Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Eid Mubarik ndugu zangu kutoka pande zote Roma hadi Madina !! Quote of the Day " Never argue with stupid people they will drug you down to their level & beat you with experience" ~~Mark. Let's...
20 Reactions
27 Replies
852 Views
Inakuwaje unafanya uovu kwa makusudi kabisa ya mtu, mwananchi au kiongozi unamweka ndani unambambikia kesi za uongo unamweka gelezani kwa muda mrefu huku uchunguzi bado haujakamilika. Unaremote...
0 Reactions
0 Replies
55 Views
  • Featured
Wakili William Maduhu kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) bado kuna mashauri Mahakamani ya waliokamatwa kwa tuhuma za uhaini Oktoba 29, 2025 akidai Dar es Salaam mpaka sasa wamebaki...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavosema, kutumia bendera ya Tanganyika kama utambulisho wa upande mmoja wa Muungano, inaweza kuhesabiwa kama uchochezi? Na bendera za Tanganyika zilitupwa au kuchomwa?
6 Reactions
28 Replies
327 Views
Ni ajabu na kweli kwamba, eti hata kabla ya baraza hilo halijaketi kuhitimisha tafakari ya kipindi cha siku 40 za mfungo wa kwaresma2026, imebainika tayari kwamba, waraka wa baraza hilo...
3 Reactions
69 Replies
1K Views
Ni nani engineer wa huu ujinga? Zile Billion 2 hii ndio kazi yake? https://www.facebook.com/share/v/14bYdCSajNd/
7 Reactions
32 Replies
947 Views
Serikali: Dirisha la kupokea maombi ya mkopo kupitia program ya Shilingi Bilioni 200 limefunguliwa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS — MAENDELEO YA VIJANA (OR—MV) TANGAZO RASMI LA...
2 Reactions
5 Replies
231 Views
Salaam Wakuu, Mnavyomuona Samia Suluhu wa huko Tunguu, ndivyo walivyo Wazanzibari na Waislam walio wengi.l hasa Wanawake. Upendo Samia anaoonesha kwa Watanganyika ndo upendo Wazanzibari hasa...
2 Reactions
30 Replies
273 Views
Tujivunie nini kama nchi na sisi kama wananchi ?Je tujivunie hawa viongozi ambao wamejipachika madarakani bila kuchaguliwa na wanachi...
6 Reactions
55 Replies
357 Views
Ukiona mahakama inatumia katiba ya Falme za Kiarabu kuhalalisha Dubai ni nchi inayostahili kunufaika na sheria za mikataba ya kimataifa badala ya kujikita kwenye Lome & Geneva Conventions ujue...
13 Reactions
58 Replies
5K Views
Hii ndio hali halisi ya mambo ilivyokuwa kwa Upande wa Mawakili wa serikali Pichani ni wakili Msomi Nassoro akiguswa na Nondo za Wakili wa Utetezi Tundu Lissu, katika kesi ya Uhaini inayomkabili...
41 Reactions
73 Replies
5K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema kwamba ingawa katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho alimuunga mkono Freeman Mbowe...
10 Reactions
13 Replies
231 Views
Mada yangu ya awali nilisema Katiba ya wananchi ndiyo moyo wa nchi unaosukuma mienendo/mwongozo wa sheria mbalimbali kwenye nchi yeyote Ile Duniani. Umuhimu wa Katiba mpya ya wananchi...
5 Reactions
17 Replies
166 Views
Na MMM UISLAM ni dini yenye misingi imara ya kuongoza jamii kuelekea katika HAKI, USAWA na kupinga kila aina ya DHULUMA, inayokataa UKANDAMIZAJI kama inavyobainishwa katika Qur’an (57:25, 28:4...
6 Reactions
33 Replies
449 Views
Kuna jambo linahitaji kutazamwa kwa jicho la tatu. Mara kwa mara tumekuwa tukisikia baadhi ya viongozi wakisisitiza kuwa Watanzania waliopo nje ya nchi au wanaokosoa mwenendo wa serikali...
2 Reactions
6 Replies
101 Views
  • Redirect
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema kwamba ingawa katika uchaguzi wa ndani wa chama hicho alimuunga mkono Freeman Mbowe...
7 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa CHADEMA, Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu amesema katika uchaguzi mkuu wa chama hicho Januari 2025 alikuwa akimuunga mkono aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Freeman...
0 Reactions
Replies
Views
1JIMBO LA ZANZIBAR Hili tayari ni kama Jimbo linalojiendesha maana tayari lina utawala wake binafsi, 2. JIMBO LA KASKAZINI (Northern Zone state) Mji mkuu: Arusha Maeneo: Arusha, Kilimanjaro...
3 Reactions
7 Replies
148 Views
Salaam Wakuu, Kuna picha zinazoonesha Wananchi wa Tanzania Jamii ya Wamasai wakiwa na majeraha. Haijajulikana picha zimepigwa wapi saa ngapi. Naamini Vyombo vya Usalama vitatolea ufafanuzi ili...
18 Reactions
310 Replies
29K Views
Back
Top Bottom