saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 602
- 1,407
Mikutano ya Katibu Mkuu wa Ccm anayoifanya kikanda ni kiini macho kumdanganya Rais aone kwamba mikutano ya CCM inapata watu wengi na kwamba wana ccm wote wanaunga mkono mkataba wa bandari jambo ambalo ni kiini macho.
Mikutano ya Chongolo mfano uliofanyika Singida unachukua viongozi wa CCM ngazi ya Kata kutoka Kata zote za mikoa mitatu ya Dodoma, Singida na Tabora wote wanakutana sehemu moja Singida na wanachama hao wanasafirishwa kutoka kwenye kila kata za mikoa mitatu ndiyo maana sisi tulioko nje ya nchi tunaona ni mikutano mikubwa.
Lakini viongozi hao kuna tetesi kuwa wanalipwa posho ya sh kati ya 30,000 na 50,000 kwa ajili ya chakula na malazi ili kufanikisha kampeni ya Chongolo ya kujaza mikutano kwa lengo la kumfurahisha Rais aone kumbe jambo hilo linaungwa mkono na watu wengi.
Viongozi hao Kata wahoji siku zote hawana mishahara wala posho wanajiuliza fedha anazotumia chongolo kusafirisha watu kutoka kila kata za mikoa mitatu anazitoa wapi? Kama CCM ina fedha ya kuwasafirisha wanachama kutoka kila kata je kwanini hawana fedha za kuwalipa mishahara?
Sasa kwa utaratibu huu wa Chongolo mikutano itaacha kujaa kama wanakuja watu kutoka kila kata kwa mikoa mitatu hadi minne kutegemeana na kanda husika.
Mfano Kanda ya Ziwa ina mikoa sita Mara, Shinyanga, Simiyu, Mwanza, Geita na Kagera wakija viongozi wa CCM kutoka kila kata wakutane Mwanza Furahisha ni lazima mkutano huo ujae.
Naomba fuatilieni kwa kina tujue anayefadhili mikutano hii Chongolo aseme fedha ametoa wapi?
Mikutano ya Chongolo mfano uliofanyika Singida unachukua viongozi wa CCM ngazi ya Kata kutoka Kata zote za mikoa mitatu ya Dodoma, Singida na Tabora wote wanakutana sehemu moja Singida na wanachama hao wanasafirishwa kutoka kwenye kila kata za mikoa mitatu ndiyo maana sisi tulioko nje ya nchi tunaona ni mikutano mikubwa.
Lakini viongozi hao kuna tetesi kuwa wanalipwa posho ya sh kati ya 30,000 na 50,000 kwa ajili ya chakula na malazi ili kufanikisha kampeni ya Chongolo ya kujaza mikutano kwa lengo la kumfurahisha Rais aone kumbe jambo hilo linaungwa mkono na watu wengi.
Viongozi hao Kata wahoji siku zote hawana mishahara wala posho wanajiuliza fedha anazotumia chongolo kusafirisha watu kutoka kila kata za mikoa mitatu anazitoa wapi? Kama CCM ina fedha ya kuwasafirisha wanachama kutoka kila kata je kwanini hawana fedha za kuwalipa mishahara?
Sasa kwa utaratibu huu wa Chongolo mikutano itaacha kujaa kama wanakuja watu kutoka kila kata kwa mikoa mitatu hadi minne kutegemeana na kanda husika.
Mfano Kanda ya Ziwa ina mikoa sita Mara, Shinyanga, Simiyu, Mwanza, Geita na Kagera wakija viongozi wa CCM kutoka kila kata wakutane Mwanza Furahisha ni lazima mkutano huo ujae.
Naomba fuatilieni kwa kina tujue anayefadhili mikutano hii Chongolo aseme fedha ametoa wapi?