Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kijana Wa Kitanzania Aibuka Mshindi Mashindano Ya Nyuklia Kimataifa Kijana mtaalamu kutoka Tanzania, Japhet Matekere, amechaguliwa kuwa mmoja wa washindi wa mashindano ya video ya kimataifa ya...
8 Reactions
13 Replies
381 Views
Je, kuna taarifa zozote mpya za hivi karibuni toka mahakamani kuhusu mwenendo wa kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA? Kama mahakama ni chombo cha kulinda haki ya kila mtu haiwezi kunyamaza tu bila ya...
10 Reactions
46 Replies
597 Views
Dunia ya leo inatawaliwa na vitu vikuu vitatu tu 1. Technologia: Viwanda, mawasiliano, usalama hivi vyote vitatu ni mihimu sana . Vyote vitatu vina ongozwa na mataifa ya demokrasia. Kuanzia...
2 Reactions
6 Replies
98 Views
Wanabodi, Leo nimepata muda kuwapatia kidogo PNA (PPR News Analysis) Kwa wale ambao hii ndio mara yao ya kwanza kukutana na PNA zangu, anzienzi hapa PNA: Makamo wa Rais Dr Nchimbi, atamsaidia...
7 Reactions
36 Replies
601 Views
Pesa nyingi ilitumika kusaida nchi za kusini mwa Afrika na akasahau kabisa kujenga taifa lake. Watanzania waliishi maisha dhiki huku mataifa ya nje yakinufaika na kupata uhuru. Miaka 26...
18 Reactions
54 Replies
801 Views
Ndugu zangu Watanzania, Hiki ni Chama Cha Ajabu Sijapata Kuona .Ni Chama Ambacho Kuanzia Viongozi wake wa Ngazi ya Juu kabisa Mpaka chini huko wanatukana,kufunua na kuporomosha Matusi Utafikiri...
2 Reactions
25 Replies
287 Views
Ni katika Mkutano wao Mkubwa mno wa hadhara katika ule Mpango wao wa Katiba Mpya na Free Lissu Ni Dhahiri sasa hiki CHAMA hakizuiliki tena, hata Utekaji n.a. Mauaji haujaweza kuwatisha. Mkutano...
17 Reactions
40 Replies
890 Views
JENERALI ULIMWENGU alizaliwa tarehe 4 Aprili 1948 huko Ngara, Mkoa wa Kagera nchini Tanzania. Alisoma shule za Kamachumu, Katoke na Nyakato mkoani Kagera na sekondari mkoani Tabora kuanzia mwaka...
25 Reactions
80 Replies
12K Views
Wanabodi, Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu...
51 Reactions
471 Replies
36K Views
Kisukari kilichompata MUTUNGI kimetokana na laana ya Chadema, mifano ya waliopotea baada ya kuvuruga Chadema ambao ni Mpango wa Mungu, jf haina nafasi ya kujaza Majina yao, ni mengi mno! N.a...
11 Reactions
43 Replies
577 Views
Wanabodi, Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo, Utangulizi: Bandiko hili ni bandiko la manifestation ya Katiba mpya, japo hata mchakato wa Katiba mpya bado haujaanza, bandito linatoa...
8 Reactions
31 Replies
771 Views
Watu walioiandika katiba ya mwaka 1977 ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania walikuwa wakina nani? Napenda kufahamu; 1. Majina yao kamili 2. Wasifu wao, hususani kazi zao. 3. Maeneo walikotoka; Nchi...
6 Reactions
51 Replies
8K Views
Mwaka 2024 ungefanya majadiliano na makada wa CCM na Maafisa Usalama wa Tanzania kwamba kuna siku watanganyika wanaweza kufanya vurugu za kutisha, na serikali kufanya mauaji makubwa ya kutisha kwa...
106 Reactions
161 Replies
5K Views
Here it is! Kwa wanachokiandika, unaona kabisa kuwa wanajua kila kitu. Sidhani kama hao wa Nigeria watasaidia lolote
12 Reactions
44 Replies
1K Views
Ukimya wa viongozi mbele ya propaganda za mgawanyiko unaweza kuwa mwanzo wa maafa ya taifa. Kuna msemo mmoja mzito wa kisiasa na kisaikolojia unasema: «“Ukimya mbele ya hujuma siyo busara — ni...
4 Reactions
38 Replies
1K Views
Nikisomaga historia za uhuru wa nchi za Afrika inaonekana kwamba ilikuwa ni mapambano makubwa sana yaliyohitaji juhudi za ajabu kutoka kwa viongozi kama Julius Nyerere, Jomo Kenyatta na wengine...
3 Reactions
7 Replies
91 Views
Hamjambo! 1. Bado tunawekana Sawa. Tunazungumza. Ili mambo yakae sawa. 2. Kuna vitabia vya ajabuajabu ndani ya nchi yetu. Tabia ya kujimilikisha mambo ambayo hayamilikiwi na yeyote. Mambo ya...
6 Reactions
46 Replies
415 Views
Ndugu watanzania wiki ijayo tunaingia toleo lingine jipya. Mmejiandaaje kupokea maumivu je ewura wakipandisha bei hali zenu zitakuwaje. Wahusika wamekosa majibu ya kudumu waanatoa kisingizio ni...
18 Reactions
74 Replies
1K Views
Wasalaam, I declare interest, haya ni maono, yaan ni ndoto ilinichukua mchana ghafla nikipoteza ufahamu wa kawaida kwa muda nnao kadiria dakika moja na nusu. Katika hali ya kustaajabisha kabisa...
14 Reactions
18 Replies
544 Views
Back
Top Bottom