Utoto wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar: Kauli za Balozi Ali Karume zinapotulizwa kwa kuibua mgogoro wa Muungano

Consigliere

JF-Expert Member
Sep 9, 2010
12,037
24,595
Kuna Clip ina trend ikimuonyesha Mkurugunzi wa Mawasiliano Ikulu , Zanzibar, ndugu Charles Hillary akitoa kauli ya onyo kwa wale aliowaita wavamizi wa eneo la hekari 6,000 mali ya SMZ huko Bagamoyo mkoani Pwani.

Kauli hii haina kingine nyuma yake isipokua ni jitihada za kujaribu kuuzima au kuuhamisha mjadala uliowashwa na balozi Karume huko visiwani. Kwa wafuatiliaji wa siasa za Zanzibar watakubaliana na ugumu anaokutana nao rais Hussein Mwinyi katika kuiongoza Zanzibar.

Ili mambo yaende, amelazimika kutoa nafasi kadhaa muhimu za ajira huko serikalini kwa watu kutoka bara. Maana wenyeji wamekua wakifanya mambo yasiende either kwa sababu ya mazoea yao ya kizembe, au sabotage, pia utoaji wa siri.

Hili swala la wabara wengi kupewa nafasi nyingi na nyeti kule ndani ya SMZ, nalo limezidi kuibua manung'uniko huko visiwani.

Wakati hayo yakiendelea, balozi Karume ameibuka na madai yake. Karume anauelewa vizuri sana upepo wa visiwani. Anajua yeye si miongoni mwa sauti zenye ushawishi visiwani, bali anajua vyema kwa hali iliyopo ni kipi cha kuongea ili kuyavutia masikio ya hadhira walio wengi) na kumkosesha utulivu yule aliyepo madarakani.

Kauli ya Charles Hillary imetolewa kwa lengo la kujaribu kuirudisha hadhira upande wa Hussein mwinyi. SMZ inajua kwa kauli ile ya kujifanya wanatengeneza mgogoro na serikali ya JMT atafanikiwa kuubadili upepo wa Karume na kufanikiwa kuwavuta wazanzibar upande wake na kuanza kuuimba wimbo wa kuulalamikia Muungano, kama mjuavyo, huu ni wimbo pendwa sana huko visiwani Zanzibar. Hiyo ndiyo hali iliyopo, juu ya utoto unaofanywa na SMZ.

Lakini, haya yote yanaashiria nini? Hiki ni kiashiria cha vita za ukoo, ni kiashiria cha vita za makundi, ni kiashiria cha minyukano ya kimaslahi. Serikali badala ya kuja ni mambo ambayo yatakua ni long term solution ya changamoto za nchi, wao wanakuja na malundo ya mizigo ya sheria kandamizi, sheria ambazo zina wakinga kutowajibika kwa uonevu wa aina yoyote utakaofanywa kwa wananchi.

Muwe na siku njema
 
Ile hoja ya kwamba CCM inashinda kwa mabavu Unguja haikujibiwa kabisa. Imekuwa side-stepped.
Halafu nimeona Hussein kaenda kujadiliana na baba yake kabla ya kumjibu Ali
 
Kwa wasomi wa vitabu watakumbuka kwenye Allan Quaterman kulikuwa na vita ya Wazuvendi na Wakukuana hii naiona Zanzibar.
 
Kuna Clip ina trend ikimuonyesha Mkurugunzi wa Mawasiliano Ikulu , Zanzibar, ndugu Charles Hillary akitoa kauli ya onyo kwa wale aliowaita wavamizi wa eneo la hekari 6,000 mali ya SMZ huko Bagamoyo mkoani Pwani.

Kauli hii haina kingine nyuma yake isipokua ni jitihada za kujaribu kuuzima au kuuhamisha mjadala uliowashwa na balozi Karume huko visiwani. Kwa wafuatiliaji wa siasa za Zanzibar watakubaliana na ugumu anaokutana nao rais Hussein Mwinyi katika kuiongoza Zanzibar.

Ili mambo yaende, amelazimika kutoa nafasi kadhaa muhimu za ajira huko serikalini kwa watu kutoka bara. Maana wenyeji wamekua wakifanya mambo yasiende either kwa sababu ya mazoea yao ya kizembe, au sabotage, pia utoaji wa siri.

Hili swala la wabara wengi kupewa nafasi nyingi na nyeti kule ndani ya SMZ, nalo limezidi kuibua manung'uniko huko visiwani.

Wakati hayo yakiendelea, balozi Karume ameibuka na madai yake. Karume anauelewa vizuri sana upepo wa visiwani. Anajua yeye si miongoni mwa sauti zenye ushawishi visiwani, bali anajua vyema kwa hali iliyopo ni kipi cha kuongea ili kuyavutia masikio ya hadhira walio wengi) na kumkosesha utulivu yule aliyepo madarakani.

Kauli ya Charles Hillary imetolewa kwa lengo la kujaribu kuirudisha hadhira upande wa Hussein mwinyi. SMZ inajua kwa kauli ile ya kujifanya wanatengeneza mgogoro na serikali ya JMT atafanikiwa kuubadili upepo wa Karume na kufanikiwa kuwavuta wazanzibar upande wake na kuanza kuuimba wimbo wa kuulalamikia Muungano, kama mjuavyo, huu ni wimbo pendwa sana huko visiwani Zanzibar. Hiyo ndiyo hali iliyopo, juu ya utoto unaofanywa na SMZ.

Lakini, haya yote yanaashiria nini? Hiki ni kiashiria cha vita za ukoo, ni kiashiria cha vita za makundi, ni kiashiria cha minyukano ya kimaslahi. Serikali badala ya kuja ni mambo ambayo yatakua ni long term solution ya changamoto za nchi, wao wanakuja na malundo ya mizigo ya sheria kandamizi, sheria ambazo zina wakinga kutowajibika kwa uonevu wa aina yoyote utakaofanywa kwa wananchi.

Muwe na siku njema
Inachokifanya SMZ ni kawaida Kwa Wachezaji toka Mataifa ya kiarabu. Mchezaji anagongwa mguuni anashika kichwa na Daktari anamwekea barafu kichwani.
 
Inachokifanya SMZ ni kawaida Kwa Wachezaji toka Mataifa ya kiarabu. Mchezaji anagongwa mguuni anashika kichwa na Daktari anamwekea barafu kichwani.
Waarabu na zanzibar wapi na wapi ndug yang naona kila ikitajw zanzibar mnasema waarabu waarabu, waarabu ao vipi
 
Kuna Clip ina trend ikimuonyesha Mkurugunzi wa Mawasiliano Ikulu , Zanzibar, ndugu Charles Hillary akitoa kauli ya onyo kwa wale aliowaita wavamizi wa eneo la hekari 6,000 mali ya SMZ huko Bagamoyo mkoani Pwani.

Kauli hii haina kingine nyuma yake isipokua ni jitihada za kujaribu kuuzima au kuuhamisha mjadala uliowashwa na balozi Karume huko visiwani. Kwa wafuatiliaji wa siasa za Zanzibar watakubaliana na ugumu anaokutana nao rais Hussein Mwinyi katika kuiongoza Zanzibar.

Ili mambo yaende, amelazimika kutoa nafasi kadhaa muhimu za ajira huko serikalini kwa watu kutoka bara. Maana wenyeji wamekua wakifanya mambo yasiende either kwa sababu ya mazoea yao ya kizembe, au sabotage, pia utoaji wa siri.

Hili swala la wabara wengi kupewa nafasi nyingi na nyeti kule ndani ya SMZ, nalo limezidi kuibua manung'uniko huko visiwani.

Wakati hayo yakiendelea, balozi Karume ameibuka na madai yake. Karume anauelewa vizuri sana upepo wa visiwani. Anajua yeye si miongoni mwa sauti zenye ushawishi visiwani, bali anajua vyema kwa hali iliyopo ni kipi cha kuongea ili kuyavutia masikio ya hadhira walio wengi) na kumkosesha utulivu yule aliyepo madarakani.

Kauli ya Charles Hillary imetolewa kwa lengo la kujaribu kuirudisha hadhira upande wa Hussein mwinyi. SMZ inajua kwa kauli ile ya kujifanya wanatengeneza mgogoro na serikali ya JMT atafanikiwa kuubadili upepo wa Karume na kufanikiwa kuwavuta wazanzibar upande wake na kuanza kuuimba wimbo wa kuulalamikia Muungano, kama mjuavyo, huu ni wimbo pendwa sana huko visiwani Zanzibar. Hiyo ndiyo hali iliyopo, juu ya utoto unaofanywa na SMZ.

Lakini, haya yote yanaashiria nini? Hiki ni kiashiria cha vita za ukoo, ni kiashiria cha vita za makundi, ni kiashiria cha minyukano ya kimaslahi. Serikali badala ya kuja ni mambo ambayo yatakua ni long term solution ya changamoto za nchi, wao wanakuja na malundo ya mizigo ya sheria kandamizi, sheria ambazo zina wakinga kutowajibika kwa uonevu wa aina yoyote utakaofanywa kwa wananchi.

Muwe na siku njema
mmechoka na amani siyo? Hivi kwanini hampendi utulivu? Mtu ukishiba unakuja kuandika upuuzi usio na faida humu. Au wamemwona huyu rais ni dhaifu?
 
Yote haya yanakuja kwasabb ya jiwe. Jiwe aliiba na kuubaka uchaguzi wa 2020. Hivyo hata wazanzibari hawakumchagua rais Hussein Mwinyi, bali aliwekwa kwa nguvu na jiwe.

Shetani huwa anakuinua halafu mwishoni anakudhalilisha.
 
Yote haya yanakuja kwasabb ya jiwe. Jiwe aliiba na kuubaka uchaguzi wa 2020. Hivyo hata wazanzibari hawakumchagua rais Hussein Mwinyi, bali aliwekwa kwa nguvu na jiwe.

Shetani huwa anakuinua halafu mwishoni anakudhalilisha.
akili za kenge maji hizi........nyumbu at it work......huna akili ...
mzee wa watu kapumzika zake ni miaka miwili sasa yaani bado una hema nae tu .....shiiiit bulalfwacker.....
 
Kuna Clip ina trend ikimuonyesha Mkurugunzi wa Mawasiliano Ikulu , Zanzibar, ndugu Charles Hillary akitoa kauli ya onyo kwa wale aliowaita wavamizi wa eneo la hekari 6,000 mali ya SMZ huko Bagamoyo mkoani Pwani.

Kauli hii haina kingine nyuma yake isipokua ni jitihada za kujaribu kuuzima au kuuhamisha mjadala uliowashwa na balozi Karume huko visiwani. Kwa wafuatiliaji wa siasa za Zanzibar watakubaliana na ugumu anaokutana nao rais Hussein Mwinyi katika kuiongoza Zanzibar.

Ili mambo yaende, amelazimika kutoa nafasi kadhaa muhimu za ajira huko serikalini kwa watu kutoka bara. Maana wenyeji wamekua wakifanya mambo yasiende either kwa sababu ya mazoea yao ya kizembe, au sabotage, pia utoaji wa siri.

Hili swala la wabara wengi kupewa nafasi nyingi na nyeti kule ndani ya SMZ, nalo limezidi kuibua manung'uniko huko visiwani.

Wakati hayo yakiendelea, balozi Karume ameibuka na madai yake. Karume anauelewa vizuri sana upepo wa visiwani. Anajua yeye si miongoni mwa sauti zenye ushawishi visiwani, bali anajua vyema kwa hali iliyopo ni kipi cha kuongea ili kuyavutia masikio ya hadhira walio wengi) na kumkosesha utulivu yule aliyepo madarakani.

Kauli ya Charles Hillary imetolewa kwa lengo la kujaribu kuirudisha hadhira upande wa Hussein mwinyi. SMZ inajua kwa kauli ile ya kujifanya wanatengeneza mgogoro na serikali ya JMT atafanikiwa kuubadili upepo wa Karume na kufanikiwa kuwavuta wazanzibar upande wake na kuanza kuuimba wimbo wa kuulalamikia Muungano, kama mjuavyo, huu ni wimbo pendwa sana huko visiwani Zanzibar. Hiyo ndiyo hali iliyopo, juu ya utoto unaofanywa na SMZ.

Lakini, haya yote yanaashiria nini? Hiki ni kiashiria cha vita za ukoo, ni kiashiria cha vita za makundi, ni kiashiria cha minyukano ya kimaslahi. Serikali badala ya kuja ni mambo ambayo yatakua ni long term solution ya changamoto za nchi, wao wanakuja na malundo ya mizigo ya sheria kandamizi, sheria ambazo zina wakinga kutowajibika kwa uonevu wa aina yoyote utakaofanywa kwa wananchi.

Muwe na siku njema
Mh...hii umei spot vizuri sana, sijui ulikaa angle gani?
 
Yote haya yanakuja kwasabb ya jiwe. Jiwe aliiba na kuubaka uchaguzi wa 2020. Hivyo hata wazanzibari hawakumchagua rais Hussein Mwinyi, bali aliwekwa kwa nguvu na jiwe.

Shetani huwa anakuinua halafu mwishoni anakudhalilisha.
Lini Wazanzibari walimchagua Rais wao?
 
Back
Top Bottom