Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,409
- 8,908
Alitaka kujenga treni ya Umeme Tanzania, swali likaja umeme atautoa wapi wa kuendesha hiyo treni?
Akapiga akili akagundua kuna uwezekano wa kupata zaidi ya 2000 MW green energy huko Rufiji Delta, akaingia lab kazi ikaanza, Bwawa la kuzalisha umeme zaidi ya 2000 MW likaanza kujengwa fasta sambamba na Miundombinu ya treni ya umeme.
I mean this is genius, kafikiria Tanzania inategemea Utalii kwa mapato lakini Watalii wanaletwa na foreign Airlines hivyo sehemu kubwa ya mapato kwenda nje badala ya nchini kaingia lab kaja na suluhisho kununua ndege zitakazoleta Watalii moja kwa moja nchini.
Tanzania inauza maua nje lakini inategemea Kenya Airways/KLM kusafirisha kwenda EU kaingia lab kaja na suluhisho tunahitaji ndege ya Cargo ili kusafirisha maua moja kwa moja ndege imepokelewa juzi.
Akili hii ipo Japan, Ulaya na USA ya zamani tu.
Akapiga akili akagundua kuna uwezekano wa kupata zaidi ya 2000 MW green energy huko Rufiji Delta, akaingia lab kazi ikaanza, Bwawa la kuzalisha umeme zaidi ya 2000 MW likaanza kujengwa fasta sambamba na Miundombinu ya treni ya umeme.
I mean this is genius, kafikiria Tanzania inategemea Utalii kwa mapato lakini Watalii wanaletwa na foreign Airlines hivyo sehemu kubwa ya mapato kwenda nje badala ya nchini kaingia lab kaja na suluhisho kununua ndege zitakazoleta Watalii moja kwa moja nchini.
Tanzania inauza maua nje lakini inategemea Kenya Airways/KLM kusafirisha kwenda EU kaingia lab kaja na suluhisho tunahitaji ndege ya Cargo ili kusafirisha maua moja kwa moja ndege imepokelewa juzi.
Akili hii ipo Japan, Ulaya na USA ya zamani tu.