Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Na MMM UISLAM ni dini yenye misingi imara ya kuongoza jamii kuelekea katika HAKI, USAWA na kupinga kila aina ya DHULUMA, inayokataa UKANDAMIZAJI kama inavyobainishwa katika Qur’an (57:25, 28:4...
6 Reactions
33 Replies
449 Views
Kuna jambo linahitaji kutazamwa kwa jicho la tatu. Mara kwa mara tumekuwa tukisikia baadhi ya viongozi wakisisitiza kuwa Watanzania waliopo nje ya nchi au wanaokosoa mwenendo wa serikali...
2 Reactions
6 Replies
101 Views
  • Redirect
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema kwamba ingawa katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho alimuunga mkono Freeman Mbowe...
7 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa CHADEMA, Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu amesema katika uchaguzi mkuu wa chama hicho Januari 2025 alikuwa akimuunga mkono aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Freeman...
0 Reactions
Replies
Views
1JIMBO LA ZANZIBAR Hili tayari ni kama Jimbo linalojiendesha maana tayari lina utawala wake binafsi, 2. JIMBO LA KASKAZINI (Northern Zone state) Mji mkuu: Arusha Maeneo: Arusha, Kilimanjaro...
3 Reactions
7 Replies
148 Views
Salaam Wakuu, Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai wakiwa na majeraha. Haijajulikana picha zimepigwa wapi saa ngapi. Naamini Vyombo vya Usalama vitatolea ufafanuzi ili...
18 Reactions
310 Replies
29K Views
Kwa wale walioamua kuendelea kunitukana na kusema mimi 'chawa' na kwamba sasa ninarudi kushika jembe au kusota, nina ujumbe wenu pia! Nilizaliwa ktk familia ya mwalimu wa shule ya msingi...
5 Reactions
24 Replies
459 Views
Wanabodi, Makala yangu Nipashe ya Leo, 20/10/24 Hizi ni pongezi za dhati kwa Spika wetu, Dr, Tulia Akson Mwansasu, alivyowajibu kwa kuwakoromea maspika wa nchi 12 za mabeberu, wanajiita 12+...
1 Reactions
51 Replies
2K Views
Habari za jioni wakuu! Mauaji yaliyotokea October 29 2025 hapa nchini, wengi wetu matumaini ya kupata haki yako ICC, ila kwa jinsi mahakama hiyo inavyofanya kazi, ni ngumu kupata haki huko...
21 Reactions
285 Replies
5K Views
Hello everyone, I would like to ask for advice regarding an ongoing issue we are facing in North Zanzibar. We have neighbours who regularly organize very loud parties, even though the President...
1 Reactions
0 Replies
54 Views
Hili ni jambo la muhimu sana kufanyika kwa sasa hasa baada ya TBC kupoteza mvuto kwa wananchi kwa kiwango cha kutisha mno. Bila shaka aliyefanya jambo lile alilipwa ili kuhujumu TV ya Taifa, si...
42 Reactions
94 Replies
12K Views
Hakunaga msamaha kwenye kosa hilo la wazi kabisa. Ikiwa mtuhumiwa atapunguziwa adhabu, basi itakua ni adhabu ya kifungo cha maisha badala ya kunyongwa hadi kufa, na si vinginevyo. Ni vema wanao...
1 Reactions
50 Replies
377 Views
Najiuliza kama niliweza kuachana na mke wangu wa ndoa niliyempenda kutoka moyoni kwa Nini nashindwa kuichukia CHADEMA? Najiuliza Ili swali nakosa majibu ebu wadau saidieni kwa nini hali ili hivi...
3 Reactions
7 Replies
108 Views
UPOTOSHAJI WA MALISA GJ NI WA KUPUUZWA, SINA MPANGO WA KUDAI FIDIA BAADA YA KUSHINDA KESI, MIMI SINA DHIKI YA KISIASA MPAKA NIDAI FIDIA, NINAJITOSHELEZA NA SIASA ZENU NIMEWAA CHIA. Bwana Malisa...
5 Reactions
12 Replies
380 Views
BARUA YA WAZI KWA TUNDU LISU Na, Robert Heriel Taikon wa Fasihi, S.L.P 9977, JIBI, Kutoka Nyota ya Tibeli. 30, 07. 2020. YAH: KUKUONYA DHIDI YA KUTETEA MASIKINI NA WAPUMBAVU. Ndugu Mhe Lisu...
86 Reactions
279 Replies
27K Views
Hali ya sasa kiuchumi ime collapse kwa sababu viongozi waliopo ni mambumbumbu wenye matumbo makubwa kuliko akili. Ukichukua pay slip ya mtumishi wa Tanzania anaelipwa 3M na akasomeshwa na bodi ...
35 Reactions
42 Replies
945 Views
Kwa hali ilivyo kwa sasa inaonyesha ni dhahiri dini imetekwa na siasa. Kwa maneno mengine ni kwamba wanasiasa wameamua kwa nguvu sana kuitumia dini kutimiza adhma zao za kisiasa. Dini imekuwa...
3 Reactions
13 Replies
434 Views
Rais hataniwi kamwe, Ila Magufuli aliweza kumtania Jakaya, hata alipozingua alimsemelea kwa kaka yake selemani. Wakenya mwacheni mama yetu tafadhali, mnatumia AI kuonesha mama yetu azungusha...
0 Reactions
3 Replies
147 Views
Kuna clip mama anashangaa kumuona Makamu ukumbini wakati wa kutangaza cabinet nadhan mmeiona Samia na genge lake walimtuma Congo, huku wakapanga cabinet, wakati wanaenda kutangaza akashangaa...
53 Reactions
51 Replies
3K Views
Back
Top Bottom