Chama cha Mapinduzi CCM kimeanzisha, kinafadhili, kuendesha, na kulinda vikundi vyenye silaha nchini chini ya tawi lake la vijana UVCCM. Makundi haya yanatumika kuendesha utekaji, mateso kwa Watanzania wasio na hatia.
CCM kupitia vikundi hivi vya kigaidi kinawanyanyasa na kuwateka viongozi wa dini hasa wakristo.
Dunia kupitia jumuia zake inapaswa kukiangalia kwa karibu chama hiki kilichojigeuza kuwa cha kigaidi kwa mgongo wa siasa,
Dunia ichukue hatua mara moja kukipiga marufuku na kuwafungulia mashitaka uongozi wake na wote wanaojihusisha na vitendo vyake vya kigaidi, hakina tofauti na kikundi cha kigaidi cha Hamas cha Palestina.
CCM kupitia vikundi hivi vya kigaidi kinawanyanyasa na kuwateka viongozi wa dini hasa wakristo.
Dunia kupitia jumuia zake inapaswa kukiangalia kwa karibu chama hiki kilichojigeuza kuwa cha kigaidi kwa mgongo wa siasa,
Dunia ichukue hatua mara moja kukipiga marufuku na kuwafungulia mashitaka uongozi wake na wote wanaojihusisha na vitendo vyake vya kigaidi, hakina tofauti na kikundi cha kigaidi cha Hamas cha Palestina.