Rais wa Tanzania anaweza kutoka Zanzibar, au Tanzania bara. Kwa nini Rais wa Zanzibar hawezi kutoka Tanzania bara?

nuruyamnyonge

JF-Expert Member
Mar 18, 2014
4,386
2,151
Amani kwenu wanaukumbi,

Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu muungano wetu nakosa majibu, nimetafakari nikaona ni vema nilete swali langu hapa jukwaani ili nipate kuongezewa maarifa zaidi.

Napenda kujifunza mambo mbalimbali bila kuchoka Kwa faida yangu na vizazi vijavyo, Leo nimerejea hapa jukwaani nikiwa na swali langu hapo juu, nipate kujibiwa kichwa changu kitulie.

Naamini wabobezi wa mambo ya kisiasa, wanasheria, wataalam wa mambo ya utawala, wazee wa nchi hii yenye maziwa na asali watanielimisha Kwa faida ya nchi yangu.


Wasalaam.
 
Unauelewa ule msemo wa changu changu, chako changu! Sasa huu Muungano wetu ndiyo umeanzishwa kwa kuumbatia huo msemo. Walioridhia aina hii ya Muungano sijui waliwaza.

Jiulize tu ni kwa nini Wanasiasa wa ccm hawataki kabisa kuiongelea Tanganyika? Na wameamua kuposha ukweli?

Yaani mara zoteutawasikia wakiongelea Muungano wa Tanzania Bara na Zanzibar! Badala ya Tanganyika na Zanzibar.
 
Amani kwenu wanaukumbi,

Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu muungano wetu nakosa majibu, nimetafakari nikaona ni vema nilete swali langu hapa jukwaani ili nipate kuongezewa maarifa zaidi.

Napenda kujifunza mambo mbalimbali bila kuchoka Kwa faida yangu na vizazi vijavyo, Leo nimerejea hapa jukwaani nikiwa na swali langu hapo juu, nipate kujibiwa kichwa changu kitulie.

Naamini wabobezi wa mambo ya kisiasa, wanasheria, wataalam wa mambo ya utawala, wazee wa nchi hii yenye maziwa na asali watanielimisha Kwa faida ya nchi yangu.


Wasalaam.
Si kweli Ali Hassan mwinyi katoka bara
 
Unauelewa ule msemo wa changu changu, chako changu! Sasa huu Muungano wetu ndiyo umeanzishwa kwa kuumbatia huo msemo. Walioridhia aina hii ya Muungano sijui waliwaza.

Jiulize tu ni kwa nini Wanasiasa wa ccm hawataki kabisa kuiongelea Tanganyika? Na wameamua kuposha ukweli?

Yaani mara zoteutawasikia wakiongelea Muungano wa Tanzania Bara na Zanzibar! Badala ya Tanganyika na Zanzibar.
Umenipa elimu inayoibua maswali mengi, nilipokuwa shule ya msingi nilisoma siasa, kwamba Tanganyika ilipata Uhuru wake 09/12/1961 kama nchi, hii nchi ya Tanganyika iko wapi?
 
Amani kwenu wanaukumbi,

Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kuhusu muungano wetu nakosa majibu, nimetafakari nikaona ni vema nilete swali langu hapa jukwaani ili nipate kuongezewa maarifa zaidi.

Napenda kujifunza mambo mbalimbali bila kuchoka Kwa faida yangu na vizazi vijavyo, Leo nimerejea hapa jukwaani nikiwa na swali langu hapo juu, nipate kujibiwa kichwa changu kitulie.

Naamini wabobezi wa mambo ya kisiasa, wanasheria, wataalam wa mambo ya utawala, wazee wa nchi hii yenye maziwa na asali watanielimisha Kwa faida ya nchi yangu.


Wasalaam.
Thread FIKIRISHI. Wache waje na Siasa zao badala ya UKWELI!
 
Back
Top Bottom