Hamjambo wote!
Nilikuwa najiulizaga kwa nini watu wengi hawapendi kufikishana mahakamani. Iwe kama shahidi, mshtaki au mshtakiwa.
Kushtakiwa niliwaona wanaona hoja. Lakini mashahidi na wenye...
Waziri Mkuu asema anatosha, kiti kimempata mtu sahihi wa kumsaidia Mheshimiwa Rais.
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo (Ijumaa, Agosti 28, 2026) limemthibitisha Mheshimiwa Deogratius...
Wanajamvi.
Kuachana na mambo ya CCM ,,, ikawa uchaguzi wa Rais wagombea ni huru.
Kati ya Samia na NCHIMBI UTAMCHAGUA nani?
Au ninyi wana CCM ukiwekwa Uchaguzi huru ndani ya chama nani atashinda...
Spika wa Bunge la Tanzania Mussa Zungu, amesema pendekezo la Deogratius Ndejembi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni chaguo la Mungu kwani hata baadhi ya wabunge wa upinzani...
Huu ni ushauri wa bure kwa Chadema ya kwamba warudi chini kwa vijana waweke nguvu kama zamani.
Bavicha ya leo imechoka na haisikiki kabisa jambo ambalo linapoteza matumaini kwenye siasa za vyama...
Akizungumza leo, Agosti 28, 2026, katika Mkutano wa Wadau wa Masuala ya Kidemokrasia uliofanyika kwenye makao makuu ya Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Jaji Mstaafu Joseph Warioba amesema...
Habari za leo.
Sisi wengine tulishamuona Lisu tangu miaka 10 na kitu huko. Tulishagundua anakitu kikubwa sana.
Nafahamu wapo wachache hawalikubali hili. Iwe kwa maamuzi yao lakini wanajua Lisu...
"Mimi nataka Muungano wa Serikali 3, kwa sababu naweza kurudi kwenye Serikali ya CHADEMA na nikapewa nafasi kubwa ya uongozi kwenye hiyo Serikali, maana Lissu aliniahidi UWAZIRI MKUU kwenye...
Ni muhimu tukajulishwa Nchimbi yuko wapi ? Kutokana na sasa hivi watu kutekwa na kupotea kwenye mazingira ya kutatanisha pale wanapokua wamegusa maslahi ya watu wa Chache ndni ya CCM...
Sheria ya nchi hii kwasasa inatafsiriwa kulingana ni nani anatakiwa kuhukumiwa.
Kangarooo. Mwanasheria Mkuu Leo anatafsiri vitu almradi tu Nchimbi awe na hatua.
CCM kajifunzeni CHADEMA tangu...
Jaji Mstaafu, Joseph Warioba, ameeleza wasiwasi wake kuhusu mazingira yaliyogubika kujiuzulu kwa aliyekuwa Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ikiwemo kitendo cha simu zake kutopokelewa na...
Sekta ya habari ovyo sijuhi hata wana akili gani huu ndo mda wa kumtafuta Nchimbi na kujua nini kinaendelea kweli yupo kwake mzima sababu za kujiuzulu ni nini...
CCM mnatupeleka pabaya chama kimeshikiliwa na wahuni wanafanya wanavyotaka leo hii Nchimbi wa kufukuzwa huanachama kwa kosa lipi? Alafu anafukuzwa na watu ambao tunamashaka nao kama kweli wana nia...
Wanatafuta justification ya walichomfanyia Nchimbi kukichafua Chama.
Chadema haipaswi kufananishwa na ccm , iwe mfano wa kuigwa wa demokrasia ndani na nje ya chama.
Brian Mundubile alilalamika kwamba Zambia wanatumia mbinu za Tanzania za kudidimiza upinzani, na Serikali ya Tanzania imepelekea watu kuhakisha hashindi na kuhakikisha wafanya mbinu chafu za...
There is no fixed legal time limit for how long an accused person must continuously stand in the dock during a court session, but standard practice dictates that a defendant should not be forced...
Utawala wa Samia umefanya makosa makubwa ya kimkakati (strategic mistakes) yaliyoweka fursa ya kushitakiwa na kunyongwa.
Kosa la kwanza ni "Coup D'etat" mtu yoyote anayejua siasa na sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.