Eid Mubarik ndugu zangu kutoka pande zote Roma hadi Madina !!
Quote of the Day " Never argue with stupid people they will drug you down to their level & beat you with experience" ~~Mark.
Let's...
Inakuwaje unafanya uovu kwa makusudi kabisa ya mtu, mwananchi au kiongozi unamweka ndani unambambikia kesi za uongo unamweka gelezani kwa muda mrefu huku uchunguzi bado haujakamilika.
Unaremote...
Wakili William Maduhu kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) bado kuna mashauri Mahakamani ya waliokamatwa kwa tuhuma za uhaini Oktoba 29, 2025 akidai Dar es Salaam mpaka sasa wamebaki...
Kama kichwa kinavosema, kutumia bendera ya Tanganyika kama utambulisho wa upande mmoja wa Muungano, inaweza kuhesabiwa kama uchochezi?
Na bendera za Tanganyika zilitupwa au kuchomwa?
Ni ajabu na kweli kwamba, eti hata kabla ya baraza hilo halijaketi kuhitimisha tafakari ya kipindi cha siku 40 za mfungo wa kwaresma2026, imebainika tayari kwamba, waraka wa baraza hilo...
Serikali: Dirisha la kupokea maombi ya mkopo kupitia program ya Shilingi Bilioni 200 limefunguliwa
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS — MAENDELEO YA VIJANA (OR—MV)
TANGAZO RASMI LA...
Ukiona mahakama inatumia katiba ya Falme za Kiarabu kuhalalisha Dubai ni nchi inayostahili kunufaika na sheria za mikataba ya kimataifa badala ya kujikita kwenye Lome & Geneva Conventions ujue...
Hii ndio hali halisi ya mambo ilivyokuwa kwa Upande wa Mawakili wa serikali
Pichani ni wakili Msomi Nassoro akiguswa na Nondo za Wakili wa Utetezi Tundu Lissu, katika kesi ya Uhaini inayomkabili...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema kwamba ingawa katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho alimuunga mkono Freeman Mbowe...
Mada yangu ya awali nilisema Katiba ya wananchi ndiyo moyo wa nchi unaosukuma mienendo/mwongozo wa sheria mbalimbali kwenye nchi yeyote Ile Duniani.
Umuhimu wa Katiba mpya ya wananchi...
Na MMM
UISLAM ni dini yenye misingi imara ya kuongoza jamii kuelekea katika HAKI, USAWA na kupinga kila aina ya DHULUMA, inayokataa UKANDAMIZAJI kama inavyobainishwa katika Qur’an (57:25, 28:4...
Kuna jambo linahitaji kutazamwa kwa jicho la tatu. Mara kwa mara tumekuwa tukisikia baadhi ya viongozi wakisisitiza kuwa Watanzania waliopo nje ya nchi au wanaokosoa mwenendo wa serikali...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema kwamba ingawa katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho alimuunga mkono Freeman Mbowe...
Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa CHADEMA, Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu amesema katika uchaguzi mkuu wa chama hicho Januari 2025 alikuwa akimuunga mkono aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Freeman...
1JIMBO LA ZANZIBAR
Hili tayari ni kama Jimbo linalojiendesha maana tayari lina utawala wake binafsi,
2. JIMBO LA KASKAZINI (Northern Zone state)
Mji mkuu: Arusha
Maeneo: Arusha, Kilimanjaro...
Salaam Wakuu,
Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai wakiwa na majeraha. Haijajulikana picha zimepigwa wapi saa ngapi.
Naamini Vyombo vya Usalama vitatolea ufafanuzi ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.