Ester Bulaya: Mkandarasi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere anataka kushtaki alipwe nyongeza wakati mradi haujakamilika

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,813
11,991

Mbunge Ester Bulaya amesema “Mkataba wa ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere unaeleza mkandarasi akichelewa kukamilisha mradi anatakiwa kutozwa tozo, mradi ulitakiw akukamilika 2022 na taarifa zilizopi hautakamilika mwaka huu.

Amesema hayo Bungeni na kuhoji kwanini TANESCO hawajamtoza tozo Tsh. Bilioni 329 wakati Serikali ikichelewa kumlipa Mkandarasi inatozwa Tozo.

Aidha, amesema Mkandarasi alitakiwa kujenga miradi kwa ajili ya huduma za kijamii ya zaidi ya Tsh. Bilioni 200 lakini huduma hizo hazionekani, pia inadaiwa anajiandaa kufungua kesi Mahakamani dhidi ya Serikali akidai nyongeza.


 

Mbunge Ester Bulaya amesema “Mkataba wa ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere unaeleza mkandarasi akichelewa kukamilisha mradi anatakiwa kutozwa tozo, mradi ulitakiw akukamilika 2022 na taarifa zilizopi hautakamilika mwaka huu.

Amesema hayo Bungeni na kuhoji kwanini TANESCO hawajamtoza tozo Tsh. Bilioni 329 wakati Serikali ikichelewa kumlipa Mkandarasi inatozwa Tozo.

Aidha, amesema Mkandarasi alitakiwa kujenga miradi kwa ajili ya huduma za kijamii ya zaidi ya Tsh. Bilioni 200 lakini huduma hizo hazionekani, pia inadaiwa anajiandaa kufungua kesi Mahakamani dhidi ya Serikali akidai nyongeza.


Naombeni namba za bulaya nimtumie japo Salio

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Ester Bulaya kaongea kwa hisia zaidi.. Sidhani kama kausoma mkataba wote na kuona terms zake.
 
PESA YA TOZO IPO TUTAMLIPA TU HAKUNA SHIDA. HALAFU KWENYE BAJETI YA MWAKA UNAOANZA JULAI TUTAWEKA TOZO YA KUWALIPA WAFANYAKAZI MISHAHARA; NA KILA MFANYABIASHAR AWEKE TOZO YA ASLIMIA KUMI KWA KILA AFANYAPO MAUZO. ASIYETAKA AHAMIE BURUNDI
 
Mimi nitafanya hivi na wewe ufanye hivi ili ukilipwa tugawane
Yaani kuna watu wanaweza kutumia akili kwa njia ya wizi lakini ukimuambia abuni kitu ni zero
Hasa huyu Makamba jr,ni janga la taifa,mradi ukamilishwe na kina Kalemani yeye awe Star
 
Hebu wewe uliesoma terms zote tusaidie tuelewe
kwa sehemu ni ABC za huo mradi, na comment yangu haijafunga hisia zake. Ila kaa ukijua Serikali yetu ndio shida na sio mkandarasi. Tunaingia kwenye mikataba na bahasha za kaki na matokeo ndio kama haya
 
SErikali ikichlewa kulipa tunapigwa pini ila contractor akichlewesha mradi Tozo tunanyuti
 

Mbunge Ester Bulaya amesema “Mkataba wa ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere unaeleza mkandarasi akichelewa kukamilisha mradi anatakiwa kutozwa tozo, mradi ulitakiw akukamilika 2022 na taarifa zilizopi hautakamilika mwaka huu.

Amesema hayo Bungeni na kuhoji kwanini TANESCO hawajamtoza tozo Tsh. Bilioni 329 wakati Serikali ikichelewa kumlipa Mkandarasi inatozwa Tozo.

Aidha, amesema Mkandarasi alitakiwa kujenga miradi kwa ajili ya huduma za kijamii ya zaidi ya Tsh. Bilioni 200 lakini huduma hizo hazionekani, pia inadaiwa anajiandaa kufungua kesi Mahakamani dhidi ya Serikali akidai nyongeza.



Acha alipwe tu ,mbona yeye Bulaya analipwa pesa wakati siyo mbunge!
 
izo uwa zinapigwa, unachelewesha makusudi hao wanaotakiwa kukutoza wanalala usingizi, wewe ukija kuongeza wanakufungulia kesi pesa nchi yetu itakayolipa fidia wanapesa percentage. ndio maana wanakuwa na vipara wakati umri bado mdogo mbwa hawa.
 
Hasa huyu Makamba jr,ni janga la taifa,mradi ukamilishwe na kina Kalemani yeye awe Star
Mtu hawezi kusemwa kwa mabaya na kila mtu
Lazima ana tatizo kubwa sana huyu
Ila ndio hivyo kubebana kunaligharimu taifa
 
Back
Top Bottom