Mkuu wa mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mbunge, Mkurugenzi, na wateule wote, wakiongea maneno 10, basi maneno 7 ni kupongeza na kusifu.
Mbaya zaidi, kwa sasa hata hawaangalii mazingira, kila akipewa mic...
Hii ndio Tanzania.
Mwaka 2015 wakati wa uchaguzi mkuu mgombea urais wa CCM Magufuli alitoa ahadi ya kuanzisha mahakama maalum ya kushughulikia ufisadi. Baada ya kushinda uchaguzi aliitimiza...
Alitaka kujenga treni ya Umeme Tanzania, swali likaja umeme atautoa wapi wa kuendesha hiyo treni?
Akapiga akili akagundua kuna uwezekano wa kupata zaidi ya 2000 MW green energy huko Rufiji Delta...
MUSOMA VIJIJINI WAENDELEA KUTATUA MATATIZO YANAYOWAKABILI WANAFUNZI WA SEKONDARI ZA KATA
* Jimbo la Musoma Vijijini lina Kata 21 zenye Vijiji 68 na Vitongoji 374
* Jimbo lina Sekondari za Kata...
MCHANGO WA MBUNGE WA JIMBO LA KISESA, MHE. LUHAGA JOELSON MPINA (MB) AKICHANGIA KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA NISHATI KWA MWAKA 2023/2024 BUNGENI DODOMA TAREHE 1 JUNI 2023...
Waziri wa Fedha Dr Mwigullu PhD amemwambia Askofu Hilinti wa KKKT Dayosisi ya Kati Kwamba tangu alipokuwa Sekondari ndoto yake ilikuwa ni siku Moja aje kusaini Noti ya Tanzania na imekaribia...
Habari zenu Wana jukwaa, imani yangu sote tuko wazima wa afya njema na kwa wale walio na changamoto ya afya mungu awasaidie waweze kupona na kuendelea na majukumu ya kila siku.
Watanzania hivi...
Ilikuwa furaha kubwa Jana kuzungumza kwa mara nyingine na Wananchi wa Kahama Jana. Maisha yangu ya kisiasa hayawezi kuandikwa bila ya Hoja ya Buzwagi, mgodi wa madini uliokuwa hapa Kahama. Baadhi...
#HABARI Mkuu wa mkoa wa Singida Peter Serukamba amemsweka ndani afisa manunuzi wa halmashauri ya Manyoni Joseph Swila kwa kukiuka maagizo aliyoyatoa jana wakati alipofika kukagua ujenzi wa wodi ya...
Rais, Kijiolojia na kama muungano utadumu, Zanzibar ina kila sababu ya kupewa ardhi bara ili isipotee na ikipotea basi hakuna muungano tena maana Zanzibar haitakuwepo kwenye atlas ya dunia...
CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema kitaendelea kushawishi sera mbadala za kuondoa watu kwenye umasikini ikiwemo ya Hifadhi ya Jamii kwa wote itakayohakikisha kunakuwa na Bima ya Afya kwa wote...
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiwaongoza Watendaji wa Wizara hiyo, Wadau mbalimbali wa Sekta hiyo na baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na...
Ngoja tuone maana Shubiri ndio alovera mmea muhimu Sana kwa tiba ya mwili
Vyama Vyote vya upinzani vinapendelea Asali sasa hiki chama kipya cha Umoja tunasubiri kwa hamu kuona uelekeo wake...
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa wizara imepokea wazo la Mbunge wa Momba, Condester Sichalwe la kuongeza kodi kwenye pombe zinazoingizwa nchini.
Akitoa majibu bungeni...
Na Comrade Christopher H.Bomola
Mwanafalsafa Rosalynn Carter alipata kusema "kiongozi ni mtu anayewaongoza watu na kuwafikisha wanapotaka kwenda,lakini kiongozi bora ni yule anayewaongoza watu na...
Wiki hii kumekuwa na delays nyingi sana za ndege za ATCL.hii inasabibsha usumbufu sana sana.
Ushari wa bure,kama una ticket ya ATCL,Saa ya kuondoka haina uhakika.Yaani ni kama treni ya kwenda...
Habari ndugu zangu,
Hivi karibuni nimeshuhudia mara kadhaa Rais Samia akitoa hamasa kwa timu za Simba na Yanga kwa kutoa zawadi ya pesa kwa kila goli linalofungwa na timu hizo.
Mara ya mwisho...
Kuanzia leo nitawapinga wote wanaopinga UFISADI na MAFISADI kwani mafisadi wamekuwa ndio waajiri wetu kwa sasa.
Kutokana na ufisadi na mafisadi Kuongezeka na upigaji wa pesa ya Umma kuwa mkubwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Kukubalika ,kupendwa na kuungwa mkono kwa Rais Samia kutoka jumuiya ya Wanamichezo kumewachanganya na kuwavuruga Akili wapinzani hapa nchini,Sasa wapinzani...