Zunguka Tanzania nzima utakutana maelfu kwa mamilioni ya wanannchi wakichimba dhahabu kwenye hali duni kabisa. Hawana mitaji, vifaa vya kisasa na mazingira wanayofanyia kazi ni hovyo.
Leo hii...
Ni muhimu zaidi vyama vya siasa vyenye sifa za kikatiba za kushiriki chaguzi ndio haswa viketi chini pamoja na kushauriana namna ya kuliunganisha taifa kwa hiyari katika maridhiano hayo miongoni...
Kanisa Katoliki Tanzania limetoa waraka kwa ajili ya kuwaandaa waamini wake kwa ajili ya kipindi cha Toba, kinachoanza rasmi Jumatano ijayo tarehe 14 Februari 2018 [ambayo ndiyo siku ya...
Wakuu
'The clinic' walikutana wakiwa wanne. Recrato, Logasto na Financo walikuwa ndio wajumbe. Upande wa pili alikuwa amekaa Director akiongoza.
Alianza kuwaambia majukumu yao, "miaka miwili...
Lissu kwa ushawishi alionao kwenye uwanja wa sheria katiba ikiruhusu nafasi za ujaji kutangazwa na kuomba na kupigiwa kura na wanasheria hiwe TLS ndo wawe wasimamizi Lissu anakua Jaji mkuu mapema...
Mfano CCM na ahadi zetu Za siku zote zomerudiwa tena wakati zile za nyuma bado!
Mgombea si halali. Kila wakipita pita ntakuwa nafungua macho watanzania !!
Kesho kama kawaida
Mchengerwa...
Na Emily Mwakilembe
Katikati ya hofu, kuvunjika moyo na giza la kisiasa, wakati mwingine hutokea mtu anayethubutu kuisema kweli chungu sana, ile ambayo wengi huogopa kuisema.
Mwaka 2018, Profesa...
My Take
Nakubaliana na Prof.Kitila Mkumbo na kwamba nimewahi andika hapa jukwaani kuwa Mzungu yeyote hata asupotoa hata jero haiwezi yumbisha Tanzania Kwa sababu Bajeti yetu ya Zaidi ya Trilioni...
KINANA AMPONGEZA RAIS SAMIA
KUMUENZI BIBI TITI KWA VITENDO
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana, amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuchukua...
CCM na umaskini wa maono ni marafiki.
Wakati Ulimwengunu huko watu timamu wanajadili kuhusu uchumi na teknolojia, watawala wa CCM wao wanafikiria kubadili Jina la kuku kutoka “kuku wa kienyeji”...
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche, amekausha kumtukana Makamu Mwenyekiti wa CCM, Stephen Wasira aliposema kuwa amezeeka.
Soma zaidi: Heche amchana vibaya Wasira "umri wako huu wote...
Zipo taarifa za ndani kabisa kutoka ndani ya chadema kwamba wanachama wa chama hicho wameacha kabisa kulipia kadi zao za uanachama za kidigitali tangu mfumo huo rasmi kuanzishwa 2021.
Wengi...
Ni vigumu sana mtu yeyote kunishawishi kwamba Riz One aliteuliwa kuwa waziri katika ofisi ya raisi mwenye kusimamia Usalama wa Taifa kwa ajili ya usalama wa taifa. Ninaamini kwa dhati kabisa...
October 29 nilikuwa nyumbani kama ilivyokuwa kwa millenials wengi wa 90 kurudi nyuma ambao tumekuzwa kwenye uoga, kutii bila kuhoji, utiifu uliotukuka na ukimya .
lakini jinsi moyo wangu...
Ndugu zangu Watanzania,
Soma hapa 👉Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imewataka Watanzania wanaotoa zawadi za fedha taslimu katika sherehe mbalimbali kuacha utaratibu wa kutupa noti na badala yake...
Katikati ya hofu, kuvunjika moyo na giza la kisiasa, wakati mwingine hutokea mtu anayethubutu kusema kile ambacho wengi wanaogopa kusema.
Mwaka 2018, Profesa Mark James Mwandosya alipomtembelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.