Mama Samia anaupiga mwingi kweli kweli, bila kufoka bila makeke anafanya kazi kuliko tunavyofikiria.
Kila akiibuka anaibuka na mambo ambayo yanasongesha mbele gurudumu la maendeleo.
Jioneeni wenyewe:
<iframe width="560" height="315" src="" title="YouTube video player" frameborder="0" allow="accelerometer; autoplay; clipboard-write; encrypted-media; gyroscope; picture-in-picture; web-share" allowfullscreen></iframe>
Mama Samia anaupiga mwingi kweli kweli, bila kufoka bila makeke anafanya kazi kuliko tunavyofikiria.
Kila akiibuka anaibuka na mambo ambayo yanasongesha mbele gurudumu la maendeleo.
Jioneeni wenyewe:
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
DSE kuwezi kuyakuta nenda kwenye Government bonds huko au kwa mufilisi wa SerikaliWapeleke DSE wapunguze hisa za Serikali...wafate crdb na NMB models zinazowapa gawio za mabilioni kila mwaka
Mimi mTZ tena wa UMMA nipo Dodoma karibu na IKULU ndogo kama unaijua ilipo acha ya ChamwinoMkenya upo?
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Naunga mkono hoja, sio kimataifa tuu, ni Kitaifa na kimataifa!.Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Mama kashindwa kulea Watoto wake mwenyewe,Sasa anaamua kuwagawa kwa Watu wengine wamlelee!! Alafu Mama anasubiri Watoto wakiwa wakubwa waje wamsaidie! Haya malezi sijui ni ya aina gani sijapata owna!!Mama Samia anaupiga mwingi kweli kweli, bila kufoka bila makeke anafanya kazi kuliko tunavyofikiria.
Kila akiibuka anaibuka na mambo ambayo yanasongesha mbele gurudumu la maendeleo.
Jioneeni wenyewe:
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Mama Samia anaupiga mwingi kweli kweli, bila kufoka bila makeke anafanya kazi kuliko tunavyofikiria.
Kila akiibuka anaibuka na mambo ambayo yanasongesha mbele gurudumu la maendeleo.
Jioneeni wenyewe:
Mama anaupiga mwingi Kimataifa.