Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Jirani anatapa tapa!! Baada ya kujenga Bandari ya Lamu akitegemea kulikamata soko la Afrika Mashariki huku akitarajia kuiwekea gati zaidi ya 30 ambazo zitaendeshwa na sekta binafsi, huku...
31 Reactions
224 Replies
11K Views
Leo majira ya Saa Tisa za Tanzania kijana mmoja aitwaye Joram Mbyella, na mwanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) amekamatwa na watu wasiojulikana huko nyumbani kwake Kinondoni.
1 Reactions
5 Replies
982 Views
Moja ya kauli za Prof Mbalawa Kwa WAFANYAKAZI ni Ile ya kuwatia matumaini Jana kwenye kikao na watumishi yakuwa hakuna mfanyakazi atakae fukuzwa kazi Kwa hiyo.watulie tu. Kimsingi Nyie watumishi...
0 Reactions
3 Replies
297 Views
Wakuu kuna sehemu nimekuta hili swali, na likanifikirisha sana. "Kama CCM imeshindwa kusimamia bandari ambayo hata haizidi kilometa 10 mpaka wanaamua kubinafisisha je wataweza kweli kutuongoza...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Sijui nimjibu Dr. Slaa? Mwaka 2011 nikiwa mwanafunzi wa kidato cha sita huko Ihungo boy's high school nikichukua masomo ya HGE niliwahi kuwa kiongozi wa ngazi ya jimbo wa umoja wa wanafunzi...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Wezi na wanufaika wa wizi bandarini walio ndani ya CCM tayari washajitikeza na kubwabwaja kwa kujificha kwenye mwavuli wa uzalendo. Eti wanasema kubinafsisha bandari siyo uzalendo!!! Haa...
-1 Reactions
45 Replies
3K Views
Hili jambo kwa umri wangu duniani kuanzia Nyerere mpaka Magufuli skushuhudiwa wananchi wanamtilia wasiwasi,wanamwona kiongozi wao amepotoka km wakati huu wa bandari kuuzwa kwa Waarabu. Kuanzia...
1 Reactions
4 Replies
673 Views
Kumchukia mtu anayekukosoa ili ujirekebishe huo ni ujinga tu. Kitendo kinachofanywa na wana CCM kuwabeza wapinzani pale wanapokosolewa ni kuendekeza ujinga tu. Leo hii bungeni kumejaa misemo ya...
0 Reactions
0 Replies
383 Views
Binafsi naona Wapewe maana ukiacha mambo ya kukuza ushirikiano wa Kikanda wao Wana Uzoefu mkubwa ambapo wanaochangia Asilimia 73% ya umeme wote wa Kenya unatoka kwenye Joto Ardhi. ======= KenGen...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Tuliuza Loliondo kwa mwarabu. Tumeuza gesi ya Mtwara kwa wazungu, mabomba yanaelekea Ulaya, by d’r. Slaa. Tumewafukuza wamasai wa Loliondo tukampa mwarabu. Tumeuza wanyama wetu Dubai sasa huko...
10 Reactions
14 Replies
875 Views
Inasononesha sana hali hii ya SINTOFAHAMU inayoendelea kulikumba taifa kwa kile kinachotajwa ufisadi mkubwa kupitia mkataba uhusuo bandari yetu na Waarabu. Mwanzoni alikuwa anaonekana yupo sawa...
10 Reactions
43 Replies
3K Views
Kuanzia Mawaziri, Wakurugenzi na hata Wabunge wa chama chetu (CCM) na viongozi wa kichama na kiserikali wameshindwa kuiona, kuipata na kuijibu hoja ya wananchi kuhusu mkataba wa uwekezaji kwenye...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Rais, kwa upole wako na huruma kwa Watanzania na upendo ulionao kwao naomba kwa heshima kubwa uwafikirie kuwalipa fidia wale wote walioathirika na bomoa bomoa ya majumba yao kwa ajili ya utanuzi...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wengi watashangazwa na huu uzi. Nimekuwa nakosoa tena kwa lugha kali utendaji wa hovyo usiozingatia uhalisia hususani kuanzia awamu hii ya sita. Tembea uone. Nilifanikiwa kutembelea soko la...
15 Reactions
109 Replies
7K Views
Watu wanasemaga kwenye siasa kamwe usiseme kumaliza maneno kisa umekasirika au una raha sana moyoni. Huyu hapa ni mbunge wa CCM akiwa kwenye Bunge letu pendwa akiwasha moto juu ya wabunge na...
5 Reactions
26 Replies
3K Views
MHDANIEL SILLO - TAARIFA YA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MWAKA WA FEDHA 2023-2024 Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya Bunge Mhe. Daniel Barani Sillo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kuiondoa nchi kwenye muelekeo wa uchumi na China, hakika katika hili Rais Samia anastahili pongezi na binafsi nampongeza sana. Wakati wote nilikua nina wasiwasi pale nilipoona kiongozi...
7 Reactions
63 Replies
3K Views
Maana akina Mengi na Manji walikuwa wanautaka enzi zile za 2014 Muhongo akawaambia wana kampuni za vibiscuit Sahv naskia Jiwe hautaki hata maana maslai hayako tz
2 Reactions
98 Replies
12K Views
Hii issue imedhihirisha chuki waliokuwa nayo Watanganyika dhidi ya Wazanzibar na chuki hii inaongozwa na roho mbaya na roho ya kwanini. Tulitegemea unge dadavuliwa mkataba na mapungufu yake...
26 Reactions
184 Replies
11K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya kimataifa ya siku ya kupiga vita dawa za kulevya duniani. Kamishna Jenerali wa...
0 Reactions
0 Replies
711 Views
Back
Top Bottom