Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Chanzo kikuu cha matukio ya Oktoba 29 kinatokana na mkusanyiko wa malalamiko ya muda mrefu ya kijamii, kiuchumi na kisiasa ambayo yalikuwa yakijadiliwa waziwazi katika mitandao ya kijamii kwa muda...
5 Reactions
13 Replies
387 Views
Akizungumza Bungeni leo Mei 19, 2026, Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu, amezua mjadala kuhusu kucheleweshwa kwa malipo ya posho kwa Maveterani wa Vita vya Kagera "Mimi jimboni kwangu...
0 Reactions
3 Replies
161 Views
Waandishi wa Habari wametakiwa wasiwe waoga bali waendelee kuandika habari zenye ukweli na zenye kuzingatia maadili, ambazo zitaleta maslahi kwa Umma. Nasaha hizo zimetolewa na Mkuu wa Wilaya ya...
0 Reactions
3 Replies
122 Views
Mkurugenzi anamiliki majumba ya kifahari maeneo tofauti tofauti jijini Dar huku akitumia vijana wake kadhaa kuchuma pesa kwenye bandari hiyo. Bado tunatafuta file lake, likikamilika tutalimwaga hapa
7 Reactions
10 Replies
320 Views
Hii ni aibu kwa nchi inayoheshim misingi ya democracy kufanyia kazi shutuma za mitandaoni badala ya kusubr ziwe confirmed na Mahakama, nadhan wazungu nao washakuwa na akili kama za ufipa. Haya...
2 Reactions
60 Replies
907 Views
Naandika hapa nikiwa nimejawa maswali yasiyo majibu hasa baada ya kuona ndugu yangu akiishi kwenye mazingira magumu sana mara baada ya kupata Ajira tangu mwaka jana, alitakiwa kupewa pesa ya...
6 Reactions
7 Replies
599 Views
Nabii huyo wa Mungu amesema kwamba baada ya uzinduzi wa Operesheni ya Katiba mpya na Free Lissu Nchi nzima kukamilika, atarudi Arusha kuanzisha Operesheni POPO BAWA kwa ajili ya jimbo Hilo tu...
2 Reactions
6 Replies
195 Views
Jambo lililonishangaza sana kwa siku ya leo ni hili. NCCR-MAGEUZI is a respected party,kinaheshimika sana.
4 Reactions
15 Replies
309 Views
  • Featured
Rais Samia Suluhu amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, Shabani Ally Lila, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya ghasia ya wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025...
17 Reactions
194 Replies
4K Views
Na Dr. Zack✍️. Jana mida ya saa moja jioni kaka yangu mmoja Mwalimu,Chuo cha Ualimu Wilayani Rungwe alinipigia.Alikuwa anataka "opinioni-MAONI" yangu kutokana na "kituko" cha Chadema cha KUTEKWA...
0 Reactions
13 Replies
253 Views
Tunakumbuka uliposhika uenyekiti wa chama uliunda tume ikatembea inchi nzima kukagua mali za chama na ukataka chama kijiendeshe kwani kina vyanzo vingi vya mapato na hilo tuliliona wale wote...
19 Reactions
46 Replies
2K Views
Kiongozi mmoja ambaye sasa ni hayati, ambaye alikuwa na nafasi kubwa wakati wa utawala wa Nyerere, ambaye ndiye aliongoza timu ya kukamilisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar, miaka michache...
17 Reactions
43 Replies
894 Views
Hii itasaidia sana kufikirwa kupunguziwa adhabu, kufutiwa mashtaka au kusamehewa kabisa makosa yote kwa maslahi mapana ya taifa, umoja, mshikamano na maridhiano ya amani kitaifa. Kumbukeni...
3 Reactions
47 Replies
487 Views
Sasa Mwana JF ,tusaidiane kusambaza Video kama Hizi kwenye Mitandao ya kijamii Mbalimbaliii https://youtu.be/W70vVrOQhFw?is=pL1TLi3gTeXz1ZpV
17 Reactions
36 Replies
826 Views
Haya Mafwele hayamashitui maana hana haja ya kwenda Marekeni! Hivyo Pompeo you need to do more than maneno
9 Reactions
51 Replies
826 Views
  • Redirect
Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, siku ya Ijumaa amemfuta kazi Waziri Mkuu Ousmane Sonko na kuvunja serikali, kwa mujibu wa taarifa iliyosomwa kupitia shirika la utangazaji la kitaifa, RTS...
0 Reactions
Replies
Views
Wakili Peter Madeleka amesema "No Reforms, No Election" haiwezi Kufanywa Uhaini, akisisitiza kuwa madai ya mabadiliko ya kisiasa na kikatiba ni haki ya msingi ya kidemokrasia na sio uchochezi au...
0 Reactions
0 Replies
129 Views
Nakushauri kwa madini uliyonayo utubu dhambi zako na ufanye uchaguzi sahihi. Mtu alie makini hawezi kukaa kwenye chama kama Act Wazalendo. Unajenga hoja za msingi lakini watu wanakudharau...
3 Reactions
3 Replies
170 Views
Back
Top Bottom