Na MMM
UISLAM ni dini yenye misingi imara ya kuongoza jamii kuelekea katika HAKI, USAWA na kupinga kila aina ya DHULUMA, inayokataa UKANDAMIZAJI kama inavyobainishwa katika Qur’an (57:25, 28:4...
Kuna jambo linahitaji kutazamwa kwa jicho la tatu. Mara kwa mara tumekuwa tukisikia baadhi ya viongozi wakisisitiza kuwa Watanzania waliopo nje ya nchi au wanaokosoa mwenendo wa serikali...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema kwamba ingawa katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho alimuunga mkono Freeman Mbowe...
Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa CHADEMA, Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu amesema katika uchaguzi mkuu wa chama hicho Januari 2025 alikuwa akimuunga mkono aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Freeman...
1JIMBO LA ZANZIBAR
Hili tayari ni kama Jimbo linalojiendesha maana tayari lina utawala wake binafsi,
2. JIMBO LA KASKAZINI (Northern Zone state)
Mji mkuu: Arusha
Maeneo: Arusha, Kilimanjaro...
Salaam Wakuu,
Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai wakiwa na majeraha. Haijajulikana picha zimepigwa wapi saa ngapi.
Naamini Vyombo vya Usalama vitatolea ufafanuzi ili...
Kwa wale walioamua kuendelea kunitukana na kusema mimi 'chawa' na kwamba sasa ninarudi kushika jembe au kusota, nina ujumbe wenu pia!
Nilizaliwa ktk familia ya mwalimu wa shule ya msingi...
Wanabodi,
Makala yangu Nipashe ya Leo, 20/10/24
Hizi ni pongezi za dhati kwa Spika wetu, Dr, Tulia Akson Mwansasu, alivyowajibu kwa kuwakoromea maspika wa nchi 12 za mabeberu, wanajiita 12+...
Habari za jioni wakuu!
Mauaji yaliyotokea October 29 2025 hapa nchini, wengi wetu matumaini ya kupata haki yako ICC, ila kwa jinsi mahakama hiyo inavyofanya kazi, ni ngumu kupata haki huko...
Hello everyone,
I would like to ask for advice regarding an ongoing issue we are facing in North Zanzibar.
We have neighbours who regularly organize very loud parties, even though the President...
Hili ni jambo la muhimu sana kufanyika kwa sasa hasa baada ya TBC kupoteza mvuto kwa wananchi kwa kiwango cha kutisha mno.
Bila shaka aliyefanya jambo lile alilipwa ili kuhujumu TV ya Taifa, si...
Hakunaga msamaha kwenye kosa hilo la wazi kabisa.
Ikiwa mtuhumiwa atapunguziwa adhabu, basi itakua ni adhabu ya kifungo cha maisha badala ya kunyongwa hadi kufa, na si vinginevyo.
Ni vema wanao...
Najiuliza kama niliweza kuachana na mke wangu wa ndoa niliyempenda kutoka moyoni kwa Nini nashindwa kuichukia CHADEMA?
Najiuliza Ili swali nakosa majibu ebu wadau saidieni kwa nini hali ili hivi...
UPOTOSHAJI WA MALISA GJ NI WA KUPUUZWA, SINA MPANGO WA KUDAI FIDIA BAADA YA KUSHINDA KESI, MIMI SINA DHIKI YA KISIASA MPAKA NIDAI FIDIA, NINAJITOSHELEZA NA SIASA ZENU NIMEWAA CHIA.
Bwana Malisa...
BARUA YA WAZI KWA TUNDU LISU
Na, Robert Heriel
Taikon wa Fasihi,
S.L.P 9977, JIBI,
Kutoka Nyota ya Tibeli.
30, 07. 2020.
YAH: KUKUONYA DHIDI YA KUTETEA MASIKINI NA WAPUMBAVU.
Ndugu Mhe Lisu...
Hali ya sasa kiuchumi ime collapse kwa sababu viongozi waliopo ni mambumbumbu wenye matumbo makubwa kuliko akili.
Ukichukua pay slip ya mtumishi wa Tanzania anaelipwa 3M na akasomeshwa na bodi ...
Kwa hali ilivyo kwa sasa inaonyesha ni dhahiri dini imetekwa na siasa. Kwa maneno mengine ni kwamba wanasiasa wameamua kwa nguvu sana kuitumia dini kutimiza adhma zao za kisiasa.
Dini imekuwa...
Rais hataniwi kamwe,
Ila Magufuli aliweza kumtania Jakaya, hata alipozingua alimsemelea kwa kaka yake selemani.
Wakenya mwacheni mama yetu tafadhali, mnatumia AI kuonesha mama yetu azungusha...
Kuna clip mama anashangaa kumuona Makamu ukumbini wakati wa kutangaza cabinet nadhan mmeiona
Samia na genge lake walimtuma Congo, huku wakapanga cabinet, wakati wanaenda kutangaza akashangaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.