Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna kaukimya fulani kanatawala hapa nchini kwa watawala wa chama cha mapinduzi kujitenga kabisa na kile kinachotokea mahakama za kimataifa. Magufuli nakubaliana naye kwamba alichokifanya yeye...
1 Reactions
6 Replies
710 Views
Waziiri wa mambo ya Ndani mh Masauni amesema Hivi karibuni pamezuka tabia ya Viongozi wa Dini kujiingiza Kwenye shughuli za Kisiasa Hii ni kinyume cha sheria Masauni amewataka Viongozi wa Dini...
7 Reactions
74 Replies
5K Views
Si kumuita tu Daktari kuthibitisha tusije tukazika kumbe kazimia? Ila kuzimia gani huku hadi hiki kishindo cha sintofahamu ya kupanda Mishahara ya Watumishi wa Umma mwezi huu ashindwe kuamka...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amesema Serikali imepanga kujenga viwanja viwili vya michezo nchini katika mkoa wa Arusha na Dodoma ili vitumike katika michuano...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
"Tulimpinga Hayati Rais Magufuli kwa miaka mitano hawakusema kwa sababu ni mkristo,Leo tunampinga Rais Samia wanasema kwa sababu ni Muislam,wajinga nyinyi" Godbless...
36 Reactions
79 Replies
11K Views
Binafsi tangu nimejiunga CHADEMA zaidi ya miaka 10 iliyopita nlikuwa nina imani sana na chama changu na nliamini ipo siku tutakuja chukua dola. Muda na chaguzi zilipita lakini hakuna kitu...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Vikao vya Kamati Kuu (CC) ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) Taifa, chini ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Samia Suluhu Hassan...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Mpaka sasa ukiusoma mchezo unagundua suala la DP World ni la Chongolo na baadhi ya watu wake na sio dili la CCM kwa ujumla wake, mfano mdogo ni ziara ya Kinana tangu ameanza mikutano Rufiji...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Walemavu wameshinikiza AG Feleshi ajiuzulu kumpa nafasi Rais ya kuteua AG mwingine --- Walemavu washinikiza Attorney General ajiuzuru katika kufafanua hoja hiyo wamesema Kimsingi nikiliangalia...
4 Reactions
31 Replies
3K Views
Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa DP World na kunukuliwa na Magazeti mbalimbali inaeleza kwamba Makubaliano baina ya Serikali ya Tanzania na DP World yaani IGA Hayana Kifungo...
5 Reactions
102 Replies
9K Views
Kwa nini wanatuma watu wa miamba wakalitetee taifa kwenye sheria? Mtanzania kajibiwa; Kwani walipomtuma Kitenge na Zembwela Dubai wale ni wana Sheria? Au walipomtuma Msukuma class seven B aite...
3 Reactions
4 Replies
773 Views
Mheshimiwa Waziri wa sheria ameongea mengi wakati akitoa hotuba ya majumuisho ambayo huwa ni majibu na maelezo kwa yale yote yanayokuwa yameulizwa au yanawatatiza wabunge. Ameongea mengi lakini...
14 Reactions
221 Replies
15K Views
Nashangaa Feleshi bado Yuko katika nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, aondoke, ameshindwa kuishauri serikali kuhusu mkataba wa Bandari. Mama Samia, Anza na huyo, fukuza.
3 Reactions
29 Replies
4K Views
Friends and Enemies. Nimesikitishwa sana kwa kauli ya Sheikh Mwaipopo aliyotamka Leo Kwa kusema kwamba Muislam yeyote atakaehudhuria mkutano huo atamsomea kunuti na litakalo mkuta ajilaumu yeye...
20 Reactions
183 Replies
24K Views
Watanzania wanaomba viongozi wa CCM, kuanza ziara nchi nzima kujibu hoja za ufisadi zilizotajwa na CAG kuhusu ufisadi wa Matrilioni ya fedha uliofanywa na vigogo wa Serikali kama wanavyofanya...
3 Reactions
5 Replies
597 Views
Summary 📋 Tanzania expropriated the SMP gold project, a 12-year-long investment to explore and develop a gold mine, without offering prompt, adequate, and effective compensation, violating the...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama watanzania wengi wakiwemo viongozi wa dini wamekataa kuuza au kukodisha bandari kwanini wanasiasa wasiwaache wabaki na umaskini wao? Maendeleo gani ya kulazimishana? Kwanza hatujawahi...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Mikutano ya Katibu Mkuu wa Ccm anayoifanya kikanda ni kiini macho kumdanganya Rais aone kwamba mikutano ya CCM inapata watu wengi na kwamba wana ccm wote wanaunga mkono mkataba wa bandari jambo...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Lilianza kama masihara hivi likapigiwa kura chap chap, wananchi nao wakalipokea chap chap. Sasa dude linawasumbua wapiga kura na wale waliotia saini! Kila likitaka kulazwa halilali, kama ni mboga...
38 Reactions
78 Replies
6K Views
Nchi inakoelekea ni dhahiri imekula kwetu. Kwa hali hii, ni hatuna sababu yakuidikiliza CCM kwenye mkataba wa DP World.
2 Reactions
7 Replies
676 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…