Kijana Wa Kitanzania Aibuka Mshindi Mashindano Ya Nyuklia Kimataifa
Kijana mtaalamu kutoka Tanzania, Japhet Matekere, amechaguliwa kuwa mmoja wa washindi wa mashindano ya video ya kimataifa ya...
Je, kuna taarifa zozote mpya za hivi karibuni toka mahakamani kuhusu mwenendo wa kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA?
Kama mahakama ni chombo cha kulinda haki ya kila mtu haiwezi kunyamaza tu bila ya...
Dunia ya leo inatawaliwa na vitu vikuu vitatu tu
1. Technologia: Viwanda, mawasiliano, usalama hivi vyote vitatu ni mihimu sana . Vyote vitatu vina ongozwa na mataifa ya demokrasia. Kuanzia...
Wanabodi,
Leo nimepata muda kuwapatia kidogo PNA (PPR News Analysis)
Kwa wale ambao hii ndio mara yao ya kwanza kukutana na PNA zangu, anzienzi hapa
PNA: Makamo wa Rais Dr Nchimbi, atamsaidia...
Pesa nyingi ilitumika kusaida nchi za kusini mwa Afrika na akasahau kabisa kujenga taifa lake.
Watanzania waliishi maisha dhiki huku mataifa ya nje yakinufaika na kupata uhuru.
Miaka 26...
Ndugu zangu Watanzania,
Hiki ni Chama Cha Ajabu Sijapata Kuona .Ni Chama Ambacho Kuanzia Viongozi wake wa Ngazi ya Juu kabisa Mpaka chini huko wanatukana,kufunua na kuporomosha Matusi Utafikiri...
Ni katika Mkutano wao Mkubwa mno wa hadhara katika ule Mpango wao wa Katiba Mpya na Free Lissu
Ni Dhahiri sasa hiki CHAMA hakizuiliki tena, hata Utekaji n.a. Mauaji haujaweza kuwatisha. Mkutano...
JENERALI ULIMWENGU alizaliwa tarehe 4 Aprili 1948 huko Ngara, Mkoa wa Kagera nchini Tanzania. Alisoma shule za Kamachumu, Katoke na Nyakato mkoani Kagera na sekondari mkoani Tabora kuanzia mwaka...
Wanabodi,
Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu...
Kisukari kilichompata MUTUNGI kimetokana na laana ya Chadema, mifano ya waliopotea baada ya kuvuruga Chadema ambao ni Mpango wa Mungu, jf haina nafasi ya kujaza Majina yao, ni mengi mno! N.a...
Wanabodi,
Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo,
Utangulizi:
Bandiko hili ni bandiko la manifestation ya Katiba mpya, japo hata mchakato wa Katiba mpya bado haujaanza, bandito linatoa...
Watu walioiandika katiba ya mwaka 1977 ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania walikuwa wakina nani? Napenda kufahamu;
1. Majina yao kamili
2. Wasifu wao, hususani kazi zao.
3. Maeneo walikotoka; Nchi...
Mwaka 2024 ungefanya majadiliano na makada wa CCM na Maafisa Usalama wa Tanzania kwamba kuna siku watanganyika wanaweza kufanya vurugu za kutisha, na serikali kufanya mauaji makubwa ya kutisha kwa...
Ukimya wa viongozi mbele ya propaganda za mgawanyiko unaweza kuwa mwanzo wa maafa ya taifa.
Kuna msemo mmoja mzito wa kisiasa na kisaikolojia unasema:
«“Ukimya mbele ya hujuma siyo busara — ni...
Nikisomaga historia za uhuru wa nchi za Afrika inaonekana kwamba ilikuwa ni mapambano makubwa sana yaliyohitaji juhudi za ajabu kutoka kwa viongozi kama Julius Nyerere, Jomo Kenyatta na wengine...
Hamjambo!
1. Bado tunawekana Sawa. Tunazungumza. Ili mambo yakae sawa.
2. Kuna vitabia vya ajabuajabu ndani ya nchi yetu. Tabia ya kujimilikisha mambo ambayo hayamilikiwi na yeyote. Mambo ya...
Wasalaam,
I declare interest, haya ni maono, yaan ni ndoto ilinichukua mchana ghafla nikipoteza ufahamu wa kawaida kwa muda nnao kadiria dakika moja na nusu.
Katika hali ya kustaajabisha kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.