Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Featured
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo John Mnyika amesema kuwa chama hicho na Mwenyekiti wake Tundu Lissu mpaka hivi sasa hakijafanya mazungumzo yoyote na serikali huku akiipinga kauli...
17 Reactions
31 Replies
1K Views
WAZIRI MKUU ASISITIZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI. WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesisitiza matumizi ya teknolojia za kisasa katika kilimo, mifugo na uvuvi kwa lengo...
0 Reactions
0 Replies
34 Views
https://www.youtube.com/watch?v=5g9jC1GuadI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano Mkuu wa Wanahisa wa AFRICA5O na Jukwaa la Miundombinu Afrika (INFRA...
0 Reactions
2 Replies
66 Views
Dkt. Azaveli Lwaitama, ametoa wito mzito kwa serikali na wadau wa siasa kuchukua hatua za makusudi na za kisheria ili kujenga mazingira ya kuaminiana na kurejesha maridhiano ya kweli miongoni mwa...
3 Reactions
4 Replies
87 Views
Kesi ya kupanga na kula njama za kufanya matendo ya ugaidi inayowakabili wanachama 17 wa CHADEMA, akiwamo Katibu wa chama hicho Kanda ya Serengeti, Jackson Mnyawami, imeshindwa kuendelea Agosti 4...
1 Reactions
2 Replies
87 Views
Akizungumza katika mahojiano yaliyorushwa Agosti 4, 2026 na Saut Digital, Dkt. Azaveli Lwaitama, amesema suala la maridhiano inahitaji msuluhishi kutoka nje kama Jumuiya ya Common Wealth na SADC...
0 Reactions
1 Replies
84 Views
Kwa ambaye hajafika Arusha kwa miaka mitatu iliyopita akienda kwa sasa lazima ashangae kila kitu. Hapa namaanisha mkoa mzima wa Arusha yaani kuanzia Arusha jiji hadi huko wilayani. Yaani mkoa...
3 Reactions
12 Replies
236 Views
Kesi ya kupanga na kula njama za kufanya matendo ya ugaidi inayowakabili wanachama 17 wa CHADEMA, akiwamo Katibu wa chama hicho Kanda ya Serengeti, Jackson Mnyawami, imeshindwa kuendelea Agosti 4...
0 Reactions
0 Replies
49 Views
Sidhani Kama ametuzidi akili watu wote milioni 70 Sidhani kama ni kweli sizani ni vile tunamchukulia poa hatumchukulii serious kulingana na haiba yake ya nje but kwa ndani anafanya mambo ya...
8 Reactions
28 Replies
685 Views
Kuna msemo wa Kiswahili unaosema, "Ukistaajabia ya Musa, utayaona ya Firauni." Leo msemo huu unaonekana kupata tafsiri mpya katika jamii yetu. Tumeshuhudia taarifa za wafanyabiashara na...
4 Reactions
19 Replies
318 Views
Sijui kama Kuna Mji wowote ambao ni makao Makuu ya Mkoa au Mji wa kibiashara ambako Serikali ya Samia haijajenga au kuendelea na ujenzi wa stendi. Mfano Mkoa wa Manyara Mji wa Kateshi Kuna...
3 Reactions
205 Replies
3K Views
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei za mafuta nchini kwa mwezi Julai 2026, kufuatia kupungua kwa bei za mafuta katika soko la dunia. Kwa mujibu wa...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Zunguka Tanzania nzima utakutana maelfu kwa mamilioni ya wanannchi wakichimba dhahabu kwenye hali duni kabisa. Hawana mitaji, vifaa vya kisasa na mazingira wanayofanyia kazi ni hovyo. Leo hii...
6 Reactions
27 Replies
502 Views
Ni muhimu zaidi vyama vya siasa vyenye sifa za kikatiba za kushiriki chaguzi ndio haswa viketi chini pamoja na kushauriana namna ya kuliunganisha taifa kwa hiyari katika maridhiano hayo miongoni...
6 Reactions
69 Replies
530 Views
Kanisa Katoliki Tanzania limetoa waraka kwa ajili ya kuwaandaa waamini wake kwa ajili ya kipindi cha Toba, kinachoanza rasmi Jumatano ijayo tarehe 14 Februari 2018 [ambayo ndiyo siku ya...
45 Reactions
642 Replies
103K Views
Wakuu 'The clinic' walikutana wakiwa wanne. Recrato, Logasto na Financo walikuwa ndio wajumbe. Upande wa pili alikuwa amekaa Director akiongoza. Alianza kuwaambia majukumu yao, "miaka miwili...
77 Reactions
411 Replies
67K Views
Lissu kwa ushawishi alionao kwenye uwanja wa sheria katiba ikiruhusu nafasi za ujaji kutangazwa na kuomba na kupigiwa kura na wanasheria hiwe TLS ndo wawe wasimamizi Lissu anakua Jaji mkuu mapema...
1 Reactions
11 Replies
120 Views
Mfano CCM na ahadi zetu Za siku zote zomerudiwa tena wakati zile za nyuma bado! Mgombea si halali. Kila wakipita pita ntakuwa nafungua macho watanzania !! Kesho kama kawaida Mchengerwa...
19 Reactions
20 Replies
1K Views
Na Emily Mwakilembe Katikati ya hofu, kuvunjika moyo na giza la kisiasa, wakati mwingine hutokea mtu anayethubutu kuisema kweli chungu sana, ile ambayo wengi huogopa kuisema. Mwaka 2018, Profesa...
2 Reactions
2 Replies
250 Views
Akae rada sana
13 Reactions
53 Replies
2K Views
Back
Top Bottom