Unaambiwa misimamo ya Dkt. Mwigulu Nchemba, ambayo inaendana na baadhi ya misimamo ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, ndiyo iliyomuibua Ndejembi.
Ni dhahiri kuwa Dkt. Nchimbi angeweza kufukuzwa...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe
Tanzania tuko hapa tulipo kwenye lindi la umasikini uliotopea kutokana na kukosekana viongozi wa kutosha wenye boldness ya kuchukua...
Wanabodi,
Leo nimepata fursa ya kuendesha darasa kuhusu dhana ya usaliti, ambayo inatumia jina la Yuda.
Kufuatia Yuda Iskariote kumsaliti Bwana Yesu kwa vipande 30 vya fedha, kumelichafua jina la...
Mfanyabiashara maarufu Duniani Timothy Cook Draper (Tim Draper) ametangaza kupitia mitandao ya kijamii (X) kuuza kisiwa chake ,katika ziwa Tanganyika nchini kwetu Tanzania kwa gharama za dola za...
Wanabodi,
Leo nimepata muda kuwapatia kidogo PNA (PPR News Analysis)
Kwa wale ambao hii ndio mara yao ya kwanza kukutana na PNA zangu, anzienzi hapa
PNA: Makamo wa Rais Dr Nchimbi, atamsaidia...
Hiki chama kina matatizo sana yaani wao cha kwanza kwao ni maslahi ya chama kwanza. Na sababu kuu ni kwamba wameaminishwa kwamba hakuna maisha nje ya chama hivyo mtu yuko tayari kusaliti dhamiri...
NAKWAMBIA hivi Dr Emanuel Nchimbi hasingekuwa TISS kwa KAULI yake dhidi ya katiba mpya kufaitiwa na kuwataka watu waitafte ili Hali wanao itafuta wanapewa kesi za ugaidi angekuwa katumbuliwa...
Rais Dkt. Samia akutana na kuzungumza na Msanii Yvonne Chakachaka kutoka Afrika Kusini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Msanii Mkongwe kutoka...
Na. M. M. Mwanakijiji
Askari wanapokuja kukukamata wanajitambulishaje? Unajuaje watu waliokusimamisha au wanaodai kuwa ni "maafisa usalama au askari" kweli ni maafisa usalama? Je, ukiwa na...
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwa naweletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" Makala ya leo ni kuhusu dhana ya kitu kinachoitwa "Life after Life", ambapo najikita...
Dr. Nchimbi aliboronga kwenye nafasi aliyopewa na CCM na CCM alitaka kumuondoa kwenye nafasi kwa mujibu wa katiba ya CCM na Katika ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.
Kama Dr...
Hii nchi sijui kama itapoa. Kufatia serikali katili ya CCM kuua watanganyika zaidi ya 3000 na kuwazika kwenye kaburi la halaiki, na kuacha mamia ya vijana wakiwa na ulemavu wa kudumu. Mambo...
Ndugu zangu Watanzania,
Hata Hayati Baba Wa Taifa Amewahi kusema na kuandika katika kitabu chake cha Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania cha Mwaka 1994 ya kuwa Ukimtikisa Rais Wa Nchi unakuwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais Samia anafanya kazi ya Kitume ,Ni sahihi Ukisema katumwa na Mungu kuwaongoza Watanzania, ni Sahihi ukisema Kaja Kutenda yale yaliyokusudiwa na Mungu kwaTaifa letu...
Kwa kweli kuamua kuacha mikate na siagi na kuamua kutoka kwenye himaya ni kitendo kitakatifu sana.
Wote waliobaki nikiwaangalia wamebaki wapiga zumari na machawa ...
Unapopewa nafasi na kisha...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, amemjibu Mzee Joseph Sinde Butiku kuhusu madai kwamba chama hicho kinapokea fedha na misaada kutoka Marekani.
Heche amewataka Watanzania kupuuza...
Huwezi kuwa na lidubwana kama hili alafu ukasumbua watoto wa watu kutoka mashuleni kuanzia asubuhi hadi jioni hii.
Hii imetokea Chato watoto wanachukuliwa mashuleni na kupelekwa Muungano kusubria...
Nimesoma mkataba wa Siri wa bandari
Nimesoma mikataba ya ujenzi wa viwanja vya afcon
Nimesoma mikataba ya barabara
Nimesoma mkataba wa bandari ya bagamoyo.
Nimesoma mkataba wa ngorongoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.