Magufuli 05
JF-Expert Member
- May 7, 2023
- 943
- 1,988
Mhe. Waziri wa ardhi Angela Mabula nakusalimu.
Watanzania bara tumechanganyikiwa kusikia Wenzetu Zanzibar wana Ekari 6000 Bagamoyo na wametoa onyo kwa mtu yeyote kutojaribu kusogelea pale.
Kinachotuumiza zaidi ni kuona sisi watanganyika kwenye ardhi yetu tukipigwa beat namna hiyo ili hali mtanganyika kwa Zanzibar haruhusiwi kumiliki ardhi.
Tafadhali sana kwa niaba ya Watanganyika nakuomba utoe ufafanuzi ilikuwaje Wenzetu wakatwaa eneo hilo.
Je, ni Bagamoyo ipi iliyotajwa hapo na msemaji wa SMZ.
Nawasilisha
Watanzania bara tumechanganyikiwa kusikia Wenzetu Zanzibar wana Ekari 6000 Bagamoyo na wametoa onyo kwa mtu yeyote kutojaribu kusogelea pale.
Kinachotuumiza zaidi ni kuona sisi watanganyika kwenye ardhi yetu tukipigwa beat namna hiyo ili hali mtanganyika kwa Zanzibar haruhusiwi kumiliki ardhi.
Tafadhali sana kwa niaba ya Watanganyika nakuomba utoe ufafanuzi ilikuwaje Wenzetu wakatwaa eneo hilo.
Je, ni Bagamoyo ipi iliyotajwa hapo na msemaji wa SMZ.
Nawasilisha