Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Makala zangu elimishi za "Kwa Maslahi ya Taifa", Makala ya leo ni jinsi Rais Samia alivyo ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Rais Samia...
19 Reactions
152 Replies
12K Views
No Reforms No Election ya Ndugu Tundu Antipas Lissu imejiziika RASMI leo kwani hata Serikali ya awamu ya Sita ikileta Reforms nzuri kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Rais Wabunge na Madiwani 2025,ni RASMI...
5 Reactions
55 Replies
2K Views
Kushoto ni Polisi wa New York wakiwa darasani kujifunza mbinu za kukabiliana na majanga mbalimbali. Kulia ni Polisi wa Tanzania wakiwa kwenye maonyesho ya namna walivyo wakakamavu na wanaweza...
4 Reactions
6 Replies
289 Views
Hamjambo Walimwengu! 1. Kuna wale watu ambao hupotosha na kuwaweka watu under the Cage, kwamba mtu hatakiwi kujipost akiwa na furaha au akifurahia. Jambo ambalo sisi Watibeli tunapingana nalo kwa...
6 Reactions
57 Replies
752 Views
DKT. MWINYI AIPONGEZA UVCCM KWA KUIPA CCM USHINDI MKUBWA UCHAGUZI MKUU 2025 Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt...
2 Reactions
2 Replies
170 Views
Kama ilivyo kawaida msiba ukiwa kwa jirani, nyie majirani mnaweza kuchangisha michango, kupika chakula, kuchimba kaburi, kula na kunywa na hata kwa wengine kucheza draft au karata Hata hivyo hali...
18 Reactions
17 Replies
608 Views
DKT. SAMIA AENDELEA KUWEKEZA ELIMU YA UFUNDI NCHINI ▪️Waziri Mkuu asema Rais Dkt. Samia ameshaonesha kwa vitendo ni kiongozi mtekelezaji ▪️Shule 103 za amali zajengwa nchini, 29 zikiwa za...
2 Reactions
7 Replies
206 Views
Kauli yako imewachafua sana Watanganyika kwa ujumla. Nasema hivi sababu wazanzibar hawawezi kuchukia. Azory Gwanda na wengine wengi waliotekwa na kupotea ni maigizo ya kuichafua nchi yetu. Yule...
1 Reactions
4 Replies
158 Views
Tanga itaendelea kuwa moja ya maeneo yenye umuhimu mkubwa wa kimkakati kwa uwekezaji wa muda mrefu katika viwanda vya kusafisha mafuta, gesi, pamoja na maendeleo ya viwanda vinavyotokana na...
6 Reactions
8 Replies
266 Views
Historia ya Tanzania imesheheni mambo mengi sana mazuri na mabaya.Hata hivyo katika historia hiyo maelezo yanayohusiana na Idara ya USALAMA wa Taifa yamejaa zaidi taarifa ambazo hazina FACTS na...
14 Reactions
41 Replies
949 Views
Mchora Katuni Masoud Kipanya ambaye pia amewahi kuwa Mtangazaji wa Redio na TV kupitia chaneli ya Kipanya Tell A vision kuhusu Mtazamo wake kuhusu Waandishi wa Habari walioshiriki katika kuwania...
3 Reactions
14 Replies
456 Views
Naisubiri tume ya Matuokio ya Mauaji na Utekaji, hii ya Matukio ya Ghasia ni mradi wa Samia Suluhu, haipo kwa manufaa ya Watawaliwa bali Watawala kama ilivyokuwa tume ya Chande. Tume ya Kijaji ya...
5 Reactions
25 Replies
434 Views
Haya ni matatizo ya level za Waziri Mkuu? Au ndio kusema matatizo ya kitaifa yameisha?
8 Reactions
25 Replies
397 Views
"Tukija kwenye mitaji... hii mitaji, twende kwenye uwekezaji. Nyinyi biashara ndio mnaotakiwa mtoe ushauri. Mgeni anakuja, anatoa dola laki tano, eti huyo ni mwekezaji. Hivi Watanzania wangapi...
5 Reactions
12 Replies
431 Views
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limetikiswa na shangwe na makofi kutoka kwa wabunge mara baada ya kutambulishwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka, aliyekuwa miongoni mwa...
5 Reactions
17 Replies
789 Views
Hii ndio Taarifa tuliyoipata hivi punde na tukaamua kuwashirikisha Atahudhuria Mkutano Muhimu wa Kimataifa na. amepangiwa muda wa saa nzima kuhutubia Usiondoke JF
24 Reactions
52 Replies
1K Views
Summary At least 13 killed in shooting at one cafe in city of Mwanza - witnesses and video Police targeted civilians far from protests, witnesses say UN experts estimate at least 700...
25 Reactions
132 Replies
3K Views
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Hilder Newton kupitia mtandao wa X
1 Reactions
6 Replies
245 Views
Chama cha Mapinduzi CCM kimeanzisha, kinafadhili, kuendesha, na kulinda vikundi vyenye silaha nchini chini ya tawi lake la vijana UVCCM. Makundi haya yanatumika kuendesha utekaji, mateso kwa...
7 Reactions
18 Replies
447 Views
Back
Top Bottom