Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mei 31, 2023 Wizara ya Nishati imewasimamisha Bungeni Makadirio ya Bajeti kwa mwaka wa fedha 2023/24.
0 Reactions
0 Replies
437 Views
1. Rais mstaafu, Jakaya Kikwete 2. Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe 3. Mzee Yusuph Makamba Sina mengi sana, kazi iendelee let we trust our beloved Rais Samia atawashauri wafanye maamuzi hayo.
3 Reactions
16 Replies
946 Views
Tupate tangazo kidogo kutoka kwa wadhamini
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wilaya Uyui, ni wilaya pekee ambayo ni wilaya korofi sana na kuna upigaji wa aina nyingi, Kuna ujenzi wa halmashauri mpya ya Uyui kuna ufisadi mkubwa wa kutisha watu wamejilipa pesa za kufa mtu...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
kutoka katika gazeti la mwananchi: Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Maharage Chande amesema hadhani kama ni busara kushusha bei ya umeme baada ya mradi wa kuzalisha umeme wa...
21 Reactions
76 Replies
7K Views
SEKTA YA ELIMU KATIKA JIMBO LA MUFINDI KASKAZINI Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini, Mhe. Exaud Silaoneka Kigahe, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara amekagua maendeleo...
0 Reactions
0 Replies
864 Views
DC Mstaafu Simon Odunga anaandika Endelea kutabasamu CHUMA, mpaka sasa bado hakuna wa kulinganisha na wewe. Najua hayupo aliyekamilika 100% lakini najua hata miaka 50 ijayo bado itakuwa vigumu...
2 Reactions
4 Replies
797 Views
Nimeshangazwa sana na hotuba ya profesa Kabudi bungeni kuhusu uraia pacha. Alianza kwa kusema amefanya utafiti Lakini alichokiongea ni uongo mkubwa na bunge lingelikuwa na heshima ya ukweli...
13 Reactions
53 Replies
4K Views
Nipo natazama wachangiaji wa bunge linaloendelea. Cha kushangaza wengi wa wabunge wanatumia muda wao mwingi wakitoa sifa nyingi kwa kazi zilizofanyika. Cha kushangaza zaidi baadae wanakimbizana na...
2 Reactions
2 Replies
370 Views
Hawa jamaa zetu wenye kupenda wabunge matajiri pengine hawatusaidia sana. Unakuta mfanyabiashara anachomeka hiki na hiki cha wakulima na wafugaji halafu anamgeukia waziri wa nishati na ku declare...
1 Reactions
0 Replies
412 Views
Mwanachama wa CCM , ambaye amewahi kuchukua Fomu mara kadhaa ili kugombea Urais wa Zanzibar na Tanzania, "Mwishimiwa" Ally Karume leo amasema hadharani kwamba kama Uchaguzi wa Zanzibar ukiwa huru...
19 Reactions
52 Replies
5K Views
"Watu wanafikiri nilienda Upinzani kwa sababu nilikasirika, lakini hapana, niliongea na Waandishi wa Habari nikawaeleza sababu ya mimi kuhamia upinzani ni niliona nchi inaenda kuongozwa kwa...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwa mara nyingine elimu haina mwisho na ni mburula pekee mwenye kuamini kuwa kafika. Hapo kwa majirani Ruto na Kenya Kwanza wanapelekwa mpera mpera. Kisa na mkasa kitisho cha uhakika cha nguvu ya...
0 Reactions
15 Replies
714 Views
Mtoto wa mwasisi wa mapinduzi ya Zanzibari amelipuka na madai kuwa Dr Hussein Mwinyi Raisi wa Zanzibari na CCM hawajawahi kushinda uchaguzi wowote Zanzibari tangu uchaguzi wa mfumo wa vyama vingi...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika anesema amepokea Barua Kutoka kwa Msajili wa vyama vya Siasa Jaji Mutungi ikiwaalika kushiriki Mkutano wa kuratibu Katiba Mpya Mnyika amesema Serikali imeamua...
14 Reactions
75 Replies
5K Views
Naomba tu kuelimishwa namna Mgombea uRais wa Zanzibar anavyopatikana hapo Chadema Itatusaidia na itamsaidia yule balozi Karume kule Mifenesini Ahsante! Pia soma > Lissu: 2020 Chadema tulifanya...
0 Reactions
0 Replies
354 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Mbowe anesema ukiondoa Wafanyabiashara wachache, Watanzania walio wengi hawajui thamani ya kodi zao. Wengi hawajui hata kama wanalipa kodi ndio sababu fedha...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema reli ya kisasa (SGR) haitokosa umeme wala kukwama kufanya kazi kwa sababu ya kukatika au kutokea hitilafu katika miundombinu ya umeme. Kauli hiyo...
0 Reactions
2 Replies
700 Views
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr Philemon Senguti anakwamisha uwekezaji wa ndani Bunge liliagiza Wakulima wa Dengu kuhuza dengu katika Soko huria ( Free Market) Nje ya Mfumo wa AMCOs lakini cha...
6 Reactions
15 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…