Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. Magufuli leo akiwa anaomba kura Karatu ambako ni nyumbani kwa Slaa amesema wazi kuwa tangia mfumo wa vyama vingi uanzishwe hapa nchini Tanzania, kama...
Waziri wa afya Ummy Mwalimu amesema kufanya vibaya kwa MSD mwaka huu kwenye report ya CAG haitokani na sheria mbovu za manunuzi pekee mbali mipango mibovu ya uongozi wa bohari ya dawa.
Amesema...
Rais Samia amesema anashangazwa na baadhi ya watu kutumia maisha yao kuchafua nchi yao Tanzania na Bara la Afrika kwa ujumla kwa kulitangaza vibaya huko kwenye anga za kimataifa.
Rais Samia...
- Mbowe adaiwa kumiliki Jumba Dubai, Ngeleja naye yumo
Mwenyekiti wa Chama ch Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, Mbunge wa Sengerema (CCM), William Ngeleja na Mfanyabiashara...
Mbunge wa jimbo la Buchosa mh Erick Shigongo amesema miaka miwili iliyopita pato la taifa lilikua hadi kufikia dola 1080 na kuiwezesha Tanzania kuingia uchumi wa kati lakini sasa pato la taifa...
Rais Samia wakati anawaapisha viongozi mbalimbali aliowateua amesema kama kuna jambo ameligundua na linamtesa ni kwamba watumishi wengi wa umma hawajielewi na ili wawe na nidhamu ya kufanya kazi...
Hello wajamvi
Mko salama kabisa. Nimeitoa mahali. Tuchambue hotuba za viongozi wetu. Leo ni yupi huwa akitoa hotuba anakuwa na tija?
Mimi huyuu Waziri wa Habari na Teknolojia nawazagaa sana...
Ushindi wa Profesa Hosea kwenye TLS licha ya kupingwa na Tundu Lissu imeendelea kuthibitisha kuwa Lissu haungwi mkono hata na mawakili wenzake.
Ushindi wa Profesa. Hosea umeendelea kuthibitisha...
Rais Samia amesema aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na kuhamishiwa Wizara ya Mambo ya Nje baadae akimwambia Rais pale Ulinzi ndio panamfaa zaidi na Rais Samia akamkubalia na kumrudisha
Nafasi yake pale...
Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii wa awamu ya tano Dkt. Hamis Kigwangala alishawahi kunukuliwa akisema mwekezaji wa kitalu cha uwindaji Ngorongoro amekuwa na tabia ya kuhonga viongozi...
Waziri wa Afya Mh Ummy Mwalimu kwa mara nyingine tena amewakumbusha timu gaidi kuwa kazi aliyoifanya hayati Magufuli akiwa Rais wa nchi hii ndani ya miaka mitano ni ya kupigiwa mfano na amemuombea...
Mbunge wa jimbo la Kisesa mkoani Simiyu ameendeleza tena moto wake wa kutoa hoja nzito nzito zenye masilahi mapana kwa taifa na safari hii akimbana kisawasawa waziri wa Kilimo mh Hussein Bashe...
Ilani ya CCM ya kuanzia mwaka 2020- 2025 yenye kurasa 303 imeahidi mambo mengi ikiwemo ujenzi wa flyovers kwenye makutano ya barabara za Mwenge, Buguruni, Moroco etc.
Lakini tangu kufariki kwa...
Video hii inaonyesha namna NHC ya mkurugenzi Nehemia Mchechu inavyoendelea kubadilisha mji wa kiserikali alimaarufu Magufuli city makao makuu ya nchi jijini Dodoma, nyumba nyingi na maghorofa...
Mh rais Samia, sisi wana CCM tunakuomba kama ulivyoguswa na maombi ya watu mbalimbali ya kutaka umwachie mwenyekiti wa Chadema Mbowe anayetuhumiwa kwa tuhuma nzito za ugaidi na kupanga njama za...
Baada ya kuchukua bandari zote za Tanganyika kwa mkataba wa kimangungo kwa ahadi kemukemu ambazo hazijaandikwa popote kwamba watazifanya bandari kuwa bora kwa kuvutia mizigo Afrika nzima, wameenda...
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Karatu kwa muda mrefu na balozi msitaafu Dkt. Wilbroad Slaa amesema baada ya kupiga kelele kuhusu mkataba wa Kimangungo kati ya serikali ya Tanzania kukabidhi bandari...
Waziri George Simbachawene ameonya kuwa kwenye serikali hii nchi inanuka na rushwa imetapakaa kila kona wananchi wanateseka sana kwani kila wanapohitaji kupata huduma yoyote wanaombwa rushwa ili...
Ndugu zangu Watanzania,
Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa hapo jana huko babati Mkoani Manyara ametoa hotuba ya mwaka,hotuba iliyoteka na kugusa hisia za...