Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,418
- 135,547
Halafu English yake imeishia hapo Ubungo tu hapo ikitokea Magomeni 😂😂😂😂
Wabongo tuna allergy na English. Imagine huyo ni waziri na ana degree! Professor Ndalichako akizungumza ndio utazimia kabisa.
Sasa kwa nini asitumie tu lugha ya Kiswahili anayoiweza?!Hiyo lugha sio yetu , kinachoshangaza upo busy kumkosoa mtu kwa lugha ambayo sio asilia yake.
Usomi sio kujua kiingereza.
Tazama china, tazama India, Pakistan, Japan ENGLISH wanayoiongea ni mbovu sana ila.....
Ungekaa kimya, ni busara pia.Hiyo lugha sio yetu , kinachoshangaza upo busy kumkosoa mtu kwa lugha ambayo sio asilia yake.
Usomi sio kujua kiingereza.
Tazama china, tazama India, Pakistan, Japan ENGLISH wanayoiongea ni mbovu sana ila.....
Wewe umekutana na Wakenya wa wapi?Kenya waliishobokea English sana ila tazama hivi sasa ENGLISH hawaijui na kiswahili pia hawakijui.
Wwe ndie kilaza unae amini kujua kiingereza ndio kuelimika.Ungekaa kimya, ni busara pia.
Fananisha pia hatua za maendeleo ya nchi ulizozitaja na nchi yako.
Unaongozwa na vilaza na hautaki kukubali.
Hilo swali mtafute umuulize yeye.Sasa kwa nini asitumie tu lugha ya Kiswahili anayoiweza?!
Unauliza swali ukiwa kama nani? Mkenya au Mbongo?Wewe umekutana na Wakenya wa wapi?
Lazima uchekwe kama una degree ya Tanzania halafu unaongea Kingereza broken tena ukiwa katika nafasi ya waziri, inatakiwa hata afungwe kabisa kwa kuaibisha nchi, vinginevyo azungumze Kiswahili awe na mkalimani wa kutafsiri kwa Kingereza.Hilo swali mtafute umuulize yeye.
Mimi nimezungumzia watu kucheka Broken yake ova.
Sasa kwanini asingeongea kiswahili anachokimudu ili waandishi wamuelewe?Hiyo lugha sio yetu , kinachoshangaza upo busy kumkosoa mtu kwa lugha ambayo sio asilia yake.
Usomi sio kujua kiingereza.
Tazama china, tazama India, Pakistan, Japan ENGLISH wanayoiongea ni mbovu sana ila.....
Bro huna hoja.Lazima uchekwe kama una degree ya Tanzania halafu unaongea Kingereza broken tena ukiwa katika nafasi ya waziri, inatakiwa hata afungwe kabisa kwa kuaibisha nchi, vinginevyo azungumze Kiswahili awe na mkalimani wa kutafsiri kwa Kingereza.
Kwanini mtu akiongea kiswahili kibovu na ni mswahili kabisa huwa hatumcheki?Lazima uchekwe kama una degree ya Tanzania halafu unaongea Kingereza broken tena ukiwa katika nafasi ya waziri, inatakiwa hata afungwe kabisa kwa kuaibisha nchi, vinginevyo azungumze Kiswahili awe na mkalimani wa kutafsiri kwa Kingereza.
Hilo swali mkuu mtafute makonda muulize.Sasa kwanini asingeongea kiswahili anachokimudu ili waandishi wamuelewe?
Yeah sikupingi.
Hakuna Mswahili anayeongea kiswahili kibovu, ishu ni lahaja na accent zaidi, labda na baadhi ya wapuuzi wanaoingiza swaga za hapa na pale kama siku hizi wanvyosema mziki badala ya muziki au kujiamlia badala ya kujiamulia.Kwanini mtu akiongea kiswahili kibovu na ni mswahili kabisa huwa hatumcheki?
Hiyo lugha sio yetu , kinachoshangaza upo busy kumkosoa mtu kwa lugha ambayo sio asilia yake.
Usomi sio kujua kiingereza.
Tazama china, tazama India, Pakistan, Japan ENGLISH wanayoiongea ni mbovu sana ila.....
Hizo unazoita wewe swaga sio swaga bali ndivyo wanavyoongea kiswahili na ukiongeza na tatizo la R na L. Makosa mengine yanayofanyika kwenye kiswahili hata hatujui kama ni makosa.Hakuna Mswahili anayeongea kiswahili kibovu, ishu ni lahaja na accent zaidi, labda na baadhi ya wapuuzi wanaoingiza swaga za hapa na pale kama siku hizi wanvyosema mziki badala ya muziki au kujiamlia badala ya kujiamulia.