Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

"Tukija kwenye mitaji... hii mitaji, twende kwenye uwekezaji. Nyinyi biashara ndio mnaotakiwa mtoe ushauri. Mgeni anakuja, anatoa dola laki tano, eti huyo ni mwekezaji. Hivi Watanzania wangapi...
5 Reactions
12 Replies
431 Views
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limetikiswa na shangwe na makofi kutoka kwa wabunge mara baada ya kutambulishwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka, aliyekuwa miongoni mwa...
5 Reactions
17 Replies
789 Views
Hii ndio Taarifa tuliyoipata hivi punde na tukaamua kuwashirikisha Atahudhuria Mkutano Muhimu wa Kimataifa na. amepangiwa muda wa saa nzima kuhutubia Usiondoke JF
24 Reactions
52 Replies
1K Views
Summary At least 13 killed in shooting at one cafe in city of Mwanza - witnesses and video Police targeted civilians far from protests, witnesses say UN experts estimate at least 700...
25 Reactions
132 Replies
3K Views
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Hilder Newton kupitia mtandao wa X
1 Reactions
6 Replies
245 Views
Chama cha Mapinduzi CCM kimeanzisha, kinafadhili, kuendesha, na kulinda vikundi vyenye silaha nchini chini ya tawi lake la vijana UVCCM. Makundi haya yanatumika kuendesha utekaji, mateso kwa...
7 Reactions
18 Replies
447 Views
Haya ni mazingaombwe ya ajabu sana! Who is Mafwele by the way? Huyu ni kidampa anayetumwa tu. Wanaomtuma wanafahamika, kwanini wao hawapigwi ban, kwanini dagaa tu ndio wanashughulikiwa papa...
5 Reactions
30 Replies
397 Views
Kama kumbukumbu zangu ziko sawa, hayo ndio yalikuwa maneno ya Polepole kwa Mtawala kuwa akijiweka madarakani kwa njia zusizo za kudemokrasi, ajiandae kutawala kwa shida. Kwa saaa, ukisikiliza...
5 Reactions
4 Replies
309 Views
Halafu English yake imeishia hapo Ubungo tu hapo ikitokea Magomeni 😂😂😂😂 Pia soma Rio Ferdinand akabidhiwa jezi iliyoandikwa Samia Jembe Ulaya
31 Reactions
171 Replies
3K Views
wanaosema mpo tayari kunipa miaka mitano tena ya majaribio, nijaribuni kwa miaka mitano mimi na Shukuru (mgombea Udiwani kata ya Minazi mirefu) ni kwa sababu sisi tunaamini changamoto za wananchi...
1 Reactions
20 Replies
760 Views
"Sasa hivi nchi yetu haina upungufu wa umeme, ina ziada ya umeme. Na kama kuna eneo umeme bado unakatika-katika, tatizo sio upungufu. Sasa tatizo lililopo ni kwamba, gridi ile ilitengenezwa kwa...
0 Reactions
0 Replies
89 Views
Wakati CHADEMA ikianza operesheni ya “Katiba Mpya Free Lissu” katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, tayari hofu imeshatanda serikalini, ambapo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imeiandikia baria...
0 Reactions
5 Replies
311 Views
Hamjambo wote! 1. Ni Kweli yapo mambo ambayo sio mazuri ambayo yalitokea na yanayoendelea kutokea ndani ya nchi yetu. 2. Ambayo yamelalamikiwa kwa muda mrefu Sana. Vijana na wanaharakati...
22 Reactions
55 Replies
1K Views
Wakili wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), William Maduhu, amesema hawakuona ushahidi wowote unaoonesha kuwa vijana kutoka nchi jirani walikodiwa kuja kushiriki katika maandamano...
8 Reactions
19 Replies
550 Views
66 UMASKINI WA KUJITAKIA NA KITENDAWILI CHA MCHANGO, UCHAGUZI NGUVU YETU Hebu tushirikiane kutafuta jibu la hili fumbo: Chama cha siasa Afrika kinaingia mtaani na kuwapa wananchi somo la ulaghai...
1 Reactions
2 Replies
119 Views
Kuhusu Urais 2030 > Shabiby: Nitagombea Urais 2030, nitaleta Sheria ya kunyonga Watu kupambana na Rushwa MBUNGE wa Zanzibar, Simai Mohammed Said, amesema "Mimi mheshimiwa mwenyekiti, naomba...
1 Reactions
1 Replies
305 Views
"Wizara ya Amani inajishughulisha na vita, Wizara ya Ukweli na uongo, Wizara ya Upendo na mateso, na Wizara ya Utele na njaa. Mikinzano hii si ya bahati mbaya, wala haitokani na unafiki wa...
2 Reactions
9 Replies
234 Views
Viongozi wa serikali katika nchi nyingi za Dunia ya Tatu hutumia mbinu mbalimbali za kifisadi ili kuiba pesa za wananchi huku wakijifanya kuwa waadilifu na wenye dhamira ya maendeleo. Wanafanya...
6 Reactions
8 Replies
837 Views
Chanzo kikuu cha matukio ya Oktoba 29 kinatokana na mkusanyiko wa malalamiko ya muda mrefu ya kijamii, kiuchumi na kisiasa ambayo yalikuwa yakijadiliwa waziwazi katika mitandao ya kijamii kwa muda...
5 Reactions
13 Replies
387 Views
Back
Top Bottom