Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimeangalia mahojiano ya Tundu Lissu na John Mnyika kwenye kesi ya Uhaini inayomkabili Lissu, nikajiuliza vipi hao wanaohojiana ndiyo wangekuwa ni viongozi waandamizi wa CCM? Hii kesi inaonesha...
5 Reactions
8 Replies
236 Views
Wakuu, Mwaka 2017 Dkt. Nchimbi alipewa onyo kali huku wanachama wengine wakivuliwa uachama kutokana na utovu wa nidhamu kwenye chama baada ya kumkataa Magufuli na kumsapoti Lowasa kwenye...
10 Reactions
44 Replies
3K Views
Yaani ukiangalia kiu ya wananchi ni kuona kuanzia mwenyekiti,Diwani,mbunge akimpigania haki yake ya kiuchumi na kijamii kwa uwazi kabsaa hata ikitokea kiongozi huyo atashindwa fanikiwa suala...
0 Reactions
1 Replies
48 Views
Kama sheria zetu zingefanya kazi kesi ingetupiliwa mbali pale tu mahakama ilivyokataa ushahidi wa ile video Kungekuwa hakuna tena kesi ya kujibu kwasababu kielelezo kikuu cha mashitaka...
3 Reactions
10 Replies
124 Views
Halmashauri ya Mji Mafinga imekanusha taarifa iliyotolewa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mji Mafinga, Dkt. Victor Msafiri, kuhusu madai ya kufukuzwa kazi kwa madaktari saba waliokuwa...
0 Reactions
3 Replies
115 Views
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari akitoa ufafanuzi wa Kisheria kuhusu Uteuzi wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bungeni Jijini Dodoma tarehe 28 Agosti, 2026...
0 Reactions
3 Replies
81 Views
Rais 2030 ni Dr Mwinyi, Makamu wake ni Ndejembi
2 Reactions
9 Replies
252 Views
DAR ES SALAAM, TANZANIA— Waziri Mkuu Mstaafu na Mwenyekiti wa zamani wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Sinde Warioba, ameeleza wasiwasi wake mkubwa kuhusu uwezekano wa Tanzania kupata...
3 Reactions
2 Replies
93 Views
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Msukuma, amemtaka Mbunge mwenzake, Deo Ndejembi, ambaye ametoka Bungeni baada ya kuteuliwa na Halmashauri Kuu ya CCM kuwa Makamu wa Rais, kutorudia mambo...
0 Reactions
24 Replies
473 Views
Mhe. Lissu: Mimi sijafundishwa multiple choice. Mimi nimefundishwa critical thinking. Sheria unafundishwaje multipe choice? Ndio maana unakuwa mjinga.
14 Reactions
33 Replies
869 Views
Mtu akiwekwa kizuizini anaruhusiwa kuendelea kuitumikia Imani yake mbele ya umma kama kuendelea kwenda kanisani, misikitini au kwa waganga kulingana na imani yake ? Au anakuwa anapelekewa padri...
8 Reactions
21 Replies
391 Views
Ulimwengu wa sasa elimu kubwa yafaa ipewe kipaumbele sana kutokana na ushindani wa kidunia, Kuna nchi Duniani ambazo kwao Degree ni Elimu msingi (kwamba lazima kila mtu awe nayo). Naomba nishauri...
6 Reactions
122 Replies
1K Views
Mbunge wa Jimbo Ikungi Magharibi, Elibariki Kingu, "Nikiwaambiaga watu mimi ni mtumishi wa Mungu, wengine wanafanya masiara, miezi miwili iliyopita mimi Mungu alizungumza na mimi na nilimpigia...
4 Reactions
21 Replies
317 Views
Mzee Warioba ameweka wazi👇
1 Reactions
14 Replies
176 Views
I’m not big on conspiracy theories. But in the absence of veracious information, what’s one to do? Just sit idly by and wait for it to be delivered to your doorstep? Nah! Not for a thinking...
62 Reactions
337 Replies
38K Views
Hakuna siri iliyofichika kwenye chungu cha kukaangia. Kundi la watu 22 ndani ya ukumbi huo huo, wamekaa wanasuka kamba. Lengo lao moja: kumuangusha jamaa. Lakini wanasubiria neno kutoka mlimani...
33 Reactions
58 Replies
3K Views
kuna mlolongo wa ziara za Dkt. Emmanuel Nchimbi kwa viongozi wakuu wastaafu katika miezi ya karibuni, na baadhi yake zilikuwa karibu sana na kujiuzulu kwake. Lakini ni muhimu kutenganisha...
4 Reactions
19 Replies
679 Views
Je tunaelekea wapi?
2 Reactions
2 Replies
96 Views
Tanzania kwa sasa inapita katika kipindi cha mpito wa kisiasa ambacho kinahitaji viongozi wenye busara na ujasiri wa kusimamia ukweli bila uoga wala upendeleo. Katika muktadha huu, Jaji Joseph...
6 Reactions
6 Replies
249 Views
Huyu mama japokua yupo kwenye bunge haramu ila amemaliza kila kitu kwenye hii clip
9 Reactions
19 Replies
325 Views
Back
Top Bottom