutokea Madagascar: Ila si Uganda: Serikali ya Tanzania na magonjwa ya changamoto Wala Kenya: New wave of Covid-19 and influenza hit Kisumu...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Mbunge wa Viti Maalum CCM Vijana Taifa anayetokea Mkoa wa Mara Mhe. Juliana Masaburi amepongeza Rais Samia kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani hasa akijikita kwa kuelezea miradi mbalimbali ya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Balozi wa Marekani nchini Tanzania na Team yake wamefika kwenye Hotel ya kisasa ya Desderia Mkoani Mbeya na kufanya Mazungumzo na Mfanyabiashara Joseph Mbilinyi...
29 Reactions
87 Replies
13K Views
Rais Mzalendo na anayejali wawekezaji leo kupitia Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila ametoa tamko au salamu kuwa SUGU au Mbunge mstaafu wa Mbeya Joseph Mbilinyi ni muwekezaji hivyo atalindwa...
32 Reactions
359 Replies
48K Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu Joshua Kamalamo (37) na Yahaya Kapalatu (31) kwenda jela miaka miwili au kulipa faini ya Sh3.9 milioni baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kujifanya...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Akiwa mkoani Iringa katibu mkuu wa ccm ametoa kali ya kumalzia mwezi wa tano. Bwana mkubwa huyo nadhani amekosa cha kuongea mara baaa ya kutoa katazo kwa wana Iringa wasitumie fursa walizo nazo...
2 Reactions
18 Replies
896 Views
Ofisi ya Hakimiliki nchini (COSOTA), imetoa Semina kwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu majukumu na fursa zilizopo katika ofisi hiyo ikiwemo kulinda hakimiliki za...
0 Reactions
0 Replies
496 Views
MHE. CONDESTER SICHALWE - ELIMU YA DIPLOMASIA YA UCHUMI ITOLEWE KWENYE MABARAZA YA MADIWANI ILI IWAFIKIE WANANCHI "Diplomasia ya Uchumi ni kipaumbele cha Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa...
0 Reactions
0 Replies
856 Views
Huwa nasema mara nyingi sana kwamba Tanzania hii Serikali inadekeza sana Watu hasa wa Mijini.. Imagine mtu anakataa tozo ya mafuta Shilingi 100 ambayo inatakiwa Kujengea Barabara ila Barabara...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Toka 1992 mpaka Sasa Hakuna mlichokifanya tukakiona Miaka ya sasa eti upinzani wanasimama wanajisifu kuzaja watu, wanajisifu kutua na chopa, wamekaa miaka 10 majimboni walishindwa hata kujenga...
0 Reactions
57 Replies
2K Views
Ni ukweli ulio wazi kwamba zama za Freeman Mbowe kwenye Siasa za Upinzani zimefika ukingoni labda arudi kuhudumu CCM. Ila ni ukweli usiopingika kuwa Mbowe ni Mwanasiasa Bora wa wakati wote...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Sio bure nadhani kuna kipapai tumepigwa ama la tumemkosea Muumba wetu ama mizimu yetu! Vyovyote iwavyo kuna mahali tumekosea ama kupungukiwa na kitu kikubwa sana! Maumivu ya bando wala hayaumi...
83 Reactions
160 Replies
10K Views
Mkiniita chawa ni poa tu maana anayenipandisha daraja Kwa Kazi ni yeye. Kuna mtu atasema kupanda daraja ni haki yako lakini atajisahau kuwa ndani ya haki hii Kuna bossdume alitubania balaa. Ni...
11 Reactions
50 Replies
2K Views
KWANINI MADARAKA YA RAIS YANALALAMIKIWA SANA NA NINI KIFANYIKE KWENYE KATIBA IJAYO? MJADALA KATIKA FORUM YA KATIBA YA WATU
0 Reactions
0 Replies
758 Views
Wadau ni swali najiuliza Kwamba huyu mgombea urais 2020 Je, hakumbuki chama chake kilipambana kutafuta mariadhiano awamu iliyopita bila mafanikio Je, amesahau haki ya mikutano ya hadhara...
5 Reactions
63 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF wenzangu, ama baada ya salam ningependa sasa nijielekeze kwenye mada husika hapo chini. Nchini kwetu kuna vyama vingi vya siasa. Na kila chama kina lengo na nia ya kushika...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
MHE. JULIANA SHONZA - "KWA MARA YA KWANZA TUTAMPITISHA RAIS MWANAMKE KWA KISHINDO MWAKA 2025" "Tutampitisha Rais Mwanamke Madarakani kwa mara ya kwanza mwaka 2025 kwa kumpigia kura za kutosha...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…